Ingiza $1 kila siku kirahisi kabisa bila kufanya kazi

Umeona mambo hayo!Tena we mwenyeji sana inaonyesha kwa hiyo utakuwa tour guide wetu
 
Hiyo shower gel ninayo na mengine kibao 🤣🤣
Dove product zake ziko vizuri sana.. mwili unateleza ukitoka kuoga.!
Vaseline ndio kabisaa ninazo za kutosha.
Yaani uzuri wa dove unatoka kuoga unanikia vizurii,sio dada mzima unanukia ki Eva😂.......
 
Dove ina balaa, mimi nna lotion mpk za usiku.!!
Kuna siku rafiki yangu aliniambia utalombwa na majini mahaba shauri yako 😂😂😂
Waaoh...I think I need those night stuff..
 
Uelezee uwo mchongo Kwa undani kwanza
 
Siuzi cosmetics bana, mi nauza vijora
Boss, Lamomy nilitakakuku-PM lakini nimeona hauPIEMIKI. Nilikuwa Nina shida ya kufahamu chimbo la vijora ambalo nitapata Kwa bei ambayo Yale maduka ya Kariakoo wanakonunulia. Maana madukani 11,000 na 6000-5500. Nataka na Mimi nikauze Kwa Bei hizo, je chimbo ni wapi?.
 
Mombasa Kenya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…