Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Kama ambavyo Biden amesababisha Vita Russia VS Ukraine na Israel VS Gaza na Iran.Duh! Trump ndo alisababisha Covid? 🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ambavyo Biden amesababisha Vita Russia VS Ukraine na Israel VS Gaza na Iran.Duh! Trump ndo alisababisha Covid? 🤣🤣🤣🤣
Kilemba ni mkongo na hua mwanamke hapaki mkongo,kingine huyo gasho kaishia nje angeingia ndan aone kama angetoka salama.Mvaa kilemba unateseka sana, Mwanaume kaingia geto kwako,kapiga machine kasepa fresh.
Nyie watu wa Oct 7 naonaga mnajitia hamnazo ,Vita haijaanza Oct 7 ebu kuweni waelewa bhc au kisa nyie ni kondoo ndio mtusumbue kuwaelewesha kila sikuCheap propaganda where we're you when Israel was attacked on October 7?
Nahata Iran hatua anayochukua ni kurusha makombola tuu. Kubaba askari wake zaidi ya 200,000 na kuwapeleka Lebanon au Syria ni ngumu sana, maana kuloss itakuwa wazi wazi ikumbukwe yeye ni mbali na home kwake.Hawana uwezo huo kama watu wanavyojua , wanachowin ni kimoja tu , kutumia mamluki kuwaua viongozi ila hawana uwezo wa kupigana moja kwa moja .
Israel hasa waziri mkuu anapata msukumo kutoka nje ili kulinda heshima ya wale wanaoamini ni taifa la Mungu ...Ila Iran anaweza kuifuta ndani ya lisaa kwa sababu ni sehemu ndogo ila shia sio wajinga kuwaua watu wasiokuwa na hatia .
Kiufupi wanapiga millitary sites wanaonesha kwamba wanaweza kufanya chochote .
Sizitaki mbichi hizo!!!!!Mkuu sio Israel bali ni Israel + mume wake Marekani wamejiaibisha maana hakuna chochote walichofanya zaidi ya kujikosha waonekane angalau wamejibu.😂😂
Israel peke yake hana uwezo hata huu tu walioonesha wa udhaifu maana yeye kila kitu hadi asaidiwe vinginevyo hana tofauti na Burundi.
You must be dumb, then.Kumbe Marekani iko behind hizi moves za Israel, nilidhani ni Israel yenyewe imejisimamia.
Wakristo wa makanisa ya maturubai huwaambii kitu kuhusu irone domoo ..sasa jana wameona mfumo mzuri wa kuzuia makomboraYaani vijikombora vinamezwa kwa pamoja kama chura anavyomeza wadudu hivi.😂😂😂
Muajemi hoyeeee. Hapa sasa ndiyo dunia itaamini kwanini Iran ni mbabe maana wamejionea jinsi anga ilivyo salama wasalimini kwa mfumo imara kabisa wa ulinzi.
Damn! You’re on a roll!Kama ambavyo Biden amesababisha Vita Russia VS Ukraine na Israel VS Gaza na Iran.
Kawaida tu ni kama ambavyo Iran hamna kitu bila msaada mzito wa russia na china.Kumbe Marekani iko behind hizi moves za Israel, nilidhani ni Israel yenyewe imejisimamia.
Iran akipeleka jeshi lke Israel bhc jua ni masaamachache tel Aviv inaangukaNahata Iran hatua anayochukua ni kurusha makombola tuu. Kubaba askari wake zaidi ya 200,000 na kuwapeleka Lebanon au Syria ni ngumu sana, maana kuloss itakuwa wazi wazi ikumbukwe yeye ni mbali na home kwake.
Mkuu Israel mpk sasa bado wapo vizuri tuu.Kuanzia Leo kumbe Israel wasenge nilikuwa nawaamini kumanina zao asa ndio makombora gani yale
Kwa Iran hatakuja kupeleka hata siku Moja, ni ngumu tofauti unavyofikilia mkuuIran akipeleka jeshi lke Israel bhc jua ni masaamachache tel Aviv inaanguka