Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 7,681
- 9,892
Wanamuamini Imam Ali ndio alieanzisha hilo dhehebu lao
Usinichekeshe hakuna urafiki wa washia wa iran na wasunni wa saudi arabia.Walikuwa wakigombanishwa na America sasa hivi Saudi na Iran ni marafiki hawana ugomvi tena,kama Iran akiingia vitani Saudi Arabia atakuwa upande wa Iran. Hilo halina shada hakuna cha Ushia wala Usuni ni Humanity na undugu.
Hao saudia ni wanafiqina tangu walimuacha Sadamu Hussein akanyongwa sina hamu nao!Toka Gaza ikumbwe na mashambulizi ya Israel hakuna nchi ya Kiislamu iliyothubutu kukemea unyanyasaji huyo kwa raia lakini 🇮🇷 imethubutu mara kadhaa kusema huenda ikaingia na kusababisha mzozo kuwa mkubwa zaidi.
Saudia iko wap na uwezo wake?
Qatar je kwann wasitoe hata vifaa?
Misri jirani kabisa lakini kimya?
Ni aibu kubwa sana kuona ndugu yako akionewa na ww huchujui hatua yeyote
Uislamu ni undugu undugu wao kwa Palestina uko wapi zaidi ya unafiki.
--
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Hossein Amir-Abdollahian ameionya Israel kwamba eneo la Mashariki ya Kati linaweza kudorora ikiwa haitasitisha mashambulizi dhidi ya Gaza.
Alisema Marekani pia ndiyo "ya kulaumiwa" kwa kutoa msaada wa kijeshi kwa Israel.
Saa chache baadaye, Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu aliwatahadharisha wanajeshi wake kuwa katika vita vya kuokoa maisha yao na kusema vita dhidi ya Hamas ni "fanya au ufe".
Iran inaunga mkono Hamas, ambayo ilishambulia Israel wiki mbili zilizopita na kuua watu 1,400, na Hezbollah ya Lebanon.
Zaidi ya Wapalestina 4,600 wameuawa katika muda wa wiki mbili zilizopita huko Gaza, kwa mujibu wa wizara ya afya inayoendeshwa na Hamas, na Israel ilitangaza siku ya Jumamosi kuwa inazidisha mashambulizi ya anga.
"Ninaionya Marekani na wakala wake Israel kwamba ikiwa hawatakomesha mara moja uhalifu dhidi ya ubinadamu na mauaji ya halaiki huko Gaza, lolote linawezekana wakati wowote na eneo hilo halitaweza kudhibitika tena," Bw Amir-Abdollahian alisema katika mkutano na waandishi wa habari mjini Tehran.
Alisema kuwa matokeo yanaweza kuwa "makali, machungu" na "kuwa na athari kubwa", kikanda na kwa wale wanaotetea vita.
Waziri huyo wa mambo ya nje aliongeza kuwa uungaji mkono wa kijeshi wa Marekani kwa Israel ni ushahidi kwamba mzozo unaoendelea Gaza ni "vita vya uwakilishi vinavyofanywa na Israel kwa niaba ya Marekani".
Maafisa wakuu wa Marekani pia wanaonya kwamba mzozo huo unaweza kuenea.
Tatizo ni Kila mtu kuwa mjuaji. Hivi uislamu haukufundisha jinsi gani ya kuamiliana na maadui mnapokuwa kwenye mazingira ya udhaifu?Toka Gaza ikumbwe na mashambulizi ya Israel hakuna nchi ya Kiislamu iliyothubutu kukemea unyanyasaji huyo kwa raia lakini 🇮🇷 imethubutu mara kadhaa kusema huenda ikaingia na kusababisha mzozo kuwa mkubwa zaidi.
Saudia iko wap na uwezo wake?
Qatar je kwann wasitoe hata vifaa?
Misri jirani kabisa lakini kimya?
Ni aibu kubwa sana kuona ndugu yako akionewa na ww huchujui hatua yeyote
Uislamu ni undugu undugu wao kwa Palestina uko wapi zaidi ya unafiki.
--
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Hossein Amir-Abdollahian ameionya Israel kwamba eneo la Mashariki ya Kati linaweza kudorora ikiwa haitasitisha mashambulizi dhidi ya Gaza.
Alisema Marekani pia ndiyo "ya kulaumiwa" kwa kutoa msaada wa kijeshi kwa Israel.
Saa chache baadaye, Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu aliwatahadharisha wanajeshi wake kuwa katika vita vya kuokoa maisha yao na kusema vita dhidi ya Hamas ni "fanya au ufe".
Iran inaunga mkono Hamas, ambayo ilishambulia Israel wiki mbili zilizopita na kuua watu 1,400, na Hezbollah ya Lebanon.
Zaidi ya Wapalestina 4,600 wameuawa katika muda wa wiki mbili zilizopita huko Gaza, kwa mujibu wa wizara ya afya inayoendeshwa na Hamas, na Israel ilitangaza siku ya Jumamosi kuwa inazidisha mashambulizi ya anga.
"Ninaionya Marekani na wakala wake Israel kwamba ikiwa hawatakomesha mara moja uhalifu dhidi ya ubinadamu na mauaji ya halaiki huko Gaza, lolote linawezekana wakati wowote na eneo hilo halitaweza kudhibitika tena," Bw Amir-Abdollahian alisema katika mkutano na waandishi wa habari mjini Tehran.
Alisema kuwa matokeo yanaweza kuwa "makali, machungu" na "kuwa na athari kubwa", kikanda na kwa wale wanaotetea vita.
Waziri huyo wa mambo ya nje aliongeza kuwa uungaji mkono wa kijeshi wa Marekani kwa Israel ni ushahidi kwamba mzozo unaoendelea Gaza ni "vita vya uwakilishi vinavyofanywa na Israel kwa niaba ya Marekani".
Maafisa wakuu wa Marekani pia wanaonya kwamba mzozo huo unaweza kuenea.
Saudia wenyewe wanaitegemea Marekani kiulinzi dhidi ya Irani. saudia inalindwa na marekaniHao saudia ni wanafiqina tangu walimuacha Sadamu Hussein akanyongwa sina hamu nao!
HeheeeUpendo mjini hapa,kila MTU ajiangalia mwenyewe na familia yake
Uko sahihi. Iran ndio wanaochochea vurugu palestinaTatizo ni Kila mtu kuwa mjuaji. Hivi uislamu haukufundisha jinsi gani ya kuamiliana na maadui mnapokuwa kwenye mazingira ya udhaifu?
Hivi Irani amefanya Nini zaidi ya matamko?
Hivi hamjifunzi tuu kwenye "sulhu alhudaibiya"
Kuna uwezekano mkubwa wa Iran kuwa machochezi Ili kuwapa madhila wapalestina. Anafadhili silaha Kwa vikundi vidogo vidogo na silaha zenyewe ndogo ndogo Ili waichokoze Israel huku wakijua majibu yatakuwaje..!
Kwanini asiingie ye shujaa awamalize hao mayahudi kama alivyoahidi?
Nani asiejua kuwa kupigana na hao mayahudi bandia ni kupigana na mataifa yote ya kishetani!?
Wapalestina wangeacha njia hii wanayoitumia ambayo haijaleta manufaa toka waanze kuitumia. Kisha waende mezani. Wakubaliane kuwepo na mkataba wa amani hata kama ni wakuipoteza Jerusalem. Muhimu ni Israel iondoe mzingiro wake na kuiacha Palestine iwe nchi huru. Kisha wajipange Wadai walichokipoteza baada ya kujipanga na kurudi kwenye mafundisho ya uislamu yanawataka waweje Ili waweze kuwa warithi wa ardhi Ile.
Lakini iwapo watakuwa wanadanganyika na matamko ya Iran watakuwa ni watu wa kuteseka Kila siku
Kabisa irani na saudia ni maadui wakubwa.
Saudia wenyewe wanaitegemea Marekani kiulinzi dhidi ya Irani. saudia inalindwa na marekani
.
Ulitaka wafanye Nini?Hao saudia ni wanafiqina tangu walimuacha Sadamu Hussein akanyongwa sina hamu nao!
Kwakua nchi yetu Haina dini ikitokea tukachapana na somalia ambayo ni taifa la kiislamu utasimama na sisi au utasapot ndugu zako?Uislamu ni undugu bila kujali mipaka
hawana akili kwan ? mbona unawatukanaWalikuwa wakigombanishwa na America sasa hivi Saudi na Iran ni marafiki hawana ugomvi tena,kama Iran akiingia vitani Saudi Arabia atakuwa upande wa Iran. Hilo halina shada hakuna cha Ushia wala Usuni ni Humanity na undugu.
Kasome Aya ya kwanza yote Surat munafiqun uone ulivojawa na unafiqUndugu wa kweli hauna mipaka
We ni mpumbavuMashia ni makafir yamejaa hapa Tanzania
Saddam na regime yake walikuwa ni wasunni na ndio maana Saddam alikuwa na chuki kubwa dhidi ya washia na aliwaua sana enzi zake pale Iraq na kupigana vita na Iran pia ,enzi hizo Saddam ni kibaraka wa Marekani huku akipewa kila aina ya silaha ili kupambana na IranHalafu Iran na Iraq wakazipiga kipindi kile Saddam anaungwa mkono na Wamarekani wakati wote ni Washia [emoji15]