Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
🤣🤣🤣mambo ya nudes au sio?🤣🤣🤣 hapana tunavaa nguo laini party ifanyike ufukweni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣mambo ya nudes au sio?🤣🤣🤣 hapana tunavaa nguo laini party ifanyike ufukweni
🤣🤣Twende full moonLini sasa?? Mi nna hamu ya kutoka 🤣🤣
Enheee ndio mambo hadharani 🤣🤣🤣🤣🤣mambo ya nudes au sio?
Ewaaaahh 😍🤣🤣Twende full moon
Umeona mambo hayo!Tena we mwenyeji sana inaonyesha kwa hiyo utakuwa tour guide wetuAisee hizo ni pigo zangu jioni kama hii umevaa shati linen white na panty black au kipensi cha jinsi unabarizi maeneo ya Darajani, Shangani, Hurumzi mpaka Forodhani kwenye sea food na menu yangu pendwa urojo yaani ni 👌🏼😋😋😋
Yaani uzuri wa dove unatoka kuoga unanikia vizurii,sio dada mzima unanukia ki Eva😂.......Hiyo shower gel ninayo na mengine kibao 🤣🤣
Dove product zake ziko vizuri sana.. mwili unateleza ukitoka kuoga.!
Vaseline ndio kabisaa ninazo za kutosha.
Dove ina balaa, mimi nna lotion mpk za usiku.!!Yaani uzuri wa dove unatoka kuoga unanikia vizurii,sio dada mzima unanukia ki Eva😂.......
Waaoh...I think I need those night stuff..Dove ina balaa, mimi nna lotion mpk za usiku.!!
Kuna siku rafiki yangu aliniambia utalombwa na majini mahaba shauri yako 😂😂😂
Nitakununulia sis usijali 😘Waaoh...I think I need those night stuff..
Thank you love..Nitakununulia sis usijali 😘
You’re welcome 😜Thank you love..
Mfyuuuuuu zakoYou’re welcome 😜
Dada ulifichwa wapi? 🤣🤣Mfyuuuuuu zako
Dogo mambo mengi mda hautoshiii😂😂😂Dada ulifichwa wapi? 🤣🤣
Uelezee uwo mchongo Kwa undani kwanzaHabari za mchana wakuu, mimi kazi yangu ni kuwasogezea michongo ya online ya kuingiza pesa.
View attachment 3094950
Kuna huu mchongo rahisi kabisa unaokupa $1 kila siku kwa simu yako na internet yako bila hata ya kuhangaika kufanya kazi. Kuna hii App inalipa kwa kushare internet yako tu. Ikifika $5 unaweza kuitoa fresh !!
Jiunge hapa fasta kuchangamkia mchongo huu: Welcome - Pawns
Boss, Lamomy nilitakakuku-PM lakini nimeona hauPIEMIKI. Nilikuwa Nina shida ya kufahamu chimbo la vijora ambalo nitapata Kwa bei ambayo Yale maduka ya Kariakoo wanakonunulia. Maana madukani 11,000 na 6000-5500. Nataka na Mimi nikauze Kwa Bei hizo, je chimbo ni wapi?.Siuzi cosmetics bana, mi nauza vijora
Mombasa KenyaBoss, Lamomy nilitakakuku-PM lakini nimeona hauPIEMIKI. Nilikuwa Nina shida ya kufahamu chimbo la vijora ambalo nitapata Kwa bei ambayo Yale maduka ya Kariakoo wanakonunulia. Maana madukani 11,000 na 6000-5500. Nataka na Mimi nikauze Kwa Bei hizo, je chimbo ni wapi?.