Iran inajiandaa kupiga ndani ya Israel kwa masaa 48 yajayo

Iran inajiandaa kupiga ndani ya Israel kwa masaa 48 yajayo

Tahadhari kuwepo haimaanishi kuwa huwezi kushambuliwa kwa sababu ya Nyuklia zako.

Nyuklia haitumiwi hovyo hovyo kama mabomu mengine tu
Ondoa neno hovyo hovyo maana sijasema hivyo.
Mfano umenivamia na naona kabisa unaenda kuniangamia, je nitakuacha uniangamize kwa vile sheria hairuhusu kutumia nuclear?
 
Maneno meeeengi, Israel tayari keshasukuma kete, zamu ya Iran.
Hajui apige wapi ili vita isije nchi kwake.....

Sana sana hatapiga ndani ya Israel maana Israel huwa halazi damu kabisa, kajipanga....

Kazi kwetu tujiandae kununua mafuta kwa 10000.
Maana hii vita lazima US ataingilia na akiingilia Homuz hapapitiki tena
Israel halazi damu akipgwa kwake na huku Hezbollah anapga kila siku makombora raia wake wa kaskazini wote wamekimbia
 
Ondoa neno hovyo hovyo maana sijasema hivyo.
Mfano umenivamia na naona kabisa unaenda kuniangamia, je nitakuacha uniangamize kwa vile sheria hairuhusu kutumia nuclear?
Nawe upo tayari kutupiwa hizo Nyuklia inabidi ujiulize hilo swali kabla ya kuchukua uamuzi unaotaka kuchukua
 
Iran haina uwezo wa kivita ndani tu ya Iran wanawake walimkabili huyo Ayatollah kupinga kuvaa hijabu hadharani baada ya kifo cha msichana Mahsa Amin aliyeuawa kwa kupiga picha akiwa hajavaa hijabu

Maandamano ya kupinga kuvaa hijabu yalikuwa makubwa nchi nzima ya Iran huku waandamaji wakitoa matusi ya nguoni kwa Ayatollah na kutaka aondolewe madarakani na utawala wake wa kidini huku wakichoma majengo ya umma na kushambulia Asklari wa dini na kuchoma magari yao.Ayatollah kuona anataka kupinduliwa akaondoa askari wote wa dini wa kusimamia sharia mitaani wasisumbue wanawake tena Sasa hivi hawako kabisa.

Sasa hivi Iran hadi Tehran penyewe kuvaa hijabu hiari wanawake wengi wanatembea vichwa na vifua wazi na nguo za vimini bila hijabu ba hakuna wa kuwagusa.Ayatollah kaufyata kwa wanawake na hakuna sijui cha mwanamke akitaka kutoka nuwa lazima aambatane na mwanaume haipo huyo wanatoka kivyao kwenda popote .Ayatollah kaufyata.

Huyo ndiye aweza pigana na Israel huyo imamu wa msikitini dhidi ya Israel? Akiyeshindwa na wanawake wa Iran tu?

Anasubiriwa tu alianzishe dhidi ya Israel na Israel waanzishe mashambulizi dhidi ya Iran ili kuwapa motisha wapinzani wa Ayatollah walioko ndani ya Irani waanzishe vita ya ndani ya Iran wamtoe huyo Ayatollah na midevu yake wauondoe huo utawala wa kidini msumbufu ambao wairani wengi hawautaki.Ushahidi ni kuwa wanawake tu wakimtikisa kuwa hawataki kulazimishwa kuvaa hijabu na akaufyata akaondoa askari wasimamia sharia mitaani

Huyo Ayatollah hapendwi ndani ya Iran wa Iran wanasubiria t8 mtu aliwashe Iran na wao waliwashe ndani ya Iran

Aanze tu Israel wala hamuogopi Iran

Ila Iran ndio anamuogopa Israel ndio maana hata vita ya Gaza aligoma kujitosa akiogopa kuwa akihangaika kushambulia Israel huku nyuma Wa Iran watampindua

Mwambieni huyo Ayatollah aache maneno apige Israel aone muziki wake wapenda Iran mje kuanza kulia lia hunu kuwa anaua wanawake na vitoto vichanga vya Iran na raia wasio na hatia kama mnavyolia Gaza wakati Hamas ndio walichokoza

Israel inamsubiri Iran kwa hamu sana aingie kwenye anga zao.Wamekuwa wakimsubiri muda mrefu ili wamuonyeshe cha mtema kuni
We ni mjinga, ulitaka Irani kwenye naandamano yao atumie hadi Nyambizi kutuliza waandamanaji? Kule USA wanadamanaji wakiandamana Marekani itatumia zile F22 kutuliza waandamanaji? fuvu umejaza kamasi au ubongo?
 
🇮🇷🇮🇱BREAKING: IRAN ITASHAMBULIA ISRAEL BAADA YA SAA 48 ZIJAZO?

Kujibu shambulio la Israel karibu na ubalozi mdogo wa Iran nchini Syria ambalo liliua wanachama kadhaa wa ngazi za juu wa IRGC, CIA inadaiwa kuifahamisha Israel kwamba Iran ingeshambulia ndani ya saa 48 zijazo.

Iran inaripotiwa kupanga mashambulizi ya pamoja na kundi la ndege zisizo na rubani na makombora ya baharini yaliyorushwa kutoka Iran katika maeneo ya kimkakati ndani ya Israel.
 
Nawe upo tayari kutupiwa hizo Nyuklia inabidi ujiulize hilo swali kabla ya kuchukua uamuzi unaotaka kuchukua
Mimi sina cha kupoteza maana hata nisipokutupia bado utaniangamiza. Bora nitupe maana hapa tunaongelea kujiokoa au kuangamia.

Ndio maana nikasema nchi yenye nuclear power haivamiwi kizembe. Maana yake pamoja na sheria za matumizi ya nuclear, bado wamiliki wengine wa nuclear wataingulia kati isifike kuwa vita.
 
Iran haina uwezo wa kivita ndani tu ya Iran wanawake walimkabili huyo Ayatollah kupinga kuvaa hijabu hadharani baada ya kifo cha msichana Mahsa Amin aliyeuawa kwa kupiga picha akiwa hajavaa hijabu

Maandamano ya kupinga kuvaa hijabu yalikuwa makubwa nchi nzima ya Iran huku waandamaji wakitoa matusi ya nguoni kwa Ayatollah na kutaka aondolewe madarakani na utawala wake wa kidini huku wakichoma majengo ya umma na kushambulia Asklari wa dini na kuchoma magari yao.Ayatollah kuona anataka kupinduliwa akaondoa askari wote wa dini wa kusimamia sharia mitaani wasisumbue wanawake tena Sasa hivi hawako kabisa.

Sasa hivi Iran hadi Tehran penyewe kuvaa hijabu hiari wanawake wengi wanatembea vichwa na vifua wazi na nguo za vimini bila hijabu ba hakuna wa kuwagusa.Ayatollah kaufyata kwa wanawake na hakuna sijui cha mwanamke akitaka kutoka nuwa lazima aambatane na mwanaume haipo huyo wanatoka kivyao kwenda popote .Ayatollah kaufyata.

Huyo ndiye aweza pigana na Israel huyo imamu wa msikitini dhidi ya Israel? Akiyeshindwa na wanawake wa Iran tu?

Anasubiriwa tu alianzishe dhidi ya Israel na Israel waanzishe mashambulizi dhidi ya Iran ili kuwapa motisha wapinzani wa Ayatollah walioko ndani ya Irani waanzishe vita ya ndani ya Iran wamtoe huyo Ayatollah na midevu yake wauondoe huo utawala wa kidini msumbufu ambao wairani wengi hawautaki.Ushahidi ni kuwa wanawake tu wakimtikisa kuwa hawataki kulazimishwa kuvaa hijabu na akaufyata akaondoa askari wasimamia sharia mitaani

Huyo Ayatollah hapendwi ndani ya Iran wa Iran wanasubiria t8 mtu aliwashe Iran na wao waliwashe ndani ya Iran

Aanze tu Israel wala hamuogopi Iran

Ila Iran ndio anamuogopa Israel ndio maana hata vita ya Gaza aligoma kujitosa akiogopa kuwa akihangaika kushambulia Israel huku nyuma Wa Iran watampindua

Mwambieni huyo Ayatollah aache maneno apige Israel aone muziki wake wapenda Iran mje kuanza kulia lia hunu kuwa anaua wanawake na vitoto vichanga vya Iran na raia wasio na hatia kama mnavyolia Gaza wakati Hamas ndio walichokoza

Israel inamsubiri Iran kwa hamu sana aingie kwenye anga zao.Wamekuwa wakimsubiri muda mrefu ili wamuonyeshe cha mtema kuni
Mkuu una gubu
 
Haimiliki. Imepambana sana kutengeneza lakini anakwamishwa.
Ni nukta nzuri lakini tujaribu kuyafikiria haya!

Iran ina urafiki mzuri na China, Russia, North Korea n.k

Tunafahamu mataifa kama India, Pakistan na North Korea hawakutengeneza wenyewe mabomu ya nuclear bali ulikuwa ni usaidizi wa imma China au Russia au wote wawili kwa pamoja.

Unadhani kwa ukaribu waliyonao Iran na hayo mataifa ni kweli hiyo sayansi ya utengenezaji wa hizo silaha ni kweli hawana?
 
Iran haina uwezo wa kivita ndani tu ya Iran wanawake walimkabili huyo Ayatollah kupinga kuvaa hijabu hadharani baada ya kifo cha msichana Mahsa Amin aliyeuawa kwa kupiga picha akiwa hajavaa hijabu

Maandamano ya kupinga kuvaa hijabu yalikuwa makubwa nchi nzima ya Iran huku waandamaji wakitoa matusi ya nguoni kwa Ayatollah na kutaka aondolewe madarakani na utawala wake wa kidini huku wakichoma majengo ya umma na kushambulia Asklari wa dini na kuchoma magari yao.Ayatollah kuona anataka kupinduliwa akaondoa askari wote wa dini wa kusimamia sharia mitaani wasisumbue wanawake tena Sasa hivi hawako kabisa.

Sasa hivi Iran hadi Tehran penyewe kuvaa hijabu hiari wanawake wengi wanatembea vichwa na vifua wazi na nguo za vimini bila hijabu ba hakuna wa kuwagusa.Ayatollah kaufyata kwa wanawake na hakuna sijui cha mwanamke akitaka kutoka nuwa lazima aambatane na mwanaume haipo huyo wanatoka kivyao kwenda popote .Ayatollah kaufyata.

Huyo ndiye aweza pigana na Israel huyo imamu wa msikitini dhidi ya Israel? Akiyeshindwa na wanawake wa Iran tu?

Anasubiriwa tu alianzishe dhidi ya Israel na Israel waanzishe mashambulizi dhidi ya Iran ili kuwapa motisha wapinzani wa Ayatollah walioko ndani ya Irani waanzishe vita ya ndani ya Iran wamtoe huyo Ayatollah na midevu yake wauondoe huo utawala wa kidini msumbufu ambao wairani wengi hawautaki.Ushahidi ni kuwa wanawake tu wakimtikisa kuwa hawataki kulazimishwa kuvaa hijabu na akaufyata akaondoa askari wasimamia sharia mitaani

Huyo Ayatollah hapendwi ndani ya Iran wa Iran wanasubiria t8 mtu aliwashe Iran na wao waliwashe ndani ya Iran

Aanze tu Israel wala hamuogopi Iran

Ila Iran ndio anamuogopa Israel ndio maana hata vita ya Gaza aligoma kujitosa akiogopa kuwa akihangaika kushambulia Israel huku nyuma Wa Iran watampindua

Mwambieni huyo Ayatollah aache maneno apige Israel aone muziki wake wapenda Iran mje kuanza kulia lia hunu kuwa anaua wanawake na vitoto vichanga vya Iran na raia wasio na hatia kama mnavyolia Gaza wakati Hamas ndio walichokoza

Israel inamsubiri Iran kwa hamu sana aingie kwenye anga zao.Wamekuwa wakimsubiri muda mrefu ili wamuonyeshe cha mtema kuni
Hii imekaa vizuri mno. Tungoje tuone mtu-mvaa kobazi akiomba poo.:TenseGreen:
 
Iran haina uwezo wa kivita ndani tu ya Iran wanawake walimkabili huyo Ayatollah kupinga kuvaa hijabu hadharani baada ya kifo cha msichana Mahsa Amin aliyeuawa kwa kupiga picha akiwa hajavaa hijabu

Maandamano ya kupinga kuvaa hijabu yalikuwa makubwa nchi nzima ya Iran huku waandamaji wakitoa matusi ya nguoni kwa Ayatollah na kutaka aondolewe madarakani na utawala wake wa kidini huku wakichoma majengo ya umma na kushambulia Asklari wa dini na kuchoma magari yao.Ayatollah kuona anataka kupinduliwa akaondoa askari wote wa dini wa kusimamia sharia mitaani wasisumbue wanawake tena Sasa hivi hawako kabisa.

Sasa hivi Iran hadi Tehran penyewe kuvaa hijabu hiari wanawake wengi wanatembea vichwa na vifua wazi na nguo za vimini bila hijabu ba hakuna wa kuwagusa.Ayatollah kaufyata kwa wanawake na hakuna sijui cha mwanamke akitaka kutoka nuwa lazima aambatane na mwanaume haipo huyo wanatoka kivyao kwenda popote .Ayatollah kaufyata.

Huyo ndiye aweza pigana na Israel huyo imamu wa msikitini dhidi ya Israel? Akiyeshindwa na wanawake wa Iran tu?

Anasubiriwa tu alianzishe dhidi ya Israel na Israel waanzishe mashambulizi dhidi ya Iran ili kuwapa motisha wapinzani wa Ayatollah walioko ndani ya Irani waanzishe vita ya ndani ya Iran wamtoe huyo Ayatollah na midevu yake wauondoe huo utawala wa kidini msumbufu ambao wairani wengi hawautaki.Ushahidi ni kuwa wanawake tu wakimtikisa kuwa hawataki kulazimishwa kuvaa hijabu na akaufyata akaondoa askari wasimamia sharia mitaani

Huyo Ayatollah hapendwi ndani ya Iran wa Iran wanasubiria t8 mtu aliwashe Iran na wao waliwashe ndani ya Iran

Aanze tu Israel wala hamuogopi Iran

Ila Iran ndio anamuogopa Israel ndio maana hata vita ya Gaza aligoma kujitosa akiogopa kuwa akihangaika kushambulia Israel huku nyuma Wa Iran watampindua

Mwambieni huyo Ayatollah aache maneno apige Israel aone muziki wake wapenda Iran mje kuanza kulia lia hunu kuwa anaua wanawake na vitoto vichanga vya Iran na raia wasio na hatia kama mnavyolia Gaza wakati Hamas ndio walichokoza

Israel inamsubiri Iran kwa hamu sana aingie kwenye anga zao.Wamekuwa wakimsubiri muda mrefu ili wamuonyeshe cha mtema kuni
Udiniiiiii ,hapa ndipo Naona Umuhimu wa Mwana Jf Kiranga
 
Hii vita ya 3 haikwepeki ,ni suala la muda tu
Washenzi wamekuwa wengi , mazayuni na mashoga wenzao wa EU na America ni tatizo
Usisahau na maarabu na mashoga wenzao IOC
Screenshot_20231103-133349_1.jpg
Screenshot_20231102-210556.png
 
Back
Top Bottom