Inawezekanaje mtu akampenda mchepuko sana kuliko mke wa ndoa?

Inawezekanaje mtu akampenda mchepuko sana kuliko mke wa ndoa?

Kabisa sababu ktk kuchepuka kuna madhara yafuatayo:
1. Hela nyingi za Mwanaume kupotea bure bila kuwa na any return in future .
2. Kurogwa kwa mwanaume mhusika. Michepuko wengi ni wachawi na washirikina wakubwa sana.
Takribani 98% ya michepuko yote wanaroga sana Wanaume na wake zap wa ndoa kupitia Wanaume zao wanaochepuka nao.
3. Uwezekano wa kupata maambukizi ya magonjwa yasiyotibika.
4. Penzi kuelemea nje na kumnyima mkeo haki au kuwa karibu nae na watoto.
5. Ni dhambi kwa Wenye kuamini kuwepo kwa Maisha baada ya Haya ya sasa.
6. Unajisi na lasnatulah ?!
7. Ni ubatili mtupu na sawa nakujilisha upepo.
8. N.k
 
Sababu kubwa inayofanya watu kutafuta michepuko ni kuwa na mapungufu katika ndoa hasa mwanamke kumnyima unyumba mumewe, na ni sababu hiyo hiyo inayofanya mtu kumpenda mchepuko kuliko mke wa ndoa. Mke anakunyima unyumba na siku akikupa inakuwa kama unambaka tu lakini mchepuko anakupa kama unavyotaka wewe mwenyewe lazima mzani utalalia kwa mchepuko tu.
 
Hakuna jambo linaumiza nafsi ya mwanaume kama kuishi na mwanamke kauzu, mkavu, hana utundu utundu, hajiongezi, aibu kupitia kiasi, mbishi, mjuaji.

Unaishi na mwanamke mwezi unakatika hajawahi hata kuonesha ishara tu kwa mumewe kuwa ana nyegge anahitaji kutombwa!!!!!!!! Mke gani huyo?! Vinginevyo awe anaumwa au Kuna sababu mujarabu sana.

Kuna mipchepuko wanajua kuchokoza nyie acheni. Sms zake tu za mahaba mborlo ishadinda ,moyo unaenda mbiombio, pumzi imejaa. Ukifuka kwanza massage moja ya aina yake , pumbou zinawekwa kwenye kisosi halafu zinasuhuliwa kwa nyoya la jogoo weeeeh!!. Mbona utajambah!

Ukirudi home mke yupo bize na michezo ya kwenye tv miguu kaweka juu ya meza 😆😆😆😆😆😆😆
 
Hakuna jambo linaumiza nafsi ya mwanaume kama kuishi na mwanamke kauzu, mkavu, hana utundu utundu, hajiongezi, aibu kupitia kiasi, mbishi, mjuaji.

Unaishi na mwanamke mwezi unakatika hajawahi hata kukomesha ishara tu kwa mumewe kuwa ana nyegge anahitaji kutombwa!!!!!!!! Mke gani huyo?! Vinginevyo awe anaumwa au Kuna sababu mujarabu sana.

Kuna mipchepuko wanajua kuchokoza nyie acheni. Sms zake tu za mahaba mborlo ishadinda ,moyo unaenda mbiombio, pumzi imejaa. Ukifuka kwanza massage moja ya aina yake , pumbou zinawekwa kwenye kisosi halafu zinasuhuliwa kwa nyoya la jogoo weeeeh!!. Mbona utajambah!

Ukirudi home mke yupo bize na michezo ya kwenye tv miguu kaweka juu ya meza 😆😆😆😆😆😆😆
Sasa mkeo kama hana hizi qualities kwanini ulimuoa?
 
Kwakifupi tu muda huu nipo hospital kufanya xray(wife) baada ya kuvumilia miaka mingi ya kunikosea adabu. Juzi nimemtandika haswaaaaaaaaaa.

Wanawake ukiwa mwanaume mpole hasa sisi wakristo, huwa wanatusumbua sana.
Khaaa! Si bora umuache wenzako watamuoa tena kuliko umtoe uhai ukafie jela🏃‍♀️
 
Sasa mkeo kama hana hizi qualities kwanini ulimuoa?
Mwanzoni huwa mnakuwa wa moto hadi raha. Mkishaolewa mkaingia ndani ya ndoa mnaacha kila kitu mnabaki kubung'aa bung'aa tu kama mafeni ya wodini.

Huko tunanyonywa mborlo hadi tunaunguruma kama mlivyokuwa mkitufanyia ninyi wake zetu zamani.

Kila ukitaka penzi kwa mke analeta visingizio. Mara nimechoka, mara tufanye kesho, mara hivi mara vile......nyokoooooooh!! Huko nje Kuna Quuma moja ipo stand by muda wowote inataka mborlo hii hii we unaniletea pozi zako za kitoto kisa tu nimekupa!! Kula maQu ya mcheps nikirudi zangu kimyaaaaaa kama nipo chumba cha mtihani vile😀😀😀

Fanya ufanyavyo lakini hakikisha mumeo unampa Quuma Kila wakati kadri ya hitaji lake, otherwise wooooiiiiii!!
 
Back
Top Bottom