Umaru Diko,alikua waziri wa mafuta na usafirishaji,aliiba dola bilioni mojaRwanda wakiamini mtu fulani anahatarisha usalama wa nchi yao basi ajue hayuko salama popote pale alipo duniani. Nakumbuka miaka ya 1980s Nigeria walijaribu kumteka aliyekua waziri wao wa mambo ya nje akakimbila Uk lakini issue ika backfire airport
Hivi Rwanda wameshafikiria nani atakuwa Raisi wao baada ya Kagame?Tatizo la Africa lipo kwenye mifumo ya utawala ambayo hairuhusu kutengeneza taasisi imara bali inajenga zaidi individuals. Nimeutafakari sana ule mfano wa Israel na kugundua kwamba uzalendo tunaouimba kwenye nchi zetu za Kiafrika ni uzalendo feki
Israel haihujumu raia wake ndani na nje ya nchi ka ambavyo Raia wa Israel hawawezi kuihujumu na kuisaliti nchi yao popote pale walipo. Kwa namna hiyo lazima taifa lenu litakua kubwa na lenye maendeleo
Mpaka hapa umeshatulisha matango pori, Rusesabagina hajawahi kucheza sinemaRusesabina aliyecheza filamu maarufu inayoelezea mauwaji ya kimbari ya Rwanda ya mwaka 1994 ambapo yeye alikua Manager wa Hotel akiwaokoa Watutsi wasivamiwe na kuchinjwa na Interahamwe hatimaye amefikishwa mbele ya sheria kwa makosa ya kuhusika na njama za mauji hayo hayo
Nimeipenda hii, huenda ni mwanafamiliaHivi Rwanda wameshafikiria nani atakuwa Raisi wao baada ya Kagame?
Mbele giza...
Muwe mnasoma thread kwa thread sio kukurupuka......Mpaka hapa umeshatulisha matango pori, Rusesabagina hajawahi kucheza sinema
Kaanzeni kuulizia Uganda kwanza...Hivi Rwanda wameshafikiria nani atakuwa Raisi wao baada ya Kagame?
Mbele giza...
DuhIsrael rarely kill Israelites. Israel deals with their enemies, mostly arabs.
Sasa Rwanda inapambana na wanyarwanda wanaotaka kuona genocide haitumiki kisiasa. Badala ya kuunganisha nguvu mnamalizana taratibu halafu mnajifananisha na Israel.
Muafrika ni muafrika tu
Rusesabagina hajawahi kuwa na mpango huo. Kinachomuudhi PAKA ni kuwabRusesabagina anasema ukweli wa kilichotokea kuwa waliouawa siyo watutsi tu..........Wazungu wakiamua kukunyanyua wanakupaisha tu. Hata hivyo kuna watu wanadai kwamba serikali ya Kigali ilanza kumuandama Rusesabagina baada ya kutangaza kumpinga na kutaka kumuondoa madarakani Rais Kagame kwa kutumia nguvu baada ya juhudi za kumuondoa kidemokrasia kushindikana
Nijibu kwa nilichonukuu, usisome ili ujibu, usome ili uelewe na ujibu ulichoelewa. Kama uko kwa ajili ya kupotosha chaguanjukwaa lako halisiMuwe mnasoma thread kwa thread sio kukurupuka......
Hiyo ni changamoto kubwa sana MkuuHivi Rwanda wameshafikiria nani atakuwa Raisi wao baada ya Kagame?
Mbele giza...
Kuna mdau alishaelezea mwanzo Mkuu nami nikakubali nikasahihisha. Ila Rusesabagina aliyenaswa ni yule halisi na sio wa kuigizaMpaka hapa umeshatulisha matango pori, Rusesabagina hajawahi kucheza sinema
Jamaa ameisharekebishwa na amekubali kurekebika!!msiwe mnaparamia paramia hovyo...Nijibu kwa nilichonukuu, usisome ili ujibu, usome ili uelewe na ujibu ulichoelewa. Kama uko kwa ajili ya kupotosha chaguanjukwaa lako halisi
Uganda umri wa kustaafu m7 umefika , wazee wakaenda RITA ya Uganda kudai umri wa m7 kustaafu bado wao ndio wanaojua umri sahihi bado kama 5yrs. Hahaaa! Africa!Kaanzeni kuulizia Uganda kwanza...
Sijakuelewa Mkuu, kwamba kusema waliouwawa sio Watutsi pekee ni kosa?Rusesabagina hajawahi kuwa na mpango huo. Kinachomuudhi PAKA ni kuwabRusesabagina anasema ukweli wa kilichotokea kuwa waliouawa siyo watutsi tu..........
Halafu kuna General Mhoozi Kainerugaba anapiga jaramba kuchukua nafasi ya Baba wakati utakapowadiaUganda umri wa kustaafu m7 umefika , wazee wa wakaenda RITA ya Uganda kudai umri wa m7 kustaafu bado wao ndio wanaojua umri sahihi bado kama 5yrs. Hahaaa! Africa!
Stop beating around the bush mr, be candid!Wazungu wakampa uraia, akapewa tuzo nyingi kama shujaa kumbe naye ailikuwa "mdhamini" wa mauaji na msaliti wa nchi yake! (Kuna mambo mengi ya kujifunza kutoka kwa huyu jamaa hasa pale unapoona kiongozi anapewa support kubwa na mataifa ya magharibi na Marekani) Ingekuwa Tanzania Paul Rusesabagina angekuwa kiongozi wa chama cha siasa au NGO ya kutetea Haki za raia, na hata urais angegombea tu, ila kwa Rwanda ukiisaliti nchi na kuwatumikia "mabeberu" lazima wakuwinde tu!
View attachment 1568411
kwahakika ni kijana wake wa kiume,yuko mafunzoni ya kijeshi US au km karudi atakua yuko kitengo nyeti KigaliNimeipenda hii, huenda ni mwanafamilia
The moment Mr slim stop breathing, there will be no peace in that piece of land. Mark my words.Hiyo ni changamoto kubwa sana Mkuu
May God forbid aisee🙆♂️🙆♂️🙆♂️The moment Mr slim stop breathing, there will be no peace in that piece of land. Mark my words.