Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂 nauza vijoraHuyo mkinga yupo busy na duka lake kariakoo huo muda wa dola moja sijui kama anao😂
Safiii sana vina faidq sana vile maana uswazi kila siku shughuli😄😂😂😂 nauza vijora
Weee hupaki zile vidole vinakuwa kama ndizi za kuchoma?kama naniliyuuu😂😂😂 mwambie mimi hayo mavitu ndio ugonjwa wangu, najipenda mpk kuna muda najilamba mwenyewe ngozi ilivyo tamu.!!
😂😂😂 kila siku shughuliniSafiii sana vina faidq sana vile maana uswazi kila siku shughuli😄
Akhu!! Nna karangi ka urithi nafoka nako 😂😂Weee hupaki zile vidole vinakuwa kama ndizi za kuchoma?kama naniliyuuu
Vijora kwa kiingereza vinaitwaje ?Siuzi cosmetics bana, mi nauza vijora
Kijorazation 🤣🤣Vijora kwa kiingereza vinaitwaje ?
🤣🤣🤣
Sio Day dress ?Kijorazation 🤣🤣
Waaoh,yaani wewe ni my wangu kabisa mie mzigo wangu huoAkhu!! Nna karangi ka urithi nafoka nako 😂😂
Mzigo huo natumia
Birthday yangu Jumatatu, Parte Jumamosi ijayo🤣🤣🤣Waaoh,yaani wewe ni my wangu kabisa mie mzigo wangu huo
Eeeeehhhh nataka dada nikija na pombe yangu watu watesi wote watulize mishonoKijoraaaaa🤣
How?Humu humu ni digital party