Iran ndio taifa pekee la Uislamu wa ukweli wengine wanafiki tu

Iran ndio taifa pekee la Uislamu wa ukweli wengine wanafiki tu

Toka Gaza ikumbwe na mashambulizi ya Israel hakuna nchi ya Kiislamu iliyothubutu kukemea unyanyasaji huyo kwa raia lakini 🇮🇷 imethubutu mara kadhaa kusema huenda ikaingia na kusababisha mzozo kuwa mkubwa zaidi.

Saudia iko wap na uwezo wake?
Qatar je kwann wasitoe hata vifaa?
Misri jirani kabisa lakini kimya?

Ni aibu kubwa sana kuona ndugu yako akionewa na ww huchujui hatua yeyote

Uislamu ni undugu undugu wao kwa Palestina uko wapi zaidi ya unafiki.

--
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Hossein Amir-Abdollahian ameionya Israel kwamba eneo la Mashariki ya Kati linaweza kudorora ikiwa haitasitisha mashambulizi dhidi ya Gaza.

Alisema Marekani pia ndiyo "ya kulaumiwa" kwa kutoa msaada wa kijeshi kwa Israel.

Saa chache baadaye, Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu aliwatahadharisha wanajeshi wake kuwa katika vita vya kuokoa maisha yao na kusema vita dhidi ya Hamas ni "fanya au ufe".

Iran inaunga mkono Hamas, ambayo ilishambulia Israel wiki mbili zilizopita na kuua watu 1,400, na Hezbollah ya Lebanon.

Zaidi ya Wapalestina 4,600 wameuawa katika muda wa wiki mbili zilizopita huko Gaza, kwa mujibu wa wizara ya afya inayoendeshwa na Hamas, na Israel ilitangaza siku ya Jumamosi kuwa inazidisha mashambulizi ya anga.

"Ninaionya Marekani na wakala wake Israel kwamba ikiwa hawatakomesha mara moja uhalifu dhidi ya ubinadamu na mauaji ya halaiki huko Gaza, lolote linawezekana wakati wowote na eneo hilo halitaweza kudhibitika tena," Bw Amir-Abdollahian alisema katika mkutano na waandishi wa habari mjini Tehran.

Alisema kuwa matokeo yanaweza kuwa "makali, machungu" na "kuwa na athari kubwa", kikanda na kwa wale wanaotetea vita.

Waziri huyo wa mambo ya nje aliongeza kuwa uungaji mkono wa kijeshi wa Marekani kwa Israel ni ushahidi kwamba mzozo unaoendelea Gaza ni "vita vya uwakilishi vinavyofanywa na Israel kwa niaba ya Marekani".

Maafisa wakuu wa Marekani pia wanaonya kwamba mzozo huo unaweza kuenea.
Soma Uislam Acha kuropoka aliyekuambia mashia waislam nani?
 
Irani ni washia hao , sio waislamu wa kweli, Waislamu wa kweli ni wasunni. Saudi Arabia ni adui mkubwa wa iran kuliko hata Usrael, na Irani anaitetea Palestina kinafiki ili kupata sapoti ya waarabu wasuni, lakini sio kwa ajili ya upendo wa dhati, Jiulize kwa nini Irani hakuna wapalestina?
Iran sio waarabu wala taifa la kiislamu, Regime ya sasa ya Iran ndiyo ya kiislam
 
Toka Gaza ikumbwe na mashambulizi ya Israel hakuna nchi ya Kiislamu iliyothubutu kukemea unyanyasaji huyo kwa raia lakini [emoji1130] imethubutu mara kadhaa kusema huenda ikaingia na kusababisha mzozo kuwa mkubwa zaidi.

Saudia iko wap na uwezo wake?
Qatar je kwann wasitoe hata vifaa?
Misri jirani kabisa lakini kimya?

Ni aibu kubwa sana kuona ndugu yako akionewa na ww huchujui hatua yeyote

Uislamu ni undugu undugu wao kwa Palestina uko wapi zaidi ya unafiki.

--
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Hossein Amir-Abdollahian ameionya Israel kwamba eneo la Mashariki ya Kati linaweza kudorora ikiwa haitasitisha mashambulizi dhidi ya Gaza.

Alisema Marekani pia ndiyo "ya kulaumiwa" kwa kutoa msaada wa kijeshi kwa Israel.

Saa chache baadaye, Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu aliwatahadharisha wanajeshi wake kuwa katika vita vya kuokoa maisha yao na kusema vita dhidi ya Hamas ni "fanya au ufe".

Iran inaunga mkono Hamas, ambayo ilishambulia Israel wiki mbili zilizopita na kuua watu 1,400, na Hezbollah ya Lebanon.

Zaidi ya Wapalestina 4,600 wameuawa katika muda wa wiki mbili zilizopita huko Gaza, kwa mujibu wa wizara ya afya inayoendeshwa na Hamas, na Israel ilitangaza siku ya Jumamosi kuwa inazidisha mashambulizi ya anga.

"Ninaionya Marekani na wakala wake Israel kwamba ikiwa hawatakomesha mara moja uhalifu dhidi ya ubinadamu na mauaji ya halaiki huko Gaza, lolote linawezekana wakati wowote na eneo hilo halitaweza kudhibitika tena," Bw Amir-Abdollahian alisema katika mkutano na waandishi wa habari mjini Tehran.

Alisema kuwa matokeo yanaweza kuwa "makali, machungu" na "kuwa na athari kubwa", kikanda na kwa wale wanaotetea vita.

Waziri huyo wa mambo ya nje aliongeza kuwa uungaji mkono wa kijeshi wa Marekani kwa Israel ni ushahidi kwamba mzozo unaoendelea Gaza ni "vita vya uwakilishi vinavyofanywa na Israel kwa niaba ya Marekani".

Maafisa wakuu wa Marekani pia wanaonya kwamba mzozo huo unaweza kuenea.

Si mlisema palestina kuna waislamu na wakristo,mbona wakristo mnawatenga?
 
Inajulikana ni baba la ugaidi duniani, saudi arabia ikasome huko licha ya kuwa kitovu cha uislam duniani. Unaiachaje afghanistan, qatar, iraq, oman na indonesia?
 
Toka Gaza ikumbwe na mashambulizi ya Israel hakuna nchi ya Kiislamu iliyothubutu kukemea unyanyasaji huyo kwa raia lakini 🇮🇷 imethubutu mara kadhaa kusema huenda ikaingia na kusababisha mzozo kuwa mkubwa zaidi.

Saudia iko wap na uwezo wake?
Qatar je kwann wasitoe hata vifaa?
Misri jirani kabisa lakini kimya?

Ni aibu kubwa sana kuona ndugu yako akionewa na ww huchujui hatua yeyote

Uislamu ni undugu undugu wao kwa Palestina uko wapi zaidi ya unafiki.

--
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Hossein Amir-Abdollahian ameionya Israel kwamba eneo la Mashariki ya Kati linaweza kudorora ikiwa haitasitisha mashambulizi dhidi ya Gaza.

Alisema Marekani pia ndiyo "ya kulaumiwa" kwa kutoa msaada wa kijeshi kwa Israel.

Saa chache baadaye, Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu aliwatahadharisha wanajeshi wake kuwa katika vita vya kuokoa maisha yao na kusema vita dhidi ya Hamas ni "fanya au ufe".

Iran inaunga mkono Hamas, ambayo ilishambulia Israel wiki mbili zilizopita na kuua watu 1,400, na Hezbollah ya Lebanon.

Zaidi ya Wapalestina 4,600 wameuawa katika muda wa wiki mbili zilizopita huko Gaza, kwa mujibu wa wizara ya afya inayoendeshwa na Hamas, na Israel ilitangaza siku ya Jumamosi kuwa inazidisha mashambulizi ya anga.

"Ninaionya Marekani na wakala wake Israel kwamba ikiwa hawatakomesha mara moja uhalifu dhidi ya ubinadamu na mauaji ya halaiki huko Gaza, lolote linawezekana wakati wowote na eneo hilo halitaweza kudhibitika tena," Bw Amir-Abdollahian alisema katika mkutano na waandishi wa habari mjini Tehran.

Alisema kuwa matokeo yanaweza kuwa "makali, machungu" na "kuwa na athari kubwa", kikanda na kwa wale wanaotetea vita.

Waziri huyo wa mambo ya nje aliongeza kuwa uungaji mkono wa kijeshi wa Marekani kwa Israel ni ushahidi kwamba mzozo unaoendelea Gaza ni "vita vya uwakilishi vinavyofanywa na Israel kwa niaba ya Marekani".

Maafisa wakuu wa Marekani pia wanaonya kwamba mzozo huo unaweza kuenea.

Kwani hao unaowataja ndiyo waliomtuma avizie na kuua watu pasi na hatia yoyote. Wamekuwa katika mzozo wa maneno kwa miaka mingi, lakini hali ilikuwa shwari, ila sasa hili la kunyatia na kuua, acha wapigwe tu. Na watapigwa tu.
 
Irani ni washia hao , sio waislamu wa kweli, Waislamu wa kweli ni wasunni. Saudi Arabia ni adui mkubwa wa iran kuliko hata Usrael, na Irani anaitetea Palestina kinafiki ili kupata sapoti ya waarabu wasuni, lakini sio kwa ajili ya upendo wa dhati, Jiulize kwa nini Irani hakuna wapalestina?
Lakini si Waislamu wote? Achana na madhehebu
 
Irani ni washia hao , sio waislamu wa kweli, Waislamu wa kweli ni wasunni. Saudi Arabia ni adui mkubwa wa iran kuliko hata Usrael, na Irani anaitetea Palestina kinafiki ili kupata sapoti ya waarabu wasuni, lakini sio kwa ajili ya upendo wa dhati, Jiulize kwa nini Irani hakuna wapalestina?
Walikuwa wakigombanishwa na America sasa hivi Saudi na Iran ni marafiki hawana ugomvi tena,kama Iran akiingia vitani Saudi Arabia atakuwa upande wa Iran. Hilo halina shada hakuna cha Ushia wala Usuni ni Humanity na undugu.
 
Halafu Iran na Iraq wakazipiga kipindi kile Saddam anaungwa mkono na Wamarekani wakati wote ni Washia 😳
Vita vya 🇮🇷Iran na Iraq vilianza September 22 1982, vilidumu hadi August 1988 ,Vita hii ilikua ni moja kati ya migogoro mikubwa sana karne ya 20, Vita hii ilianza kipindi sadam hussein akiwa raisi wa Iraq.l, Vita hii ilisababishwa na mivutano ya kihistoria ,kikanda na kisiasa.

Sababu za Vita hii.

1.mvutano wa mda mrefu kuhusu mpaka wa eneo la Shatt Al -Arab( mto kati ya Iraq na iran) na tofauti ya kidini kwa Iraq ya kissuni na irani ya kishia.

2.Matumizi ya silaha za kinyuklia.

Iraq ni nchi ya kissuni pia yenye watu wengi wa madhehebu ya kishia kuliko nchi yoyote ya kissuni ,ndio maana nimeitaja pia.
 
Kwani hao unaowataja ndiyo waliomtuma avizie na kuua watu pasi na hatia yoyote. Wamekuwa katika mzozo wa maneno kwa miaka mingi, lakini hali ilikuwa shwari, ila sasa hili la kunyatia na kuua, acha wapigwe tu. Na watapigwa tu.

IMG_4087.jpg
 
Shia kwenye kuadhini wanaadhini vipi kama hawamuani mtume muhhamad?
Kwa mujibu wa mafundisho ya madhehebu ya Shia, ambayo ni kundi la Kiislamu lenye itikadi tofauti na Sunni, kuna tofauti kidogo katika utaratibu wa kuadhini ukilinganisha na madhehebu ya Sunni. Katika Shia, wito wa sala huitwa "Iqama" badala ya "Adhana." Iqama inatolewa kabla ya Swala kuanza na mara nyingine inaweza kutofautiana kidogo na Adhana ya Sunni katika maneno na jinsi inavyotamkwa.

Pia, katika madhehebu ya Shia, kuna mazoea maalum yanayohusiana na Iqama katika mikusanyiko ya ibada. Kwa mfano, katika sala ya Jama'a (sala ya pamoja), Iqama inaweza kutolewa na mwamini mwenye uwezo wa kufanya hivyo au kwa imamu wa sala. Kwa ujumla, ingawa tofauti za kisiriasi zipo katika utaratibu wa ibada kati ya Sunni na Shia, malengo yao kuu ya kuwaalika waumini kwa sala bado yanabaki sawa.
 
Back
Top Bottom