EricMan
JF-Expert Member
- Oct 5, 2017
- 3,050
- 5,420
kwahio inakua na quality wakat wa taarifa ya habar tu.TBC 1 angalia wakati wa Taarifa ya habari saa moja na saa mbili
maan hapa naangalia TBC 1 naona mawingu tu nikikompea na channel za azam
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwahio inakua na quality wakat wa taarifa ya habar tu.TBC 1 angalia wakati wa Taarifa ya habari saa moja na saa mbili
watangaze nafasi ya watu wapumbafu kama elon musk ili waweke mambo sawaIpp Media na Clouds Media uzeni kampuni zenu kwa wawekezaji vijana wafumue na kuunda upya vituo vyenye muonekano wa kushawishi vijana kutazama channel zenu kwasababu mpo kizee sana channel zenu zimekaa kizee ndio maana vijana wamewakimbia na kwenda Wasafi Media ninyi mmeabaki na wazee na vijana wenye fikra za kizamani.
Teknologia imebadilika sana ninyi bado mpo nyuma, kongole kwa TBC 1 kwa kufumua muonekano wa kizamani na kutengeneza muonekano wa sasa unaovutia vijana kitizama channel yenu lakini pia pongezi nyingi kwa kuingia katika mfumo wa kurusha video zenye ubora wa 4K.
Ipp Media na Clouds Media ninyi mnatakiwa kununuliwa na watu wenye akili za Elon Musk ili wawafumue kama alivyofanya kwenye kampuni ya Twitter kwasababu mmetawaliwa na uzamani mwingi sana.
Azam ndo kaitafta 720p ambayo ni HD sijaona mwingine aliefika 1080p ambayo FHD (full HD)Hakuna Tv Tanzania inayorusha Full HD achilia mbali 2k wala 4k
hajui alichokiandika huyo azam wenyew pamoja na kujitafta wameishia HDTbc wanarusha 4k toka lini?? Hata DStv bado hawana hio tech.
Sawa mjuajiWatafute vijana chipukizi wanaojua kucheza na graphics
Acha kuropoka. Fanya tafiti. Channel za Azam zinarusha Full HDHakuna Tv Tanzania inayorusha Full HD achilia mbali 2k wala 4k
Haya makampuni yapo kitambo sana,lakini Azam amekuja na amewapita mbali sanaIpp Media na Clouds Media uzeni kampuni zenu kwa wawekezaji vijana wafumue na kuunda upya vituo vyenye muonekano wa kushawishi vijana kutazama channel zenu kwasababu mpo kizee sana channel zenu zimekaa kizee ndio maana vijana wamewakimbia na kwenda Wasafi Media ninyi mmeabaki na wazee na vijana wenye fikra za kizamani.
Teknologia imebadilika sana ninyi bado mpo nyuma, kongole kwa TBC 1 kwa kufumua muonekano wa kizamani na kutengeneza muonekano wa sasa unaovutia vijana kitizama channel yenu lakini pia pongezi nyingi kwa kuingia katika mfumo wa kurusha video zenye ubora wa HD.
Ipp Media na Clouds Media ninyi mnatakiwa kununuliwa na watu wenye akili za Elon Musk ili wawafumue kama alivyofanya kwenye kampuni ya Twitter kwasababu mmetawaliwa na uzamani mwingi sana.
Azam hawana Full HD wana HD tuAcha kuropoka. Fanya tafiti. Channel za Azam zinarusha Full HD
1080p pia nayo ni HD sio lazima uiite full HD. Hata youtube wameipa 1080p jina la HD kutokana na technolojia kukua.Azam hawana Full HD wana HD tu
Ata ukiangalia azam two ama zile sport utaon pameandikw HD na sio Full HD
tutofautishe kat ya HD na FHD
HD = 720P (1,280 × 720 pixels)
FHD = 1080p ( 1920 × 1080 pixels)
Unaowaelekeza hawajui kitu alafu hawataki kuelimishwa,unapoteza muda wakoAzam hawana Full HD wana HD tu
Ata ukiangalia azam two ama zile sport utaon pameandikw HD na sio Full HD
tutofautishe kat ya HD na FHD
HD = 720P (1,280 × 720 pixels)
FHD = 1080p ( 1920 × 1080 pixels)
YouTube wanapokea mpaka 4K wapo vizuri, ila ukitaka Video ya 4K YouTube labda ile ya Jennifer Lopez - I luh ya Papi na wasanii wengineo1080p pia nayo ni HD sio lazima uiite full HD. Hata youtube wameipa 1080p jina la HD kutokana na technolojia kukua.
Pia uang'avu wa 1080p unajulikana hata ukiuangalia kwa macho. 720p haina uang'avu wa namna ile kwenye screen kubwa ya 55inch.
Wewe unajua kitu gani wewe au umekaririshwa. Au unadhani kila mtu ni amekosa maarifaUnaowaelekeza hawajui kitu alafu hawataki kuelimishwa,unapoteza muda wako
Muonekano wa ukubwa wa kamera usikutisheTBC 1 wapo juu labda hujawahi watizama wakati wa Taarifa ya habari. Wamefunga Camera kubwa sana sio poa
Yes najua. 4k mtu yeyote anaweza upload youtube hata wewe sio wasanii tuYouTube wanapokea mpaka 4K wapo vizuri, ila ukitaka Video ya 4K YouTube labda ile ya Jennifer Lopez - I luh ya Papi na wasanii wengineo