Ipi ni njia sahihi ya kukabiliana na ongezeko la ukahaba katika jamii?

Ukahaba ni life style tu ambayo wengi wana enjoy kuiishi, fursa, mali na pesa vipatikanavyo kupitia ukahaba ni added advantages tu.
 
Kuna makahaba V.I.P mkuu sio hao wa kimboka na kwa mama kibonge tu

Bao moja 500k, wengine hadi ndinga wanasukuma na mijengo mikali utasemaje ni umasikini
 
Elimu ya amali (vocational training)
Kulinda mazingira ili kilimo kisife
Kuimarisha maadili ya familia
Hukohuko kwenye hivyo vyuo na familianyumba za ibada ndiyo kwenye DNA za ukahaba na manabii, walezi na wakufunzi wake
 

Inasikitisha sana unamleta kiumbe duniani bila hiali yake hatimaye anakuja kuteseka tu
 
MFUMO DUME unatakiwa urudi katika kuiongoza familia. Baba kama hana kauli /sauti katika nyumba basi tutegemee hali hii kuongezeka zaidi
 
Ni kweli kabisa mkuu,mtu atakuwaje shoga eti kisa ni masikini

Hivyo hivyo wa jinsia ke utakuwaje kahaba eti kisa weww ni masikini umasikini sio kilema
Wewe usichanganye mafaili unazungumzia ukahaba au unazungumzia ushoga? Simamia kimoja

Ukitaka tuzungumzie kuhusu ushoga edit andiko lako na title pia
 
Wewe usichanganye mafaili unazungumzia ukahaba au unazungumzia ushoga? Simamia kimoja

Ukitaka tuzungumzie kuhusu ushoga edit andiko lako na title pia
Nimetoa mfano tu kuelezea hali ya umasikini na ukahaba si vinginevyo
 
Nimetoa mfano tu kuelezea hali ya umasikini na ukahaba si vinginevyo
Mfano wa ushoga kwenye Mada ya ukahaba? That's insanity simamia kimoja unataka tuzungumzie kuhusu ushoga tuongelee ushoga unataka tuongelee ukahaba basi tuongelee ukahaba sio una-mix mara ushoga mara ukahaba unatafuta sympathy ya kutete mada jua kua sababu kuu ya ukahaba ni Ufukara na umasikini, mabinti wengi wa kutoka Maisha ya kimasikini ndio wanaoangukia huko taja mtoto wa kibopa yoyote mwenye ukwasi wa kutosha ambae anauza Mbunye alafu Mimi nikuoroshee watoto wa Masikini ambao wanauza Mbunye sababu ya umasikini walionao
 
Upande wa wanawake(japo sio wote) wanaona sababu ni wanaume kuendelea kuwanunua hao mabinti ndio maana wanaendelea kuwepo hapo wewe unaona ina mashiko hii hoja!
Ukimdhibiti muuzaji(mwanamke) automatically biashara itakufa ila ukimdhibiti mnunuaji(mwanaume) as long as muuzaji bado yupo basi biashara itaendelea kuwepo tu. Angalia mfano biashara ya madawa ya kulevya wauzaji wanadhibitiwa kwa kuweka sheria na adhabu kali wakibainika kwa sababu hawa ndio chanzo cha tatizo lakini watumiaji wanachukuliwa kama waathirika tu ambao wanahitaji msaada wa kupelekwa hospital au rehab.
 
Mfano wangu ni kastory karefu kidogo, kuna kipindi nasoma chuo nilijaribu kurequest escort mtandaoni tukakubaliana dau lak4 per show(sikuwa serious just kujaribu)

Basi akaniambia tuma nauli, ili kuonesha nipo vizuri nikamtumia 20k nikampa location baada ya dk kadhaa kafika kwenda nakuta ndinga na bonge la pisi na miwani juu nikapiga naona anapokea wee nilitafuta njia ya kutolokea sijampokelea simu tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…