Hata kama ni kuchagua na kuoa unaweza ukasngukia kuchagua nyangarakasha ambalo liliwahi kuchaguliwa na kuolewa lakini likatoswa, wewe bila kujua unalikwaa huku walijualo wanakucheka.Aliyekwambia kuchagua mwanamke ni kuwa na akili nani?
Kama unachagua wa kuoa sawa ni uthibitisho kuwa umekuwa mtu mzima mwenye akili. Ila kuchagua kiongozi mwanamke si uthibitisho kuwa umekuwa mtu mzima mwenye akili.
Mbona Paschal nikikusoma between lines ni kwamba unanga mkono kauli ya huyo sheikh. Naamini yeyote mwenye D mbili atang'amua hidden meaning ndani ya thread yako.Nimemsikia, kauli hiyo ni sedition!.
Mtu tayari ni rais, huwezi kusema hawezi kuwa mwanamke hawezi kuwa rais wakati tayari tuna rais mwanamke!.
P
Sisi wavuta bangi na Unga wa CUBA tumekuelewa Mkuu ni kweli sisi ni mabombonyaWanabodi,
Hapo nilipo bado nimepigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa Marekani, na kujiuliza
Inawezekana hawa Wamarekani ni majitu majinga ajabu!, wamemchagua rais mwanaume, na kumtosa Mwanamke kwasababu tuu ni mwanamke?.
Mnaonaje kama 2025, sisi Watanzania tuchague mwanamke ili kuonyeshea kuwa tuna akili zaidi yao hao majinga ya Marekani?
Na kufuatia matokeo haya, sisi akina Tomaso, sio watu wa kujikalia tuu na kujiuliza, ngoja tufanye michakato ya kusogelea maeneo ya karibu na golini kujua ni nini haswa kimetokea!, maana...!
Duh...!.
Paskali
Vipi Hilary Clinton na yeye aliingia muda umeishaNani kakwambia wamemtosa kwa sababu ya uke wake? Walichofanya ni demokrasia na haki zao. Kama mnamshabikia huyu wenu kwa uke wake go ahead and vote for her. Ila nashauri muangalia sera badala ya jinsia. Kamala aliingia akiwa amechelewa tokana na ung'ang'anizi wa jolly joe. Pia, alitetea sera ambazo hazikuwaridhisha wamarekani. Hivyo, wanaodhani amebwagwa kwa sababu ni mwanamke, wafikiri upya.
Ulisema wewe ni wakili?Wanabodi,
Hapo nilipo bado nimepigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa Marekani, na kujiuliza
Inawezekana hawa Wamarekani ni majitu majinga ajabu!, wamemchagua rais mwanaume, na kumtosa Mwanamke kwasababu tuu ni mwanamke?.
Mnaonaje kama 2025, sisi Watanzania tuchague mwanamke ili kuonyeshea kuwa tuna akili zaidi yao hao majinga ya Marekani?
Na kufuatia matokeo haya, sisi akina Tomaso, sio watu wa kujikalia tuu na kujiuliza, ngoja tufanye michakato ya kusogelea maeneo ya karibu na golini kujua ni nini haswa kimetokea!, maana...!
Duh...!.
Paskali
Yes,Wale walio somo Literature na Fasihi,nyooni mtoe codes kwenye huu Uzi.
Wewe Mayala umefilisika inaelekea njaa imekushika pabaya.Wanabodi,
Hapo nilipo bado nimepigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa Marekani, na kujiuliza
Inawezekana hawa Wamarekani ni majitu majinga ajabu!, wamemchagua rais mwanaume, na kumtosa Mwanamke kwasababu tuu ni mwanamke?.
Mnaonaje kama 2025, sisi Watanzania tuchague mwanamke ili kuonyeshea kuwa tuna akili zaidi yao hao majinga ya Marekani?
Na kufuatia matokeo haya, sisi akina Tomaso, sio watu wa kujikalia tuu na kujiuliza, ngoja tufanye michakato ya kusogelea maeneo ya karibu na golini kujua ni nini haswa kimetokea!, maana...!
Duh...!.
Paskali
Unafikiri mwanamke pekee ndiye mwenye haki ya kuchaguliwa?! Nakushangaa kiongozi unawaita wamarekani wajinga?!Wanabodi,
Hapo nilipo bado nimepigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa Marekani, na kujiuliza
Inawezekana hawa Wamarekani ni majitu majinga ajabu!, wamemchagua rais mwanaume, na kumtosa Mwanamke kwasababu tuu ni mwanamke?.
Mnaonaje kama 2025, sisi Watanzania tuchague mwanamke ili kuonyeshea kuwa tuna akili zaidi yao hao majinga ya Marekani?
Na kufuatia matokeo haya, sisi akina Tomaso, sio watu wa kujikalia tuu na kujiuliza, ngoja tufanye michakato ya kusogelea maeneo ya karibu na golini kujua ni nini haswa kimetokea!, maana...!
Duh...!.
Paskali
Wanabodi,
Hapo nilipo bado nimepigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa Marekani, na kujiuliza
Inawezekana hawa Wamarekani ni majitu majinga ajabu!, wamemchagua rais mwanaume, na kumtosa Mwanamke kwasababu tuu ni mwanamke?.
Mnaonaje kama 2025, sisi Watanzania tuchague mwanamke ili kuonyeshea kuwa tuna akili zaidi yao hao majinga ya Marekani?
Na kufuatia matokeo haya, sisi akina Tomaso, sio watu wa kujikalia tuu na kujiuliza, ngoja tufanye michakato ya kusogelea maeneo ya karibu na golini kujua ni nini haswa kimetokea!, maana...!
Duh...!.
Paskali
Wanabodi,
Hapo nilipo bado nimepigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa Marekani, na kujiuliza
Inawezekana hawa Wamarekani ni majitu majinga ajabu!, wamemchagua rais mwanaume, na kumtosa Mwanamke kwasababu tuu ni mwanamke?.
Mnaonaje kama 2025, sisi Watanzania tuchague mwanamke ili kuonyeshea kuwa tuna akili zaidi yao hao majinga ya Marekani?
Na kufuatia matokeo haya, sisi akina Tomaso, sio watu wa kujikalia tuu na kujiuliza, ngoja tufanye michakato ya kusogelea maeneo ya karibu na golini kujua ni nini haswa kimetokea!, maana...!
Duh...!.
Paskali
Watu wanafiki kama wewe hamuaminiki hata kidogo..!!
Hivi ni lini Tanzania ilishawai kuwa na uchaguzi mkuu wa Rais na wabunge ulio huru na haki?
Lini Tanzania iliwahi tawaliwa na Rais kutoka chama cha kisiasa tofauti?
Hiyo hoja yako umeileta kinafiki baada ya kuona huyo mwanamke wa Marekani amekataliwa na watu wenye akili na unataka ufananishe Marekani na watanzania wanaosubiri misaada kujenga mashimo ya vyoo na madarasa.
Kwa kifupi ni kwamba "mwanaume kutawaliwa na mwanamke ni laana, hiyo ipo hadi ngazi ya familia"
Watu wenye akili hawawezi ruhusu huo upumbavu wa kutawaliwa na jinsia ya kike
Siyo yeye amesema bali amenukuu maandiko matakatifu.Nimemsikia, kauli hiyo ni sedition!.
Mtu tayari ni rais, huwezi kusema hawezi kuwa mwanamke hawezi kuwa rais wakati tayari tuna rais mwanamke!.
P