Iran ndio taifa pekee la Uislamu wa ukweli wengine wanafiki tu

Hujui LOLOTE umeandika tu,ushia ni dini tofauti na UISLAM,
Kwanza rejea vitabu Vyao firaqus As- shia Mwanzilishi wa ushia ninani?

Mwanzilshi wa ushia ni Myahudi Abdullah IBN Sabai(Al- yahud) Alitokea Yemen istoshe Wanachuoni Wote wakarne zilizopita Wametaja Katika vitabu Vyao Ushia siyo Katika madhehebu ya kislamu
 
Hii kauli yako ndio waislam wa middle east wanaamini
 
Ule mzozo haueleweki vizuri - majeshi ya Mahmood Abbas yameingia mtaani kupambana na hamas so huenda hao majirani unawasema hawaongei lugha moja na Hammas
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…