Hapa namaanisha Wayahudi kama jamii fulani(ethnicity) hasa kwa kuzingatia wenye wazazi wote wawili Wayahudi, nikiweka list ya watu wenye mzazi mmoja tu myahudi(mama) nitakesha.Propaganda za kuwakuza wayahudi zipo nyingi..
..hapo umemaanisha 'wayahudi' kama dini au kama 'jamii' Fulani?
old testament ndio kitabu cha mungu, hivi vingine wakristo mmepigwa fanya research zako utakuja kuniambiaHili liko wazi. Wanapinga. Ila mada inataka kujua kwa nini wanafanikiwa.
Moja ya sababu kwa upa de wangu ni kanuni ambazo wamezientewoven kwenye tamaduni zao ambazo zimewafanya wafanikiwe. Kanuni hizi zinapatikana sana kwenye torati na Mithali. Ndio maana hata kauli mbiu ya Mossad ni mstari unaopatikana katika kitabu cha mithali.
Nikupe mfano mmoja.
Wanaamini anayetakiwa kufanya kila kitu alikuwa ni adamu peke yake maana hakuwa na watu wa kumsaidia. Ila sasa hivi kuna watu wengi wewe unaweza kuwa na idea utakusanya IT, Maengineer, na wahusik Idea inKuwa kitu halisi unapiga pesa.
Msome Rabbi Lapin au sikiliza interview zake youtube. Anachambua kanuni za OT zinavyoweza kukutoa kiuchumi
Vp kuhusu wale ambao kichwani hamna na bado ni mashoga hasa ndugu zetu wa ukanda wa pwani na visiwa vya karafuuunakuwa na akili kisha unakuwa shoga vipi wewe unatamani mtoto wako awe kama Waisrael awe na akili kisha anatafunwa hiyo lost uliyokweka ni mashoga watupu.
Uzi unaongelea uwezo wa kiakili wa MAYAHUDI,wewe unaongelea umungu wa Yesu vitu viwili tofauti.Twende taratibu ,
wakristo wanamuona yesu ni mungu kweli si kweli?
Wayahaudi wanaamini mungu mmoja na yesu sio mungu ,kweli si kweli?
Wayahudi wanaamini kitabu ya torati, na wakristo biblia, kweli si kweli?
Wayahudi wanakula halaal food na nguruwe kwao ni haram ,kweli si kweli?
Sasa jijibu mwenyewe na angalia wakristo na wayahudi walivyokuwa tofauti kama mbingu ma ardhi
Hapa namaanisha Wayahudi kama jamii fulani(ethnicity) hasa kwa kuzingatia wenye wazazi wote wawili Wayahudi, nikiweka list ya watu wenye mzazi mmoja tu myahudi(mama) nitakesha.
Wayahudi wq wap hao wana amini biblia?!Wayahudi wanaamini biblia bna usidanganye.Kuanzia kitabu cha mwanzo hadi Malaki hiyo wanaamini na kuvifuata pasi na kuacha hata nukta moja.Wao hawaamini injili tu.
Mind game, inamake sense,Hahaha 🤣🤣
Mkuu kuhusu Wayahudi Hakuna historic Facts Ni kwamba Wao wametuzidi Akili na ndo wanaotawala Dunia yote Kiakili,Kijeshi na Hata Kimtazamo..
Wameweza kututawala Mpaka Kifikra na Kuingiza Historia yao kwenye Kila Mtu Duniani..
Kwenye watu Bilion 8 Duniani Watu Bilion 3 karibia na Nne ni Wakristo na Watu Bilion 2 Ni Waislamu na watu Karibia Bilion 1 Ni wayahudi wote hawa wanatukuza Historia ya Wayahudi na Kusifu miungu ya wayahudi...
Hii inafnya Watu Bilion 6 au Bilion 5 kati ya Bilion 8 Kuwa wafuasi wa Wayahudi bila Kujua..
Je Tumewahi kujiuliza kwanini wanatawala kwa sababu wakristo wanaamini wao wamebarikiwa, Na waislam wanaamini Pia kuwa Wayahudi walikuwa Taifa la Mungu..
Je ipi siku ambayo Sisi kama Binadamu tutakuwa Juu ya wayahudi?
Ni siku ambayo tutaacha kuwaweka juu kuliko Sisi..
"Cognitive Distortions" au Inferiority complex tuliyonayo bado Sana kuwazidi wayahudi..
Kuna kipindi Watu walikuwa wanaamini Mw alimu wa Shule hakosei na anajua kila kitu miaka ya 80 na 90 hiyo Until watu walipokuja kujua ni mtu wa kawaida na Huenda Ni mtu aliyefail matokeo yake Darasani..
Baada ya Jamii kumdunisha Mwalimu ilionekana mtu akisoma Ualimu ni mtu Duni katika jamii (Japo sikubaliani na Hoja hiyo)
Ni hivyo hivyo zamani watu waliamini Askofu au Padre hakosei hivyo ukisikia kakosea utapinga hata kupigana ukimtetea..
Sasa Tumeaminishwa na wayahudi kuwa wana akili kuliko wengine je hiyo dhana ni ya kweli??
Naongea mengi But huu Mfano wa Mwisho.
Umewahi kusikia Chochote kuhusu Dogon of Mali wale waliokuwa Mamajusi wa kutumia Nyota kuliko Watu wote Dunia Nzima ila ghafla utaambiwa Mamajuzi imeanza Mashariki ya Mbali..
Na mifano mingi inayofanana na hayo kwa sababu lengo ni kutengeneza Uoga, Inferior Thinking kwamba Huwezi kuliko mimi (Its a Mind game) ili ujione wao ndo wanaweza kuliko Sisi..
Na hili kufanikisha hilo Walizuia Vyuo vyao Vyote miaka hiyo Kuweka Watu wengine isipokuwa wao tu..
Lengo ni kufanya wao waone ni bora kuliko wengine na sisi na watoto wetu tujione hatuna ubora..
But Trust me Hata tuzo za Nobel na Tuzo zingine miaka hiyo ilitolewa kwa kuangalia Impacts ya Baadaye..
Kila Idara nyeti Myahudi kashika mpaka Freemason na Illuminati ilianzishwa na Myahudi...
Bila Kusahau hata Dhehebu la Shia Waislm lilianzishwa na Myahudi..
So ndo lengo lao hilo kucreate Internal Confusion among us And so tuwaone wao ni Bora kuliko yoyote..
I rest my case (BUT THATS THE TRUTHS) Its a Mind Game rather than Intelligence Game
Ni ukweli usiobishaniwa kwamba Wayahudi ni watu wenye akili sana katika dunia hii, na hii hapa ni mifano michache tu ila wako maelfu,
Albert Einstein-Relativity(E=mc^2)
Cha kwanza Wanajua Siri nyingi Za Kale Kuliko wengine kwa sababu Wanarithishana Maarifa kwa Mdomo.Kizazi hata kizazi..Mind game inamake se
Ni kweli kwamba by default watu wote tuko sawa.
Sasa ilikuaje wao wakawa na ufahamu huo kwa level hiyo yakuweza kujua saikolojia ya mtu na kucheza nayo kabla hata ya jamii nyingine na wakafanikiwa kutuharihu kisaikolojia, na ukizingatia nyakati hizo za tokea kale huko...
Je hiyo level yakuorganize mambo/program in very long term plan kwa ufanisi mkubwa hivyo na wakafanikiwa, waliutoa wapi? Ama hawakua pekeyao? Au ndio akili waliotuzidi? Au kweli wamebarikiwa na mungu?
Utashangaa wengi wa hao washindi wa Nobel wa Austria ni Wayahudi!Kwani hiyo Nobel imeanza lini hadi useme ni Israel taifa dogo/changa? Uchanga wake unaupimaje? Wenyewe wanasema wana miaka zaidi ya 3,000
Sasa nikujulishe tu Austria ni ndogo kuliko Israel kwa population na pia wao ni taifa changa kama unataka hicho kigezo ila inao washindi 25, Demark ni ndogo unao 14, Hungary hivyo hivyo inao 17.
Hakuna kitu special hapo Uyahudini
Dada Faiza Unafahamu chochote kUhusu Physics??Ngoja nikuchambuwe moja moja:
Hapana, Albert Einstein hakuwa wa kwanza kuielezea na kuendeleza nadharia ya uhusiano (relativity), lakini alikuwa wa kwanza kuchapisha kazi yake juu ya mada hiyo:
- Isaac Newton
aliunda nadharia ya mechanics ambayo ilikubaliwa kwa zaidi ya miaka 200 kabla ya nadharia ya Einstein ya uhusiano.
- Qur'an
Baadhi ya aya katika Qur'an zinahusiana na nadharia ya uhusiano, ikiwa ni pamoja na Sura Al-Hajj 47, ambayo inasema, "Hakika siku moja kando ya Mola wako Mlezi ni kama miaka elfu kutoka miaka unayoihesabu."
Unafikiri swala la Israel siyo anapigana na palestinians yeye anapigana na magaidi wa hamas waliojichanganya ndani ya raia wa kipalestina na wengi wa wapalestina hawapendi hamas wanalazimishwa tambua west bank ni mamlaka ya palestinians lakini hakuna tatizo kama la gaza wanakotawala hamas wayahudi wako kwenye nchi moja lakini mamlaka ziko tatu fathah hamas na Israel kama taifa huduma zote za jamii zinatoka Israel hivyo kupigana pale hakipo kuna kusaka hamas na mali zao wanawapunguza nguvu hao viongozi ndiyomaa sasa wanawasaka viongozi tuNani aliyesema waisrael Wana akili? Una akili unapigana na mtu mwaka mzima wewe Una Drones yeye ana mawe na humuwezi
Kuna imani moja wao kukuingiza kwenye dini yao ni matter ya sekunde moja wala hakuna mafundishoNakubaliana Na wewe Kabisa Hata ukiataka Kuwa Myahudi inakupasa Kukaa Mwaka mmoja au zaidi kupata Imani yao (Kugain Trust) Japo hutapata Full trust ila lazma uingie darasani Usome Upate trust then Uchunguzwe Mwishi ndo uwe myahudi..
Naelewa kwa sababu I was Once A Judaism so i know the strugle
Ngoja nijaribu kukuelezea kwa lugha nyepesi kabisa:KWa hiyo mungu wa wayahudi na wa wakristo ni tofauti au siyo?
Kikongwe kadandia mada ili "achip" in agenda zake.Dada Faiza Unafahamu chochote kUhusu Physics??
Isaac Newton Hakuwahi Kujihusisha na Theory yoyote ya Relativity ila kama Una Ushahidi hata wa mdogo chenye Ya Punje ya Unga Wa Ngano kuhusu Ushahidi wa Relativity theory ya Newton Niko Tayari kujifunza..
Newton alijikita sana kwenye classical Mechanics..
Kuingia Kwenye Uyahudi Its hard sana ni ngumu sana..Kuna imani moja wao kukuingiza kwenye dini yao ni matter ya sekunde moja wala hakuna mafundisho
Sasa INA maana HAO nafaidi wanaakili kuwazidi akina Netanyau kama ndio hivyoUnafikiri swala la Israel siyo anapigana na palestinians yeye anapigana na magaidi wa hamas waliojichanganya ndani ya raia wa kipalestina na wengi wa wapalestina hawapendi hamas wanalazimishwa tambua west bank ni mamlaka ya palestinians lakini hakuna tatizo kama la gaza wanakotawala hamas wayahudi wako kwenye nchi moja lakini mamlaka ziko tatu fathah hamas na Israel kama taifa huduma zote za jamii zinatoka Israel hivyo kupigana pale hakipo kuna kusaka hamas na mali zao wanawapunguza nguvu hao viongozi ndiyomaa sasa wanawasaka viongozi tu
Ukafanye ushoga wako umejificha sheria ya Uislam unanyongwa.Hivi kumbe hakuna waislamu mashoga? Ndio nimejua Leo hii NI mpya
Austria, Hungary, Denmark kote huko kuna wayahudiKwani hiyo Nobel imeanza lini hadi useme ni Israel taifa dogo/changa? Uchanga wake unaupimaje? Wenyewe wanasema wana miaka zaidi ya 3,000
Sasa nikujulishe tu Austria ni ndogo kuliko Israel kwa population na pia wao ni taifa changa kama unataka hicho kigezo ila inao washindi 25, Demark ni ndogo unao 14, Hungary hivyo hivyo inao 17.
Hakuna kitu special hapo Uyahudini