Kasome doctrine of necessity utaelewa vizuri maana ya haram na halaliWAyahudi hawali bata wala ngamia kwao ni halamu,we umeona nguruwe tu kasome mabo ya walawi 11 ndio utajua vyakula vipi ni halali na halamu kwa wayahudi na sababu zao ziku wazi.
Halafu waislamu wanakula nguruwe vizuri tu,ila mpaka kusiwe na chakula chochote,kwahiyo nguruwe haijawahi kuwa haramu katika uislam.
😂🤣😂Nani aliyesema waisrael Wana akili? Una akili unapigana na mtu mwaka mzima wewe Una Drones yeye ana mawe na humuwezi
Sasa hapo ndo tunakuja Upande wa Energy consuption maandalizi na vyakula Tunavyokula..Kitendo cha kutengeneza hizo unazozita internal confusions,ndio akili zenyewe sasa,kuna jamii ngapi duniani mbona wao wameweza kufanya hivyo?
doctrine of necessity Umenikumbusha Mbali sana..Kasome doctrine of necessity utaelewa vizuri maana ya haram na halali
Upande gani Mkuu Maana ukisema Uzoefu bila Kutaka Upande Iko General Sana..Nipe uzoefu wako katika imani hiyo ya kiyahudi.
Hata zenji wapoKwa nini?
Hahaaa eti kurwani,yani kitabu cha pedophile kije kuleta majibu ya kisayansi?Ngoja nikuchambuwe moja moja:
Hapana, Albert Einstein hakuwa wa kwanza kuielezea na kuendeleza nadharia ya uhusiano (relativity), lakini alikuwa wa kwanza kuchapisha kazi yake juu ya mada hiyo:
- Isaac Newton
aliunda nadharia ya mechanics ambayo ilikubaliwa kwa zaidi ya miaka 200 kabla ya nadharia ya Einstein ya uhusiano.
- Qur'an
Baadhi ya aya katika Qur'an zinahusiana na nadharia ya uhusiano, ikiwa ni pamoja na Sura Al-Hajj 47, ambayo inasema, "Hakika siku moja kando ya Mola wako Mlezi ni kama miaka elfu kutoka miaka unayoihesabu."
Duuh,kama umetahiriwa inakuaje?au kutahiriwa kukoje huko?Kuingia Kwenye Uyahudi Its hard sana ni ngumu sana..
Unatakiwa Usome Uelewe nini hasa ni uyahudi usome sheria usome torah Usome si chini ya mwaka na sehemu Chini ya Community ya Rabbi group fulan Wale rabbi wakiona umekwiva ndo wakupendekeze Kwenda kwenye Beit Din (kama Mahakama ya Marabbi) uulizwe maswali ukifaulu Mahakama hiyo ndo upelekwe kwenye Kutahiriwa baadae Upelekwe Mikvah (Josho)..
Ni process Sio kitu cha Siku moja
Mkuu naewe si ukapige kelele kama ni rahisi,Jambo analofanya myahudi akija kufanya mwingine vilevile ila myahudi ataonekana super intelligent kuliko huyo mwingine japo linaweza kua the same ni suala la branding, huko ugirki kulikua na wanasayansi mahili mno na wamefanya vizuri tu ila huwezi kusikia akifanya myahudi kelele ulimwengu mzima
Aisee,hii experiment hainatofauti na wafia dini katika ulimwengu huu.NIseme Ukweli Nimependa Uwezo wako wa Kujenga hoja..
Japo naomba Kusema kitu..
Walatin walikuwa na Msemo wao Mmoja Huwa naupenda sana..
"Timor confingitur, quamquam periculum vere accidere potest."
Yaani..
"Fear is fabricated, although the danger can truly happen."
Namaanisha kwamba Hukuzaliwa tu ukajua Kuwa nyoka ni kiumbe wa ajabu na unapaswa kumkwepa wakati huo ukajua kuwa mjusi si kiumbe hatari na haupaswi kumkimbia..
Wakati huo ukajua Ng'ombe unapaswa kumfuga na wala hana madhara kwa binadamu na Simba Ama madhara na Huwezi kumchukua Porini ukamuweka Nyumbni umfuge..
Namaanisha nini If you want to bult empire You have to stated with strategies, Plan How you going to Put it together how utaovercome Failure et al..
Did you think Israel ilipoanzishwa mwaka 1947 hawakujua Vyote hivyo?
Napoleon Hills Aliwahi kusema "The Hardest and Dangerous Prisone to escape is in Your Own mind"
Kama Nilivyosema Mwanzoni More than 60% Ya Dunia Hii wote Ni Dini Hizi tatu Christian, Muslim and Judaism..
Na wote hawa Wanawatukuza Wayahudi kama Ni Mitume na Taifa Teule ama lililokuwa Teule..
Ukija kwa Wakristo watakuambia Wayahudi ni Watu wa Mungu..
Sasa Hapo ndo inakuja Dhana ya kuwa Hakuna Gereza walilotuweka ambalo ni gumu kutoka Kama gereza la Imani kwa sababu Mtu yuko tayari kutetea hata afe kwa ajili hiyo..
Vipi kuhusu Vita na wayahudi kushinda kila mara kwani inashindikana Kuwapiga Bomu la Kushtukiza ghafla.... (Inawezekana) sasa Why, Cuz they just fabres things and They want you to beleive that Wayahudi wako powerfull Japani aliwahi kuchapwa Na nyuklia Mpaka leo ana athali ya Hiroshima..
So Hata Palestina na Israel those are just Message they want you to see that They are powerfull wakati Huenda Si kweli..
Ukitaka Kujua Israel is not israel as We think Just angalia Utetezi wanaopata kwa Nchi kwenye vikao vya UN..
Kuna Vitu hupandikizwa Vichwani vyetu ambavyo Unaweza ukajiuliza kwanini Tunaambiwa au tunaonheshwa hivyo..
Mwaka 1996 Kulifanyika Peer Traditional Experiments iliyohusisha nyani (Nitakuwekea hapo chini Kwa ajili ya kuweka Records Sawa) na mwaka 2008 kulifanyika pia experiments hiyo hiyo ila ilikuwa ya watu japo.ilikuwa Kwenye sense tofaufyi nikipata nitakuwekea pia..
Hii Ndo experiments
View attachment 3135064
So Kitu kitakachotusaidia ni Only kuchange mindsets Yetu kuweka akili zetu sawa na Ku"Unlearn kila kitu walichotupandikiza na kutufundisha Hiyo ndo njia sahihi ya Kuchomoka""
This was All a mind sets Games to us
Hata kukopy nayo nia akili,wewe mweusi umekopi tech ipi hadi sasa,angalia maendeleo ya china linganisha naya waarabu au watu weusi.Hivi mchinaa ana akili gani, kila sikuu kucopy vituu vya watuuu
Vipi kuhusu yesu?Wayahudi wanaamini biblia bna usidanganye.Kuanzia kitabu cha mwanzo hadi Malaki hiyo wanaamini na kuvifuata pasi na kuacha hata nukta moja.Wao hawaamini injili tu.
Anzisha Uzi wako utajibiwa dogo!unakuwa na akili kisha unakuwa shoga vipi wewe unatamani mtoto wako awe kama Waisrael awe na akili kisha anatafunwa hiyo lost uliyokweka ni mashoga watupu.
Hahahah Hapana Huwezi kutahiriwa Tena sasa Ukitahiriwa Tena watakata Nini kichwa 😅😅Duuh,kama umetahiriwa inakuaje?au kutahiriwa kukoje huko?
Hivi hujui kwamba Roma ni taasis iliopo kwenye decline, ivi huoni sign jinsi Papa francis anavyohangaikaa kwendaa sawaa na walimwengu na mambo yao badala ya kukanyaa? Roma yenyee nguvuu ni ilee ya zamani ambayo hata uwe mfalmee unakula jeupee, uliza Anglican ilitokanajee.H
Hoja yako ya makuhani kutozalisha wanawake napinga mana ukitazama kanisa katoliki la roma ndio.taasisi kubwa ya kidini duniani yanye mfumo imara wa kiuongozi na kiuchumi na ni taasisi yenye infuence kubwa kwenye masuala mbalimbali ya kijamii na kisiasa maeneo mengi ulimwenguni.
Ndio ujue tofauti ya watu waliobarikiwa na Mungu na watu wengine. Ibrahimu alimwombea Ishmael kwa Mungu ili zile baraka alizoahidi Mungu ziende kwake Mungu akakataa akampa baraka tu za kawaida. Lakini akamwambia baraka za Agano zitaenda kwa mzao atakayezaliwa na mke wa Ibrahim yaani Isaka. Baada ya Isaka ndio akaja Israeli. Hivyo Akili nyingi zinatokana na baraka za Agano na Mungu.Ni ukweli usiobishaniwa kwamba Wayahudi ni watu wenye akili sana katika dunia hii, na hii hapa ni mifano michache tu ila wako maelfu,
Albert Einstein-Relativity(E=mc^2)
Neils Bohr- Nuclear,
Oppenheimer-bomu la atomic,
Edward Teller-bomu la Hydrogen
Karl Marx- Nadharia ya Ujamaa,
Boris Rosing-TV,
Paul Baran-Internet
Simcha Blass-Mfumo wa umwagiliaji shambani
William Fox-Movies,
Sergey Brin-Google,
Singer- Cherehani,
Milton Friedman-Uchumi
Waldemar Haffkine- Chanjo ya ukoma,
Jonas Salk- chanjo ya polio
Baruch Blumberg-Chanjo ya homa ya ini
Hedy Lammar- WiFi,
Mark Zuckerberg- Facebook
Levi Strauss- Jeans
Emile Berliner- microphone na helicopter
Ralph Baer- video game
Karl Landsteiner-makundi ya damu
Rothschild family-benki kimataifa
Sigmund Freud-Saikolojia
Leon Trotsky-Namba 2 mapinduzi ya kijamaa Russia 1917
Noam Chomsky
Selman Abraham Waksman-Antibiotics
Bila kusahau 22% ya washindi wa tuzo ya Nobel ni wa asili ya Wayahudi.
Hizo akili ni kwa sababu ya genes, mazingira au ndio kubarikiwa kama wengi wa Wayahudi wa Buza ambavyo wanaamini na kudai?!
Wewe ndiye hujui Biblia. Biblia ina sehemu mbili kubwa. Agano la kale linalohusu Wayahudi na utabiri wa Masihi na Agano Jipya linalomhusu Masihi na wokovu kwa mataifa yote. Baadhi ya Wayahudi walipigwa chenga ktk kuamini kwamba Yesu ndiye Masihi. Hivyo hawaamini Agano Jipya. Lakini wapo wengi wanaoamini.Hadi leo hujui kwamba jews hawatumii na hawaamini katika biblia wala ukristo ambao hawautaki hata kuusikia?