Iran ndio taifa pekee la Uislamu wa ukweli wengine wanafiki tu

Iran ndio taifa pekee la Uislamu wa ukweli wengine wanafiki tu

Hujui LOLOTE umeandika tu,ushia ni dini tofauti na UISLAM,
Kwanza rejea vitabu Vyao firaqus As- shia Mwanzilishi wa ushia ninani?

Mwanzilshi wa ushia ni Myahudi Abdullah IBN Sabai(Al- yahud) Alitokea Yemen istoshe Wanachuoni Wote wakarne zilizopita Wametaja Katika vitabu Vyao Ushia siyo Katika madhehebu ya kislamu
 
Hujui LOLOTE umeandika tu,ushia ni dini tofauti na UISLAM,
Kwanza rejea vitabu Vyao firaqus As- shia Mwanzilishi wa ushia ninani?

Mwanzilshi wa ushia ni Myahudi Abdullah IBN Sabai(Al- yahud) Alitokea Yemen istoshe Wanachuoni Wote wakarne zilizopita Wametaja Katika vitabu Vyao Ushia siyo Katika madhehebu ya kislamu
Hii kauli yako ndio waislam wa middle east wanaamini
 
Toka Gaza ikumbwe na mashambulizi ya Israel hakuna nchi ya Kiislamu iliyothubutu kukemea unyanyasaji huyo kwa raia lakini 🇮🇷 imethubutu mara kadhaa kusema huenda ikaingia na kusababisha mzozo kuwa mkubwa zaidi.

Saudia iko wap na uwezo wake?
Qatar je kwann wasitoe hata vifaa?
Misri jirani kabisa lakini kimya?

Ni aibu kubwa sana kuona ndugu yako akionewa na ww huchujui hatua yeyote

Uislamu ni undugu undugu wao kwa Palestina uko wapi zaidi ya unafiki.
Ule mzozo haueleweki vizuri - majeshi ya Mahmood Abbas yameingia mtaani kupambana na hamas so huenda hao majirani unawasema hawaongei lugha moja na Hammas
 
Back
Top Bottom