NIseme Ukweli Nimependa Uwezo wako wa Kujenga hoja..
Japo naomba Kusema kitu..
Walatin walikuwa na Msemo wao Mmoja Huwa naupenda sana..
"Timor confingitur, quamquam periculum vere accidere potest."
Yaani..
"
Fear is fabricated, although the danger can truly happen."
Namaanisha kwamba Hukuzaliwa tu ukajua Kuwa nyoka ni kiumbe wa ajabu na unapaswa kumkwepa wakati huo ukajua kuwa mjusi si kiumbe hatari na haupaswi kumkimbia..
Wakati huo ukajua Ng'ombe unapaswa kumfuga na wala hana madhara kwa binadamu na Simba Ama madhara na Huwezi kumchukua Porini ukamuweka Nyumbni umfuge..
Namaanisha nini If you want to bult empire You have to stated with strategies, Plan How you going to Put it together how utaovercome Failure et al..
Did you think Israel ilipoanzishwa mwaka 1947 hawakujua Vyote hivyo?
Napoleon Hills Aliwahi kusema
"The Hardest and Dangerous Prisone to escape is in Your Own mind"
Kama Nilivyosema Mwanzoni More than 60% Ya Dunia Hii wote Ni Dini Hizi tatu Christian, Muslim and Judaism..
Na wote hawa Wanawatukuza Wayahudi kama Ni Mitume na Taifa Teule ama lililokuwa Teule..
Ukija kwa Wakristo watakuambia Wayahudi ni Watu wa Mungu..
Sasa Hapo ndo inakuja Dhana ya kuwa Hakuna Gereza walilotuweka ambalo ni gumu kutoka Kama gereza la Imani kwa sababu Mtu yuko tayari kutetea hata afe kwa ajili hiyo..
Vipi kuhusu Vita na wayahudi kushinda kila mara kwani inashindikana Kuwapiga Bomu la Kushtukiza ghafla.... (Inawezekana) sasa Why, Cuz they just fabres things and They want you to beleive that Wayahudi wako powerfull Japani aliwahi kuchapwa Na nyuklia Mpaka leo ana athali ya Hiroshima..
So Hata Palestina na Israel those are just Message they want you to see that They are powerfull wakati Huenda Si kweli..
Ukitaka Kujua Israel is not israel as We think Just angalia Utetezi wanaopata kwa Nchi kwenye vikao vya UN..
Kuna Vitu hupandikizwa Vichwani vyetu ambavyo Unaweza ukajiuliza kwanini Tunaambiwa au tunaonheshwa hivyo..
Mwaka 1996 Kulifanyika Peer Traditional Experiments iliyohusisha nyani (Nitakuwekea hapo chini Kwa ajili ya kuweka Records Sawa) na mwaka 2008 kulifanyika pia experiments hiyo hiyo ila ilikuwa ya watu japo.ilikuwa Kwenye sense tofaufyi nikipata nitakuwekea pia..
Hii Ndo experiments
View attachment 3135064
So Kitu kitakachotusaidia ni Only kuchange mindsets Yetu kuweka akili zetu sawa na Ku"Unlearn kila kitu walichotupandikiza na kutufundisha Hiyo ndo njia sahihi ya Kuchomoka""
This was All a mind sets Games to us