Ipi siri ya Wayahudi kuwa na akili sana?

Ndugu kuhusu Israel najua mengi sana lakini si uongo wako huu binafsi niesomalski huko uongo huu sijauona huko kuna wapagani kabisa na hawabaguliwi naona kuna watu wanawalipa labda kwa uongo huu!!
Tuambie mkuu hapo kipi nilichoandika cha uongo?
Je wakristo israel wanafika 3% jibu ni hapana
Waislamu israel wanafika 20% jibu ni ndio
Je israel wanamuamini yesu? Jibu ni hapana
Je israel wanakula nguruwe? Jibu ni hapana

Haya tuambie mkuu hapo kipi cha uongo?
 
Usitake kuhamisha mada Israel wanamwamini Yesu na wana hubiri mitaani kama huku. Kuna wa Tanzania wengi wanafanya na shirika la Jews for Jesus.
 

Attachments

  • IMG_0230.jpeg
    88.1 KB · Views: 3
Uarabuni mbona mbali sana, sehemu kubwa ya Pwani na visiwani hapa Tanzania ushoga umeshamiri sanaa.
Yaan Znz mtoto wa kiume analindwa mnoo kuliko mtoto wa kike. Aisee nilienda zenj dah niliyojionea nilisikitika sana.
Anataka evidence huyo mdini
 
Wa
na akili ukicompare na za nani, hakuna myahudi anayeishi israel, kizazi chao kilifutika kikaisha waliopo israel ni wazungu toka mataifa mbalimbali. Taifa la israle lilifutika mkuu
 
Oh wow!

Basi kumbe ndo maana uchumi wa Israel ndo uchumi mkubwa zaidi duniani!

Basi ndo maana Founding Fathers wote Marekani ni Wayahudi 🤣. Wao ndo walianzisha huu mfumo wa urais katika kuongoza nchi na leo hii nchi kibao zina marais.

John Jay myahudi. Samuel Adams myahudi. George Washington myahudi. George Mason myahudi. Peyton Randolph alikuwa myahudi. Robert Morris alikuwa myahudi. George Washington alikuwa myahudi. Hata Abraham Lincoln alikuwa myahudi.

Wayahudi wana akili sana ndo maana Hitler aliwakaanga milioni 6 tu 🤣.

Kwa akili walizo nazo Hitler alishindwa kuwamaliza wote. Akawakaanga milioni 6 tu 🤣.

Hata wale waliovumbua ndege, akina Wright brothers walikuwa Wayahudi.

Hata wale Wagiriki wanafalsafa nao walikuwa Wayahudi. Akina Plato, Pythagoras, Epicurus, Aristotle, Socrates, Diogenes, Democritus, Thales of Miletus, na wengineo, wote walikuwa Wayahudi hao 🤣.
 
Nani aliyesema waisrael Wana akili? Una akili unapigana na mtu mwaka mzima wewe Una Drones yeye ana mawe na humuwezi
Mmmmmm sidhani ni nadharia tu....nenda field ukaone hayo mawe.....kuna kitu wanachokitaka....kuifuta kabisa na eneo lile liwe bandaro huru...kosa lao wameingia kwenye mfumo na mtego
 
Ila tukubali tu kuwa kwenye jamii kuna wenye akili zaidi ya wengine. Wewe chunguza tu hata kwenye ukoo wako au kazini kwako wenye akili utawajua tu na vilaza utawajua tu.

Hapa duniani jamii inayoongoza kwa ujinga , Inferior mind na low IQ ni MIAFRIKA.

Angalia tu hata uendeshaji wa mabunge yetu huku Africa na mijadala ya hoja huko bungeni UTAGUNDUA UWEZO WETU WA KIAKILI. MBUNGE MWINGINE ANAWEZA KUUNGA HOJA MKONO HATA KAMA HAIELEWI KABISA , YAANI MASLAHI YA CHAMA NI MUHIMU KULIKO NATIONAL SECURITY NA AFYA.
 
Kiongozi wa Israel ni Netanyahau na Kiongozi wa Tanzania ni Samia...

Hapa Ndio inabidi uanze kubadili why Why Israel Wana akili
 
Na UKATILI, UUWAJI, KUTESA, KUIBA, KUPORA ....
 
Usitake kuhamisha mada Israel wanamwamini Yesu na wana hubiri mitaani kama huku. Kuna wa Tanzania wengi wanafanya na shirika la Jews for Jesus.
Acha kulazimisha vitu kama hata jambo kama hili hujui basi uwezo wako ni mdogo sana, jitahidi kuongeza elimu na exposure
 
Oh wow!

Basi kumbe ndo maana uchumi wa Israel ndo uchumi mkubwa zaidi duniani!
Ni muhimu kujua Israel ina ukubwa wa mkoa Mwanza tu ila ina uchumi mkubwa kuzipita nchi zote za Africa, imeipita Iran, na nchi nyingi sana kubwa kubwa, na imekuwa taifa rasmi mwaka 1948!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…