Iran inajiandaa kupiga ndani ya Israel kwa masaa 48 yajayo

Iran inajiandaa kupiga ndani ya Israel kwa masaa 48 yajayo

Nchi yenye nuclear power huwa haipigwi vita kiboya hivyo. Angalau wote wangekuwa na nuclear power hapo sawa. We unazani South Korea alipata wapi jeuri ya kumvimbi US? Ni nuclear power tu.

Ndio maana Israel inavimba maana inajua lazima wengine waingilie kuzuia matumizi ya nuclear yasitokee.
Wewe unadhani Iran haina nuclear bombs?
 
Wewe unadhani Iran haina nuclear bombs?
Thibitisha sio maneno tu.
Mimi ushahidi wangu huu hapa
Screenshot_20240403-203248~2.png
 
Maneno meeeengi, Israel tayari keshasukuma kete, zamu ya Iran.
Hajui apige wapi ili vita isije nchi kwake.....

Sana sana hatapiga ndani ya Israel maana Israel huwa halazi damu kabisa, kajipanga....

Kazi kwetu tujiandae kununua mafuta kwa 10000.
Maana hii vita lazima US ataingilia na akiingilia Homuz hapapitiki tena
Kama kuna kete Marekani na wenzie wanaisubiri kwa hamu sana, basi ni Iran kuingia vitani na Israel.
 
Nchi yenye nuclear power huwa haipigwi vita kiboya hivyo. Angalau wote wangekuwa na nuclear power hapo sawa. We unazani North Korea alipata wapi jeuri ya kumvimbi US? Ni nuclear power tu.

Ndio maana Israel inavimba maana inajua lazima wengine waingilie kuzuia matumizi ya nuclear yasitokee.
Kwahiyo Iran ana nuclear bombs?
 
Nchi yenye nuclear power huwa haipigwi vita kiboya hivyo. Angalau wote wangekuwa na nuclear power hapo sawa. We unazani North Korea alipata wapi jeuri ya kumvimbi US? Ni nuclear power tu.

Ndio maana Israel inavimba maana inajua lazima wengine waingilie kuzuia matumizi ya nuclear yasitokee.
Nyuklia haitumiki hovyo hovyo hata ukiwa nayo mara ya kwanza na ya mwisho kutumika ilikuwa katika vita vya pili vya dunia.

Vimepiganwa vita vingi tena na mataifa yaliyo na nyuklia lakini hadi leo hakuna taifa lililo thubutu kutaka kutumia hayo makombora zaidi ya kutishia tu.

Leo Russia anapigana na Ukraine lakini mpaka leo na makombora yake ya kunyuklia hajayatumia
 
Nyuklia haitumiki hovyo hovyo hata ukiwa nayo mara ya kwanza na ya mwisho kutumika ilikuwa katika vita vya pili vya dunia.

Vimepiganwa vita vingi tena na mataifa yaliyo na nyuklia lakini hadi leo hakuna taifa lililo thunutu kutaka kutumia hayo makombora zaidi ya kutishia tu.

Leo Russia anapigana na Ukraine lakini mpaka leo na makombora yake ya kunyuklia hajayatumia
Je Merakani alizidiwa nguvu n North Korea?
 
Nyuklia haitumiki hovyo hovyo hata ukiwa nayo mara ya kwanza na ya mwisho kutumika ilikuwa katika vita vya pili vya dunia.

Vimepiganwa vita vingi tena na mataifa yaliyo na nyuklia lakini hadi leo hakuna taifa lililo thunutu kutaka kutumia hayo makombora zaidi ya kutishia tu.

Leo Russia anapigana na Ukraine lakini mpaka leo na makombora yake ya kunyuklia hajayatumia
Nimemaanisha nchi yenye nuclear power haiwezi vamiwa tu kizembe. Kuna tahadhari kubwa sana inachukuliwa
 
Back
Top Bottom