Nilikuwa na demu ana malengo balaa hata ukimpa pesa akatafute mahitaji yake anairudisha anakupa mipango mingine ya biashara na kujenga bajeti za kufa mtuMalay ni bk 5.demu hiyo c ya kusukia,bd vocha ...etc
Tunadeal je na hali zao?Wengi wa wanawake ni hali ngumu ya maisha tukideal na hali zao tutapunguza
Kwa wanaume ni tamaa
Sasa hao ni wachache.Nilikuwa na demu ana malengo balaa hata ukimpa pesa akatafute mahitaji yake anairudisha anakupa mipango mingine ya biashara na kujenga bajeti za kufa mtu
Ukiona demu anakupiga vizinga visivyoeleweka hana malengo na wewe au wewe huna malengo nae
Mwisho kabisa kila mmoja atambue ngono sio kila kitu, tafuta mke/mume utulie naeHapa ndio kwenye mjadala, itakosaje wateja na wateja wanapewa promotion za kutosha kama wafalme
Vitendea kaziWote wanyang'anywe vifanyio na vitunzwe museums!
Inafikirisha sana, unakuta mtu anasifia kungonoka na wanawake wengi imekuwa mtindo wa maishaAmina! Ongeza sauti wasikie maana wanunuwaji hawataki kusikia kufutwa kwa biashara kama wao ndio wauzaji
Swali fikirishi kwanini wanaume wananunua? Kununua Ndiyo kuna shawishi tena wengine wanatoa pesa nyingi li wawazidi kete wengine hata hivyo wanacho kwenda kukutana nacho duu ngoja niishie hapo nisije nikachafua Hali ya hewaUpande wa wanawake(japo sio wote) wanaona sababu ni wanaume kuendelea kuwanunua hao mabinti ndio maana wanaendelea kuwepo hapo wewe unaona ina mashiko hii hoja!
Kijana anashindwa kuelewa namna wanatusaidia sisi wenye mdomo mzitoNzi pamoja na hasara zake ana faida ya kupunguza msongamano wa watu duniani.
Vile vile ukkahaba pamoja na hasara zake, una faida ya kuwasaidia domo ,ege kupata utamu pasipo kuaibika
Hapo kwa U.S,unaweza toa a vivid case scenario?Familia, style za malezi au malezi kwa ujumla ndio chanzo. msingi wa taifa lolote ni familia. Familia iliyumba kizazi kinakuwa cha ajabu
Reference nzuri ni US
Hakika, kila Jambo linahitaji maamuzi sahihi tuNi kujiendekeza tu ni addiction kama ilivyo pombe na bangi
Ni kuwa tunakwepa ukweli ila suala la maadili sio suala la hiyari ni lazima nguvu itumikeHakika, kila Jambo linahitaji maamuzi sahihi tu