Wewe unadhani Iran haina nuclear bombs?Nchi yenye nuclear power huwa haipigwi vita kiboya hivyo. Angalau wote wangekuwa na nuclear power hapo sawa. We unazani South Korea alipata wapi jeuri ya kumvimbi US? Ni nuclear power tu.
Ndio maana Israel inavimba maana inajua lazima wengine waingilie kuzuia matumizi ya nuclear yasitokee.
Thibitisha sio maneno tu.Wewe unadhani Iran haina nuclear bombs?
Kama kuna kete Marekani na wenzie wanaisubiri kwa hamu sana, basi ni Iran kuingia vitani na Israel.Maneno meeeengi, Israel tayari keshasukuma kete, zamu ya Iran.
Hajui apige wapi ili vita isije nchi kwake.....
Sana sana hatapiga ndani ya Israel maana Israel huwa halazi damu kabisa, kajipanga....
Kazi kwetu tujiandae kununua mafuta kwa 10000.
Maana hii vita lazima US ataingilia na akiingilia Homuz hapapitiki tena
Huwazi kwamba mnatakiwa kujitegemea ?Zipigwe pachangamke,huwazi kuwa mafuta yanatokea mitaa hiyohiyo...
Kwahiyo Iran ana nuclear bombs?Nchi yenye nuclear power huwa haipigwi vita kiboya hivyo. Angalau wote wangekuwa na nuclear power hapo sawa. We unazani North Korea alipata wapi jeuri ya kumvimbi US? Ni nuclear power tu.
Ndio maana Israel inavimba maana inajua lazima wengine waingilie kuzuia matumizi ya nuclear yasitokee.
IsraelKwahiyo Iran ana nuclear bombs?
khaaa,kumbe.!,maweee,,🤷Zipigwe pachangamke,huwazi kuwa mafuta yanatokea mitaa hiyohiyo...
Na wenzie wanazidi kumvuta ili ajae kwenye 18.Kuna kitu Iran inakitafuta,
Sawa! Ni nukta nzuri umeiweka na sipingani nayo.Thibitisha sio maneno tu.
Mimi ushahidi wangu huu hapaView attachment 2953157
Haimiliki. Imepambana sana kutengeneza lakini anakwamishwa.Sawa! Ni nukta nzuri umeiweka.
Lakini picha ni mfano halisi wa kitu. Kwa taswira tu na haiba ya Iran unadhani haimiliki bomu la nuclear?
Nyuklia haitumiki hovyo hovyo hata ukiwa nayo mara ya kwanza na ya mwisho kutumika ilikuwa katika vita vya pili vya dunia.Nchi yenye nuclear power huwa haipigwi vita kiboya hivyo. Angalau wote wangekuwa na nuclear power hapo sawa. We unazani North Korea alipata wapi jeuri ya kumvimbi US? Ni nuclear power tu.
Ndio maana Israel inavimba maana inajua lazima wengine waingilie kuzuia matumizi ya nuclear yasitokee.
Hii vita ya 3 haikwepeki ,ni suala la muda tu
Washenzi wamekuwa wengi , mazayuni na mashoga wenzao wa EU na America ni tatizo
Je Merakani alizidiwa nguvu n North Korea?Nyuklia haitumiki hovyo hovyo hata ukiwa nayo mara ya kwanza na ya mwisho kutumika ilikuwa katika vita vya pili vya dunia.
Vimepiganwa vita vingi tena na mataifa yaliyo na nyuklia lakini hadi leo hakuna taifa lililo thunutu kutaka kutumia hayo makombora zaidi ya kutishia tu.
Leo Russia anapigana na Ukraine lakini mpaka leo na makombora yake ya kunyuklia hajayatumia
Alizidiwa nguvu wapi ? SijakuelewaJe Merakani alizidiwa nguvu n North Korea?
Nimemaanisha nchi yenye nuclear power haiwezi vamiwa tu kizembe. Kuna tahadhari kubwa sana inachukuliwaNyuklia haitumiki hovyo hovyo hata ukiwa nayo mara ya kwanza na ya mwisho kutumika ilikuwa katika vita vya pili vya dunia.
Vimepiganwa vita vingi tena na mataifa yaliyo na nyuklia lakini hadi leo hakuna taifa lililo thunutu kutaka kutumia hayo makombora zaidi ya kutishia tu.
Leo Russia anapigana na Ukraine lakini mpaka leo na makombora yake ya kunyuklia hajayatumia
🤣🤣🤣 Sio kwa iran mzee USA mwenyewe alibutuliwa kambi zake na alitulia huyo Israel yy anachokoza ugomvi anajua bwnake atamsaidiaDuh! Hatari sana. Wana wa Yakobo watashinda huu mtihani.
Kwa nini us hakumpiga North Korea kipindi wanavutana ?Alizidiwa nguvu wapi ? Sijakuelewa