Iran ndio taifa pekee la Uislamu wa ukweli wengine wanafiki tu

Iran ndio taifa pekee la Uislamu wa ukweli wengine wanafiki tu

Saddam na regime yake walikuwa ni wasunni na ndio maana Saddam alikuwa na chuki kubwa dhidi ya washia na aliwaua sana enzi zake pale Iraq na kupigana vita na Iran pia ,enzi hizo Saddam ni kibaraka wa Marekani huku akipewa kila aina ya silaha ili kupambana na Iran
Baadaye naye wakamgeuka , serikali ya Marekani na nchi za magharibi zinazoongozwa na mazayuni ndio chanzo cha kuchochea huo mgawanyiko ili kutimiza agenda zao hapo mashariki ya kati ,divide and rule .
Nashangaa kuna fala anasema Iran nchi ya kigaidi ,
Pumbavu sana , ile 9/11 ya Marekani , Tu suspects wote ni raia wa Saudia Arabia ,nchi ya wasunni .
Hamna suspect wa ugaidi hata mmoja wa dhehebu la kishia guantanamo bay .
A united Arab world is a threat to the Zionist state of Israel
Jamaa niliyemkwoti ameshanielewesha vizuri ni kwa nini alizitaja Iran na Iraq kama nchi za Kishia. Hata wewe umeelezea vizuri japo huku mwishoni umehemka kidogo. Asante Ostaadh.
 
Toka Gaza ikumbwe na mashambulizi ya Israel hakuna nchi ya Kiislamu iliyothubutu kukemea unyanyasaji huyo kwa raia lakini 🇮🇷 imethubutu mara kadhaa kusema huenda ikaingia na kusababisha mzozo kuwa mkubwa zaidi.

Saudia iko wap na uwezo wake?
Qatar je kwann wasitoe hata vifaa?
Misri jirani kabisa lakini kimya?

Ni aibu kubwa sana kuona ndugu yako akionewa na ww huchujui hatua yeyote

Uislamu ni undugu undugu wao kwa Palestina uko wapi zaidi ya unafiki.

--
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Hossein Amir-Abdollahian ameionya Israel kwamba eneo la Mashariki ya Kati linaweza kudorora ikiwa haitasitisha mashambulizi dhidi ya Gaza.

Alisema Marekani pia ndiyo "ya kulaumiwa" kwa kutoa msaada wa kijeshi kwa Israel.

Saa chache baadaye, Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu aliwatahadharisha wanajeshi wake kuwa katika vita vya kuokoa maisha yao na kusema vita dhidi ya Hamas ni "fanya au ufe".

Iran inaunga mkono Hamas, ambayo ilishambulia Israel wiki mbili zilizopita na kuua watu 1,400, na Hezbollah ya Lebanon.

Zaidi ya Wapalestina 4,600 wameuawa katika muda wa wiki mbili zilizopita huko Gaza, kwa mujibu wa wizara ya afya inayoendeshwa na Hamas, na Israel ilitangaza siku ya Jumamosi kuwa inazidisha mashambulizi ya anga.

"Ninaionya Marekani na wakala wake Israel kwamba ikiwa hawatakomesha mara moja uhalifu dhidi ya ubinadamu na mauaji ya halaiki huko Gaza, lolote linawezekana wakati wowote na eneo hilo halitaweza kudhibitika tena," Bw Amir-Abdollahian alisema katika mkutano na waandishi wa habari mjini Tehran.

Alisema kuwa matokeo yanaweza kuwa "makali, machungu" na "kuwa na athari kubwa", kikanda na kwa wale wanaotetea vita.

Waziri huyo wa mambo ya nje aliongeza kuwa uungaji mkono wa kijeshi wa Marekani kwa Israel ni ushahidi kwamba mzozo unaoendelea Gaza ni "vita vya uwakilishi vinavyofanywa na Israel kwa niaba ya Marekani".

Maafisa wakuu wa Marekani pia wanaonya kwamba mzozo huo unaweza kuenea.
Acha kufananisha Iran na nchi dhaifu
 
Tatizo ni Kila mtu kuwa mjuaji. Hivi uislamu haukufundisha jinsi gani ya kuamiliana na maadui mnapokuwa kwenye mazingira ya udhaifu?

Hivi Irani amefanya Nini zaidi ya matamko?
Hivi hamjifunzi tuu kwenye "sulhu alhudaibiya"
Kuna uwezekano mkubwa wa Iran kuwa machochezi Ili kuwapa madhila wapalestina. Anafadhili silaha Kwa vikundi vidogo vidogo na silaha zenyewe ndogo ndogo Ili waichokoze Israel huku wakijua majibu yatakuwaje..!
Kwanini asiingie ye shujaa awamalize hao mayahudi kama alivyoahidi?

Nani asiejua kuwa kupigana na hao mayahudi bandia ni kupigana na mataifa yote ya kishetani!?

Wapalestina wangeacha njia hii wanayoitumia ambayo haijaleta manufaa toka waanze kuitumia. Kisha waende mezani. Wakubaliane kuwepo na mkataba wa amani hata kama ni wakuipoteza Jerusalem. Muhimu ni Israel iondoe mzingiro wake na kuiacha Palestine iwe nchi huru. Kisha wajipange Wadai walichokipoteza baada ya kujipanga na kurudi kwenye mafundisho ya uislamu yanawataka waweje Ili waweze kuwa warithi wa ardhi Ile.

Lakini iwapo watakuwa wanadanganyika na matamko ya Iran watakuwa ni watu wa kuteseka Kila siku

Unadhani haya uliyoyasema hayajawahi kufanyika?israel inataka ardhi yake yote. Na wamedhamilia kuipata.

Shatani ni mataifa yote ya kiislamu.
 
Toka Gaza ikumbwe na mashambulizi ya Israel hakuna nchi ya Kiislamu iliyothubutu kukemea unyanyasaji huyo kwa raia lakini 🇮🇷 imethubutu mara kadhaa kusema huenda ikaingia na kusababisha mzozo kuwa mkubwa zaidi.

Saudia iko wap na uwezo wake?
Qatar je kwann wasitoe hata vifaa?
Misri jirani kabisa lakini kimya?

Ni aibu kubwa sana kuona ndugu yako akionewa na ww huchujui hatua yeyote

Uislamu ni undugu undugu wao kwa Palestina uko wapi zaidi ya unafiki.

--
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Hossein Amir-Abdollahian ameionya Israel kwamba eneo la Mashariki ya Kati linaweza kudorora ikiwa haitasitisha mashambulizi dhidi ya Gaza.

Alisema Marekani pia ndiyo "ya kulaumiwa" kwa kutoa msaada wa kijeshi kwa Israel.

Saa chache baadaye, Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu aliwatahadharisha wanajeshi wake kuwa katika vita vya kuokoa maisha yao na kusema vita dhidi ya Hamas ni "fanya au ufe".

Iran inaunga mkono Hamas, ambayo ilishambulia Israel wiki mbili zilizopita na kuua watu 1,400, na Hezbollah ya Lebanon.

Zaidi ya Wapalestina 4,600 wameuawa katika muda wa wiki mbili zilizopita huko Gaza, kwa mujibu wa wizara ya afya inayoendeshwa na Hamas, na Israel ilitangaza siku ya Jumamosi kuwa inazidisha mashambulizi ya anga.

"Ninaionya Marekani na wakala wake Israel kwamba ikiwa hawatakomesha mara moja uhalifu dhidi ya ubinadamu na mauaji ya halaiki huko Gaza, lolote linawezekana wakati wowote na eneo hilo halitaweza kudhibitika tena," Bw Amir-Abdollahian alisema katika mkutano na waandishi wa habari mjini Tehran.

Alisema kuwa matokeo yanaweza kuwa "makali, machungu" na "kuwa na athari kubwa", kikanda na kwa wale wanaotetea vita.

Waziri huyo wa mambo ya nje aliongeza kuwa uungaji mkono wa kijeshi wa Marekani kwa Israel ni ushahidi kwamba mzozo unaoendelea Gaza ni "vita vya uwakilishi vinavyofanywa na Israel kwa niaba ya Marekani".

Maafisa wakuu wa Marekani pia wanaonya kwamba mzozo huo unaweza kuenea.
Sawa ila kinachonishangaza ni kuwa raia wengi wa taifa hilo la iran ni miongoni wa wadandia ngalawa na viboti kukimbilia maisha bora katila nchi zinazotambuliwa na waislam kuwa ni nchi za makafir.
 
Wapo sawa , Uislamu haitaki kuendea mambo kichwa kichwa lazima usalama wa watu na mambo mengine yachungwe .
 
Soma Uislam Acha kuropoka aliyekuambia mashia waislam nani?

Muslim ni nani?? Embu wacha kuishi kufuata mikumbo bila kusoma na kujua history ya kitu husika.

Wengi wenu hamjasoma hiyo dini wala history yenu ila ni wale mnajiita mimi nimezaliwa kwenye hii dini.

Narudia tena soma soma soma, usikimbilie kitype hovyo kisa una uhuru tu wa kutype kwenye rununu mparazo.
 
Unamaanisha nini mkuu fafanua niongeze kitu kichwani
Vita zote za Middle East ukitoa Waarabu na Wayahudi. Ni vita kati ya Wasunni na Washia, Vita yao ilianza baada ya kifo cha Mtume wao.

Vita ya Syria, ilikuwa ni Wassuni, dhidi ya Washia, now tazama mpasuko wa mataifa ya kiarabu, wakimbizi na vifo alafu ulinganishe na mgogoro wa Palestinia
 
Sadam alikuwa ni msunni, Iraq wa shia ni wachache, Iran ndio inaongoza kwa kuwa na washia wengi, zaidi ya asilmia 90 ni washia. Ndio maana wana uadui na wasuni saudi arabia
Zaidi ya 60% ya Wairaq ni Washia. Sadam alitawala kwa shida sababu Washia hawakumuunga mkono. Tangu Sadam atolewe utawala wa Iraq umerudi mikononi mwa Shia na wako bega kwa bega na Iran ambao ni Shia wenzao
 
Back
Top Bottom