Interview ya Tundu Lissu yasitishwa Wasafi FM. Mwenyewe ang'ang'ania ofisi za Wasafi. Wakubaliana kuifanya wakati mwingine

Uongo utaishia kukudhalilisha tu
 
Kusaga mbona anaruhusu Clouds mahojiano na Lissu, acha hizo.
 
Chairman ni kama huwa ana kauchoyo flani hivi, namuona ni muuaji mtupu akipata madaraka. Nakumbuka 2020 kama sijakosea alijinasibu hadharani kuwa anaenda kuwa waziri mkuu
 
Wasafi wanaogopa kusema wamezuiwa eti wanadai hawakujipanga ktk kumhoji!!
Hapo wapumbafu wataamini lkn werevu wanajua mabosi wametishwa na wametakiwa wasikiri kutishwa
 
Eti na wewe nae unategemewa na wazazi huko kijijini KWENU pumba kweli
 
Ndiyo jana wachawi wa CCM mmepewa wote ajenda moja muisambaze!!??

Yaani mazwazwa nyie endeleeni kutumika kama mpira wa kiume kwa malipo ya "mifupa" huku wenzenu wakila minofu na huku "karma" ikiwasubiria mlangoni.
 
Hujaxema wongo hata. Tundu, ukitaka mahojano naye jitayarishe vya kutosha. Mm nlikua nangojea ule mtanange na Bashite, sjui uliishia wp au na kiongozi yyte wa ccm anayejiona ana misuli ya kutosha ya ubongo. Tundu ni kitu nyingne ...au uongo?!
 
Ndiyo jana wachawi wa CCM mmepewa wote ajenda moja muisambaze!!??

Yaani mazwazwa nyie endeleeni kutumika kama mpira wa kiume kwa malipo ya "mifupa" huku wenzenu wakila minofu na huku "karma" ikiwasubiria mlangoni.
Mbona nyinyi hatusemi wenzenu wanavyotafuna ruzuku nyinyi mnatumika kama toilet paper kwenye jogging za saccos!
 
Wewe ni simply Msengerema bin Chawa bin Kiroboto
 
Panya buku wewe
 
Hujaxema wongo hata. Tundu, ukitaka mahojano naye jitayarishe vya kutosha. Mm nlikua nangojea ule mtanange na Bashite, sjui uliishia wp au na kiongozi yyte wa ccm anayejiona ana misuli ya kutosha ya ubongo. Tundu ni kitu nyingne ...au uongo?!
Bashite alikuwa anaropoka tu yan hawez tunishiana misuli na tundu kwenye kujenga hoja ndio maana alisema alafu akakaa kimya
 
A load of stupidity

Sent using Jamii Forums mobile app
 
This sounds genuine!.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…