Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kinyaaKusifu nako kukiwa kwingi basi wajiunge na Mwamposa sasa, kusifu ni unafiki mtupu
Kweli akili ni nywele na kila mtu ana zake. Kumbe kuna watu wanasifia kabisa uchafu kama Wasafi Media? Anyways siyo kama nawatetea hao uliwa-mention kwa sababu na wao mananga tu, ila nashindwa mtu kuelewa mtu anayesifia Wasafi.Ipp Media na Clouds Media uzeni kampuni zenu kwa wawekezaji vijana wafumue na kuunda upya vituo vyenye muonekano wa kushawishi vijana kutazama channel zenu kwasababu mpo kizee sana channel zenu zimekaa kizee ndio maana vijana wamewakimbia na kwenda Wasafi Media ninyi mmeabaki na wazee na vijana wenye fikra za kizamani.
Teknologia imebadilika sana ninyi bado mpo nyuma, kongole kwa TBC 1 kwa kufumua muonekano wa kizamani na kutengeneza muonekano wa sasa unaovutia vijana kutizama channel yenu lakini pia pongezi nyingi kwa kuingia katika mfumo wa kurusha video zenye ubora wa HD.
Ipp Media na Clouds Media ninyi mnatakiwa kununuliwa na watu wenye akili za Elon Musk ili wawafumue kama alivyofanya kwenye kampuni ya Twitter kwasababu mmetawaliwa na uzamani mwingi sana.
Hakuna kitu. Azam wanarusha HD, sio FHD.Acha kuropoka. Fanya tafiti. Channel za Azam zinarusha Full HD
Twitter na Youtube wapi na wapi? Ni vitu viwili tofauti kabisa.Kuna uwezekano Twitter akaja kumzidi YouTube
decoder inaweza kuruhusu lkn kama channel hain ni haina tu
kama ni mbovu hata kama decoder akupe quality nzur utaona chenga tuVip kuhusu quality ya tv