Iran: Milipuko ilisikika mjini Tehran huku Israel ikithibitisha mashambulizi

Iran: Milipuko ilisikika mjini Tehran huku Israel ikithibitisha mashambulizi

Mbona video haionyeshi makombora yalipanguliwa, alafu Iran nae mweupe tu kapewa S400 AD na Urusi, Hana mfumo wa ulinzi huyo muajemi
 
BREAKING: Israel STRIKES HARD with a three-wave assault on Iran, taking out over 20 missile and drone sites in the “Days of Repentance” operation.

The Israel Defense Forces declares TOTAL SUCCESS—every jet back
FB_IMG_17299204767362054.jpg
home safe.
 
Dunia hii ilivyo na mambo mengi chini ya kapeti, ukute hapo walishafikia makubaliano pande mbili na kuihusisha Russia kuwa Iran iwape baadhi ya target zao za kijeshi wazipige ili kulimaliza hili suala na ionekane KISASI KIMELIPWA. Haiingii akilini taifa kama Israel lipigwe halafu eti iwachukuwe karibia mwezi kujipanga kulipa kisasi. Israel tunayoijua hujibu papo kwa papo.

Hii ya kusubiria muda wote huo ninaamini kulikuwa na majadiliano ya pande mbili yalikuwa yakiendelea.
Mpumbavu mkubwa wewe yaan tukuamini wewe kama nani?
Eti mniamini kuna mazungumzo
Israel hajadiliani na magaid
Dawa ya mshenzi ni kumpelekea motooo hasaa
 
Si unaona wamesubiri hadi US kapeleka ndege vita za kutosha, kuna F22, F16, F15E na A 10...
Ngoja tusubiri madhara watakayosababisha, hata hapo wameshambulia kwa uoga mkubwa ni ile basi tu wasionekane wanyonge.

Ni ile unapigwa ngumi nzito hadi jino linatoka halafu unarudisha kibao kama unaua mbu kwa sababu ya uoga.

Tutaona hapa baadae hayo mashambulizi wametumia ndege vita, misiiles za masafa ama drones? na wameshabulia sehemu ngapi? tuendelee kusubiri..
Kwani haujaona ndege za Urusi zikiingia Iran mzee
 
Mpumbavu mkubwa wewe yaan tukuamini wewe kama nani?
Eti mniamini kuna mazungumzo
Israel hajadiliani na magaid
Dawa ya mshenzi ni kumpelekea motooo hasaa
Mbona dogo unalia sasa 😀 😀 😀...Angalia Tel Aviv yalivyoshuka mpaka watu wamekimbia kwa hofu
 

Attachments

  • 0sVCSZlWtOl5zLrv.mp4
    1.9 MB
Mbona video haionyeshi makombora yalipanguliwa, alafu Iran nae mweupe tu kapewa S400 AD na Urusi, Hana mfumo wa ulinzi huyo muajemi

Unataka uone yakipanguliwa kama ngumu za Bruce Lee?!! Hiyo interceptions hewani unahisi ni nini Mkuu?!!

Kumbuka,vita ni akili na Iran kamuweza Israel kwani Israel likely hili ni shambulizi la stage 1 na lengo kuu lilikua kujaribu uimara wa mifumo ya Iran lakini pia kujaribu kudetect locations za mifumo mikubwa kama S400 ili Israel aishambulie,Iran alichofanya ni kutumia short rangers kutungua mashambulizi pasi kutumia mifumo ya medium na long range ili kuzuia location detection.

Suala linalofuata ni True Promise 3,aliahidi Iran kua Israel akijaribu kujibu basi atashusha kipigo kingine kikali zaidi.
 
1000124219.jpg


Mfumo wa anga wa Iran 🇮🇷 vipi. Ndege za Israel zimepenya na kushambulia maeneo mengi ya kijeshi.
Zaidi ya ndege 100 zimetumika kwenye mashambulizi. Kwanini adui anapenya kirahisi hivi?
 
Zipigwe tu , ila hawa mazayuni wanachokitaka watakipata tu , ni suala la muda ,Iran ina uvumilivu sana ila naona kuna agenda ya mazayuni kupush vita kubwa hapo mashariki ya kati kutokea ,hii vita haitakuwa ya kitoto , mazayuni na washirika wake wajiandae na shughuli nzito hapo middle east .
Hata kuundwa kwa hizi proxies za Iran ni suala la Iran kujihami ,maana uchokozi wa Israel haujaanza leo ,ni miaka mingi , kitendo cha Iran kuua wanasayansi wa nuclear kule Iran na vitendo vingine vya kigaidi ,halafu retaliation ikifanywa na Iran , kuna wapumbavu flani wanasema Iran ni mkorofi , kitu ambacho si kweli
 
Back
Top Bottom