Ipi siri ya Wayahudi kuwa na akili sana?

Ipi siri ya Wayahudi kuwa na akili sana?

Ndugu kuhusu Israel najua mengi sana lakini si uongo wako huu binafsi niesomalski huko uongo huu sijauona huko kuna wapagani kabisa na hawabaguliwi naona kuna watu wanawalipa labda kwa uongo huu!!
Tuambie mkuu hapo kipi nilichoandika cha uongo?
Je wakristo israel wanafika 3% jibu ni hapana
Waislamu israel wanafika 20% jibu ni ndio
Je israel wanamuamini yesu? Jibu ni hapana
Je israel wanakula nguruwe? Jibu ni hapana

Haya tuambie mkuu hapo kipi cha uongo?
 
Tuambie mkuu hapo kipi nilichoandika cha uongo?
Je wakristo israel wanafika 3% jibu ni hapana
Waislamu israel wanafika 20% jibu ni ndio
Je israel wanamuamini yesu? Jibu ni hapana
Je israel wanakula nguruwe? Jibu ni hapana

Haya tuambie mkuu hapo kipi cha uongo?
Usitake kuhamisha mada Israel wanamwamini Yesu na wana hubiri mitaani kama huku. Kuna wa Tanzania wengi wanafanya na shirika la Jews for Jesus.
 

Attachments

  • IMG_0230.jpeg
    IMG_0230.jpeg
    88.1 KB · Views: 3
Uarabuni mbona mbali sana, sehemu kubwa ya Pwani na visiwani hapa Tanzania ushoga umeshamiri sanaa.
Yaan Znz mtoto wa kiume analindwa mnoo kuliko mtoto wa kike. Aisee nilienda zenj dah niliyojionea nilisikitika sana.
Anataka evidence huyo mdini
 
Wa
Ni ukweli usiobishaniwa kwamba Wayahudi ni watu wenye akili sana katika dunia hii, na hii hapa ni mifano michache tu ila wako maelfu,

Albert Einstein-Relativity(E=mc^2)
Neils Bohr- Nuclear,
Oppenheimer-bomu la atomic,
Edward Teller-bomu la Hydrogen
Karl Marx- Nadharia ya Ujamaa,
Boris Rosing-TV,
Paul Baran-Internet
Simcha Blass-Mfumo wa umwagiliaji shambani
William Fox-Movies,
Sergey Brin-Google,
Singer- Cherehani,
Milton Friedman-Uchumi
Waldemar Haffkine- Chanjo ya ukoma,
Jonas Salk- chanjo ya polio
Baruch Blumberg-Chanjo ya homa ya ini
Hedy Lammar- WiFi,
Mark Zuckerberg- Facebook
Levi Strauss- Jeans
Emile Berliner- microphone na helicopter
Ralph Baer- video game
Karl Landsteiner-makundi ya damu
Rothschild family-benki kimataifa
Sigmund Freud-Saikolojia
Leon Trotsky-Namba 2 mapinduzi ya kijamaa Russia 1917
Noam Chomsky
Selman Abraham Waksman-Antibiotics

Bila kusahau 22% ya washindi wa tuzo ya Nobel ni wa asili ya Wayahudi.

Hizo akili ni kwa sababu ya genes, mazingira au ndio kubarikiwa kama wengi wa Wayahudi wa Buza ambavyo wanaamini na kudai?!
na akili ukicompare na za nani, hakuna myahudi anayeishi israel, kizazi chao kilifutika kikaisha waliopo israel ni wazungu toka mataifa mbalimbali. Taifa la israle lilifutika mkuu
 
Utalinganisha vumbuzi(INVENTIONS) za jeans, chanjo, cherehani, drip irrigation, WiFi, silaha, nadharia za ujamaa na hizo biashara za magari ya Wajapan waliyoendeleza hapo juzi kati tu ? Hapo bado sijaongelea arts (walivyoikamata Hollywood), music, media na literature. Bado finance, economics, psychology majina makubwa ya Wayahudi yanatamba. Kazi za Wayahudi ni consequential, tuache utani.
Oh wow!

Basi kumbe ndo maana uchumi wa Israel ndo uchumi mkubwa zaidi duniani!

Basi ndo maana Founding Fathers wote Marekani ni Wayahudi 🤣. Wao ndo walianzisha huu mfumo wa urais katika kuongoza nchi na leo hii nchi kibao zina marais.

John Jay myahudi. Samuel Adams myahudi. George Washington myahudi. George Mason myahudi. Peyton Randolph alikuwa myahudi. Robert Morris alikuwa myahudi. George Washington alikuwa myahudi. Hata Abraham Lincoln alikuwa myahudi.

Wayahudi wana akili sana ndo maana Hitler aliwakaanga milioni 6 tu 🤣.

Kwa akili walizo nazo Hitler alishindwa kuwamaliza wote. Akawakaanga milioni 6 tu 🤣.

Hata wale waliovumbua ndege, akina Wright brothers walikuwa Wayahudi.

Hata wale Wagiriki wanafalsafa nao walikuwa Wayahudi. Akina Plato, Pythagoras, Epicurus, Aristotle, Socrates, Diogenes, Democritus, Thales of Miletus, na wengineo, wote walikuwa Wayahudi hao 🤣.
 
Nani aliyesema waisrael Wana akili? Una akili unapigana na mtu mwaka mzima wewe Una Drones yeye ana mawe na humuwezi
Mmmmmm sidhani ni nadharia tu....nenda field ukaone hayo mawe.....kuna kitu wanachokitaka....kuifuta kabisa na eneo lile liwe bandaro huru...kosa lao wameingia kwenye mfumo na mtego
 
Hahaha 🤣🤣

Mkuu kuhusu Wayahudi Hakuna historic Facts Ni kwamba Wao wametuzidi Akili na ndo wanaotawala Dunia yote Kiakili,Kijeshi na Hata Kimtazamo..

Wameweza kututawala Mpaka Kifikra na Kuingiza Historia yao kwenye Kila Mtu Duniani..

Kwenye watu Bilion 8 Duniani Watu Bilion 3 karibia na Nne ni Wakristo na Watu Bilion 2 Ni Waislamu na watu Karibia Bilion 1 Ni wayahudi wote hawa wanatukuza Historia ya Wayahudi na Kusifu miungu ya wayahudi...

Hii inafnya Watu Bilion 6 au Bilion 5 kati ya Bilion 8 Kuwa wafuasi wa Wayahudi bila Kujua..

Je Tumewahi kujiuliza kwanini wanatawala kwa sababu wakristo wanaamini wao wamebarikiwa, Na waislam wanaamini Pia kuwa Wayahudi walikuwa Taifa la Mungu..

Je ipi siku ambayo Sisi kama Binadamu tutakuwa Juu ya wayahudi?

Ni siku ambayo tutaacha kuwaweka juu kuliko Sisi..
"Cognitive Distortions" au Inferiority complex tuliyonayo bado Sana kuwazidi wayahudi..

Kuna kipindi Watu walikuwa wanaamini Mw alimu wa Shule hakosei na anajua kila kitu miaka ya 80 na 90 hiyo Until watu walipokuja kujua ni mtu wa kawaida na Huenda Ni mtu aliyefail matokeo yake Darasani..

Baada ya Jamii kumdunisha Mwalimu ilionekana mtu akisoma Ualimu ni mtu Duni katika jamii (Japo sikubaliani na Hoja hiyo)

Ni hivyo hivyo zamani watu waliamini Askofu au Padre hakosei hivyo ukisikia kakosea utapinga hata kupigana ukimtetea..

Sasa Tumeaminishwa na wayahudi kuwa wana akili kuliko wengine je hiyo dhana ni ya kweli??

Naongea mengi But huu Mfano wa Mwisho.

Umewahi kusikia Chochote kuhusu Dogon of Mali wale waliokuwa Mamajusi wa kutumia Nyota kuliko Watu wote Dunia Nzima ila ghafla utaambiwa Mamajuzi imeanza Mashariki ya Mbali..
Na mifano mingi inayofanana na hayo kwa sababu lengo ni kutengeneza Uoga, Inferior Thinking kwamba Huwezi kuliko mimi (Its a Mind game) ili ujione wao ndo wanaweza kuliko Sisi..
Na hili kufanikisha hilo Walizuia Vyuo vyao Vyote miaka hiyo Kuweka Watu wengine isipokuwa wao tu..

Lengo ni kufanya wao waone ni bora kuliko wengine na sisi na watoto wetu tujione hatuna ubora..

But Trust me Hata tuzo za Nobel na Tuzo zingine miaka hiyo ilitolewa kwa kuangalia Impacts ya Baadaye..

Kila Idara nyeti Myahudi kashika mpaka Freemason na Illuminati ilianzishwa na Myahudi...
Bila Kusahau hata Dhehebu la Shia Waislm lilianzishwa na Myahudi..

So ndo lengo lao hilo kucreate Internal Confusion among us And so tuwaone wao ni Bora kuliko yoyote..

I rest my case (BUT THATS THE TRUTHS) Its a Mind Game rather than Intelligence Game
Ila tukubali tu kuwa kwenye jamii kuna wenye akili zaidi ya wengine. Wewe chunguza tu hata kwenye ukoo wako au kazini kwako wenye akili utawajua tu na vilaza utawajua tu.

Hapa duniani jamii inayoongoza kwa ujinga , Inferior mind na low IQ ni MIAFRIKA.

Angalia tu hata uendeshaji wa mabunge yetu huku Africa na mijadala ya hoja huko bungeni UTAGUNDUA UWEZO WETU WA KIAKILI. MBUNGE MWINGINE ANAWEZA KUUNGA HOJA MKONO HATA KAMA HAIELEWI KABISA , YAANI MASLAHI YA CHAMA NI MUHIMU KULIKO NATIONAL SECURITY NA AFYA.
 
Kiongozi wa Israel ni Netanyahau na Kiongozi wa Tanzania ni Samia...

Hapa Ndio inabidi uanze kubadili why Why Israel Wana akili
 
Ni ukweli usiobishaniwa kwamba Wayahudi ni watu wenye akili sana katika dunia hii, na hii hapa ni mifano michache tu ila wako maelfu,

Albert Einstein-Relativity(E=mc^2)
Neils Bohr- Nuclear,
Oppenheimer-bomu la atomic,
Edward Teller-bomu la Hydrogen
Karl Marx- Nadharia ya Ujamaa,
Boris Rosing-TV,
Paul Baran-Internet
Simcha Blass-Mfumo wa umwagiliaji shambani
William Fox-Movies,
Sergey Brin-Google,
Singer- Cherehani,
Milton Friedman-Uchumi
Waldemar Haffkine- Chanjo ya ukoma,
Jonas Salk- chanjo ya polio
Baruch Blumberg-Chanjo ya homa ya ini
Hedy Lammar- WiFi,
Mark Zuckerberg- Facebook
Levi Strauss- Jeans
Emile Berliner- microphone na helicopter
Ralph Baer- video game
Karl Landsteiner-makundi ya damu
Rothschild family-benki kimataifa
Sigmund Freud-Saikolojia
Leon Trotsky-Namba 2 mapinduzi ya kijamaa Russia 1917
Noam Chomsky
Selman Abraham Waksman-Antibiotics

Bila kusahau 22% ya washindi wa tuzo ya Nobel ni wa asili ya Wayahudi.

Hizo akili ni kwa sababu ya genes, mazingira au ndio kubarikiwa kama wengi wa Wayahudi wa Buza ambavyo wanaamini na kudai?!
Na UKATILI, UUWAJI, KUTESA, KUIBA, KUPORA ....
 
Usitake kuhamisha mada Israel wanamwamini Yesu na wana hubiri mitaani kama huku. Kuna wa Tanzania wengi wanafanya na shirika la Jews for Jesus.
Acha kulazimisha vitu kama hata jambo kama hili hujui basi uwezo wako ni mdogo sana, jitahidi kuongeza elimu na exposure
 
Oh wow!

Basi kumbe ndo maana uchumi wa Israel ndo uchumi mkubwa zaidi duniani!
Ni muhimu kujua Israel ina ukubwa wa mkoa Mwanza tu ila ina uchumi mkubwa kuzipita nchi zote za Africa, imeipita Iran, na nchi nyingi sana kubwa kubwa, na imekuwa taifa rasmi mwaka 1948!
 
Back
Top Bottom