Iran ndio taifa pekee la Uislamu wa ukweli wengine wanafiki tu

Iran ndio taifa pekee la Uislamu wa ukweli wengine wanafiki tu

Toka Gaza ikumbwe na mashambulizi ya Israel hakuna nchi ya Kiislamu iliyothubutu kukemea unyanyasaji huyo kwa raia lakini 🇮🇷 imethubutu mara kadhaa kusema huenda ikaingia na kusababisha mzozo kuwa mkubwa zaidi.

Saudia iko wap na uwezo wake?
Qatar je kwann wasitoe hata vifaa?
Misri jirani kabisa lakini kimya?

Ni aibu kubwa sana kuona ndugu yako akionewa na ww huchujui hatua yeyote

Uislamu ni undugu undugu wao kwa Palestina uko wapi zaidi ya unafiki.

--
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Hossein Amir-Abdollahian ameionya Israel kwamba eneo la Mashariki ya Kati linaweza kudorora ikiwa haitasitisha mashambulizi dhidi ya Gaza.

Alisema Marekani pia ndiyo "ya kulaumiwa" kwa kutoa msaada wa kijeshi kwa Israel.

Saa chache baadaye, Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu aliwatahadharisha wanajeshi wake kuwa katika vita vya kuokoa maisha yao na kusema vita dhidi ya Hamas ni "fanya au ufe".

Iran inaunga mkono Hamas, ambayo ilishambulia Israel wiki mbili zilizopita na kuua watu 1,400, na Hezbollah ya Lebanon.

Zaidi ya Wapalestina 4,600 wameuawa katika muda wa wiki mbili zilizopita huko Gaza, kwa mujibu wa wizara ya afya inayoendeshwa na Hamas, na Israel ilitangaza siku ya Jumamosi kuwa inazidisha mashambulizi ya anga.

"Ninaionya Marekani na wakala wake Israel kwamba ikiwa hawatakomesha mara moja uhalifu dhidi ya ubinadamu na mauaji ya halaiki huko Gaza, lolote linawezekana wakati wowote na eneo hilo halitaweza kudhibitika tena," Bw Amir-Abdollahian alisema katika mkutano na waandishi wa habari mjini Tehran.

Alisema kuwa matokeo yanaweza kuwa "makali, machungu" na "kuwa na athari kubwa", kikanda na kwa wale wanaotetea vita.

Waziri huyo wa mambo ya nje aliongeza kuwa uungaji mkono wa kijeshi wa Marekani kwa Israel ni ushahidi kwamba mzozo unaoendelea Gaza ni "vita vya uwakilishi vinavyofanywa na Israel kwa niaba ya Marekani".

Maafisa wakuu wa Marekani pia wanaonya kwamba mzozo huo unaweza kuenea.
Hao saudia ni wanafiqina tangu walimuacha Sadamu Hussein akanyongwa sina hamu nao!
 
Toka Gaza ikumbwe na mashambulizi ya Israel hakuna nchi ya Kiislamu iliyothubutu kukemea unyanyasaji huyo kwa raia lakini 🇮🇷 imethubutu mara kadhaa kusema huenda ikaingia na kusababisha mzozo kuwa mkubwa zaidi.

Saudia iko wap na uwezo wake?
Qatar je kwann wasitoe hata vifaa?
Misri jirani kabisa lakini kimya?

Ni aibu kubwa sana kuona ndugu yako akionewa na ww huchujui hatua yeyote

Uislamu ni undugu undugu wao kwa Palestina uko wapi zaidi ya unafiki.

--
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Hossein Amir-Abdollahian ameionya Israel kwamba eneo la Mashariki ya Kati linaweza kudorora ikiwa haitasitisha mashambulizi dhidi ya Gaza.

Alisema Marekani pia ndiyo "ya kulaumiwa" kwa kutoa msaada wa kijeshi kwa Israel.

Saa chache baadaye, Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu aliwatahadharisha wanajeshi wake kuwa katika vita vya kuokoa maisha yao na kusema vita dhidi ya Hamas ni "fanya au ufe".

Iran inaunga mkono Hamas, ambayo ilishambulia Israel wiki mbili zilizopita na kuua watu 1,400, na Hezbollah ya Lebanon.

Zaidi ya Wapalestina 4,600 wameuawa katika muda wa wiki mbili zilizopita huko Gaza, kwa mujibu wa wizara ya afya inayoendeshwa na Hamas, na Israel ilitangaza siku ya Jumamosi kuwa inazidisha mashambulizi ya anga.

"Ninaionya Marekani na wakala wake Israel kwamba ikiwa hawatakomesha mara moja uhalifu dhidi ya ubinadamu na mauaji ya halaiki huko Gaza, lolote linawezekana wakati wowote na eneo hilo halitaweza kudhibitika tena," Bw Amir-Abdollahian alisema katika mkutano na waandishi wa habari mjini Tehran.

Alisema kuwa matokeo yanaweza kuwa "makali, machungu" na "kuwa na athari kubwa", kikanda na kwa wale wanaotetea vita.

Waziri huyo wa mambo ya nje aliongeza kuwa uungaji mkono wa kijeshi wa Marekani kwa Israel ni ushahidi kwamba mzozo unaoendelea Gaza ni "vita vya uwakilishi vinavyofanywa na Israel kwa niaba ya Marekani".

Maafisa wakuu wa Marekani pia wanaonya kwamba mzozo huo unaweza kuenea.
Tatizo ni Kila mtu kuwa mjuaji. Hivi uislamu haukufundisha jinsi gani ya kuamiliana na maadui mnapokuwa kwenye mazingira ya udhaifu?

Hivi Irani amefanya Nini zaidi ya matamko?
Hivi hamjifunzi tuu kwenye "sulhu alhudaibiya"
Kuna uwezekano mkubwa wa Iran kuwa machochezi Ili kuwapa madhila wapalestina. Anafadhili silaha Kwa vikundi vidogo vidogo na silaha zenyewe ndogo ndogo Ili waichokoze Israel huku wakijua majibu yatakuwaje..!
Kwanini asiingie ye shujaa awamalize hao mayahudi kama alivyoahidi?

Nani asiejua kuwa kupigana na hao mayahudi bandia ni kupigana na mataifa yote ya kishetani!?

Wapalestina wangeacha njia hii wanayoitumia ambayo haijaleta manufaa toka waanze kuitumia. Kisha waende mezani. Wakubaliane kuwepo na mkataba wa amani hata kama ni wakuipoteza Jerusalem. Muhimu ni Israel iondoe mzingiro wake na kuiacha Palestine iwe nchi huru. Kisha wajipange Wadai walichokipoteza baada ya kujipanga na kurudi kwenye mafundisho ya uislamu yanawataka waweje Ili waweze kuwa warithi wa ardhi Ile.

Lakini iwapo watakuwa wanadanganyika na matamko ya Iran watakuwa ni watu wa kuteseka Kila siku
 
Tatizo ni Kila mtu kuwa mjuaji. Hivi uislamu haukufundisha jinsi gani ya kuamiliana na maadui mnapokuwa kwenye mazingira ya udhaifu?

Hivi Irani amefanya Nini zaidi ya matamko?
Hivi hamjifunzi tuu kwenye "sulhu alhudaibiya"
Kuna uwezekano mkubwa wa Iran kuwa machochezi Ili kuwapa madhila wapalestina. Anafadhili silaha Kwa vikundi vidogo vidogo na silaha zenyewe ndogo ndogo Ili waichokoze Israel huku wakijua majibu yatakuwaje..!
Kwanini asiingie ye shujaa awamalize hao mayahudi kama alivyoahidi?

Nani asiejua kuwa kupigana na hao mayahudi bandia ni kupigana na mataifa yote ya kishetani!?

Wapalestina wangeacha njia hii wanayoitumia ambayo haijaleta manufaa toka waanze kuitumia. Kisha waende mezani. Wakubaliane kuwepo na mkataba wa amani hata kama ni wakuipoteza Jerusalem. Muhimu ni Israel iondoe mzingiro wake na kuiacha Palestine iwe nchi huru. Kisha wajipange Wadai walichokipoteza baada ya kujipanga na kurudi kwenye mafundisho ya uislamu yanawataka waweje Ili waweze kuwa warithi wa ardhi Ile.

Lakini iwapo watakuwa wanadanganyika na matamko ya Iran watakuwa ni watu wa kuteseka Kila siku
Uko sahihi. Iran ndio wanaochochea vurugu palestina
 
Walikuwa wakigombanishwa na America sasa hivi Saudi na Iran ni marafiki hawana ugomvi tena,kama Iran akiingia vitani Saudi Arabia atakuwa upande wa Iran. Hilo halina shada hakuna cha Ushia wala Usuni ni Humanity na undugu.
hawana akili kwan ? mbona unawatukana
 
Kwakua nchi yetu Haina dini ikitokea tukachapana na somalia ambayo ni taifa la kiislamu utasimama na sisi au utasapot ndugu zako?
Undugu wa kweli hauna mipaka
 
Halafu Iran na Iraq wakazipiga kipindi kile Saddam anaungwa mkono na Wamarekani wakati wote ni Washia [emoji15]
Saddam na regime yake walikuwa ni wasunni na ndio maana Saddam alikuwa na chuki kubwa dhidi ya washia na aliwaua sana enzi zake pale Iraq na kupigana vita na Iran pia ,enzi hizo Saddam ni kibaraka wa Marekani huku akipewa kila aina ya silaha ili kupambana na Iran
Baadaye naye wakamgeuka , serikali ya Marekani na nchi za magharibi zinazoongozwa na mazayuni ndio chanzo cha kuchochea huo mgawanyiko ili kutimiza agenda zao hapo mashariki ya kati ,divide and rule .
Nashangaa kuna fala anasema Iran nchi ya kigaidi ,
Pumbavu sana , ile 9/11 ya Marekani , Tu suspects wote ni raia wa Saudia Arabia ,nchi ya wasunni .
Hamna suspect wa ugaidi hata mmoja wa dhehebu la kishia guantanamo bay .
A united Arab world is a threat to the Zionist state of Israel
 
Uislam vs uarabu.

Hapa tunachanganya saana.

Hivi pale Palestine hakuna wakristo?

Hii vita imewekwa kwa taswira ya kidini imefika hatua, watu hawaoni huruma sababu akili inasema wale ni waislamu tu, je palestine wanapambana wasimamishe sheria za kiislam au wanapambana ardhi yao isibebwe!?

Nijuacho mimi hata israel kuna waislam pia, wangeanza kubondwa wao basi.
 
Back
Top Bottom