Iran ni nchi ya maajabu sana

Iran ni nchi ya maajabu sana

Kuna tofauti ya msaada wa kijeshi na kufadhili ugaidi. Iran iko zaidi kwenye kufadhili vikundi vya ugaidi katika nchi mbalimbali.
Hilo liko wazi mkuu hata wayahudi wa buza wanalifahamu.

Bila huruma ya magharibi na msaada wa Marekani kamwe hawawezi kuwa na visalaha walivyonavyo.

Iran ni jeshi la mtu mmoja. Haihitaji msaada wa mtu yeyote kujijenga na kujisimamia, sana sana yenyewe ndio unatoa msaada wa kijeshi kwa nchi kama vile Rassia, Syria, hezbullah, wale waasi wa kule Yemen nk. Tena hapo ikiwa chini ya vikwazo vikali vya kiuchumi na kijeshi kwa zaidi ya miaka 50.
Je isingewekewa vikwazo hivyo vya kiuchumi na kijeshi miaka hiyo 50 iliyopita leo hii ingekuwa wapi?
 
Mfano wako hauna mantiki yoyote, kwa sababu uwezo wa kibinadam na kimungu ni tofauti.

Binadam unaweza kumchagua labda mtoto wako wa kike bila kujali umri awaongoze wanao wakiume baada ya pengine kuona wale wakiume tabia zao na mienedo yao sio mizuri na wewe kama binadam hauna namna ya kuwabadilisha ili wawe kama vile unavyotaka wewe.
So hapo ndo unaamua kuchagua mmoja wa kuwaongoza.

Lakini Mungu yeye hawezi kuchagua mmoja kwa sababu yuko na uwezo wa kuwafanya wote wakawa na uwezo mmoja na wakaongozana bila kubagua yoyote kati yao.

Hayo ya kuchagua taifa 1 tu na makabila 12, ndio yamefanya wachina kushtuka mapema. Maana ni kama vile fursa imetengenezwa kijanja na wajanja fulan wa hayo makabila kupitia mgongo wa dini. So mchina kakataa kushikiwa akili namna hii.
Haya mambo yapo yameandikwa, ukiona Israel wamepigika usijaribu kuwa underestimate, mara nyingi huwa ni adhabu toka kwa Mungu. Kuna mataifa yalishawahi kwenda kupambana na Israel kwa sababu walikuwa wanapitia katika hali ngumu, kilichowapata wanakijua. Kwa maneno mengine , kupambana na Israel ni kupambana na Mungu mwenyewe.​
 
Uzi mzima unawasifia Wairan wana akili halafu hapa unalalamikia vikwazo walivyowekewa jinsi vinavyowashikisha adabu, kwa nini wasizitumie hizo akili zao nyingi kukabiliana na hivyo vikwazo??

Anayekuwekea vikazo na vikafanya kazi amekuzidi akili tu hata ujipapatue vipi kama bata maji.
Nasema hivi hayo mataifa mengine yana nguvu kwa sababu hayajawekewa, wala kujiwekea vikwazo vya kutengeneza silaha, na pia hayana vikwazo vya kiuchumi nk, ndio maana leo hii wewe unawaona wana nguvu kuliko wengine.

Laiti kama Iran isingewekewa vikwazo vya silaha na kiuchumi kwahiyo miaka 50, nakuhakikishia kuwa leo hii usingekuwa unaongea haya unayoongea hapa.

Sababu ya kuiwekea vikwazo ni kwa sababu wameiona hiyo nchi ikiwa huru unaweza kutengeneza silaha zenye hatari kubwa kwao na vibaraka wao kama vile Saudia, Israel nk.

Ndo maana nikakupa mfano kuwa Iran ni sawa sawa na bondia aliefungwa mikono, lkn bado anaonekana tishia kwa yule ambae hakufungwa mikono (Israel) pamoj na kwamb ana support kubwa kutoka kwa waandaji wa pambano (USA, UK, EU nk)

Swali ni kwanini Israel inahofia Iran isiwe huru kutengeneza silaha kama ilivyo kwa yenyewe, Marekani, Ulaya nk.

Mbona hatujasikia Iran ikilalamika kuwa Israel iwekewe vikwazo vya kiuchumi na kijeshi.

Pia kumbuka nlikupa mfano wa CCM na upinzani kufanya mikutano na kampeni mbali mbali. Ukiuelewa vizuri mfano ule basi hautakuwa na shaka juu ya nilichokiandika.
 
Mleta uzi na wanaomuunga mkono ni vilaza sana.
wala hivo sio hoja,eti demokrasi inabkwamisha maendeleo,nchi ngapi duniani zina udikteta wa kupitilizaza lakini ni masikini za kutupwa,nenda latini America huko,Huyo Jiwe na udikteta uchwara wake kuna nini cha kujivunia alichokiacha?
iran licha ya vikwazo vikali bado anauza gesi yake kwa iraq na uturuki,na maisha ya wananchi wake ni magumu,sana,sema ndio huo utemi ni ngumu kuyajua.
 
Iran aiombe nchi gani ambayo inaweza kuiwekea Israel vikwazo vya aina yoyote??

Israel imewahi kusema inataka kuifuta Iran juu ya dunia kama WaIran wanavyokusudia?
Mfano huu ulioutoa pia uelekeze kwa Israel. Ukiona Israel inapiga kelele kuwa Iran iendelee kuwekewa vikwazo vya kiuchumi na kijeshi, jua yenyewe haijiamini, inahofia Iran ikiachwa huru itamuacha mbali kisilaha na kiuchumi?

Pia jiulize mbona Iran haijawahi kuomba au kulalamika kuwa Israel iwekewe vikwazo vya kijeshi, uchumi nk?
 
Hao wanawake wa Iran wanaondama huko kila siku wanataka nini kama maisha ni mazuri hivyo kwa wanawake wa Iran??
Iran imekataa kutawaliwa na ukoloni mamboleo, na ni nchi inayosimamia raslimali yake kubwa ya mafuta na gesi kwa manufaa yake. Hilo ndiyo chanzo ya ugomvi na nchi za Magharibi.
Ni nchi mmojawapo ya Kiislamu inayo ongoza kuelimisha wanawake.
 
Iran chini ya ma-Ayatollah limekuwa taifa la hovyo sana likidumaa kimaendeleo kwa miongo mingi.
Iran ni nchi imara tena tajiri wa mali na utamadini.
Ila tatizo iran huenda ikajikanga kwa mafuta yake yenyewe kwa kujiwekea sera na itikadi isiyo na tija kiuchumi kwa wananchi wake.
Mapinduzi ya kidini yana faida gani? Badala ya kufanya mapinduzi ya kiuchumi yenye kufaidisha umma wao wanaua hadi wanawake kwa kutovaa hijab. Polisi wa maadili wanahangaika kusimamia watu waingie misikitini kusali. Sasa wakishasali inasaidia nini kiuchumi.
Kiuchumi iran wanaendeleza uchumi wa kibepari wanasema uislamu unaruhusu kulimbikiza mali kibepari.
Kwa hivyo iran haina sera ya kuona usawa na haki kwenye mgawanyo wa keki ya taifa.
Kwa kuwalazimisha wananchi kusali na wanawake kuvaa hijab ni mambo hayana faida yoyote na uchumi wao.
Siku si nyingi tutazamie mapinduzi ya kidini kusambaratika iran na pengine kurithiwa na mapinduzi ya kiuchumi kwa wavuja jasho kuchukua hatamu ya dola ili kupata uhuru wa nafsi zao na uhuru kiuchumi.
 
Hao wanawake wa Iran wanaondama huko kila siku wanataka nini kama maisha ni mazuri hivyo kwa wanawake wa Iran??
Walibya walivyokuwa walipigana na gadafi je walikuwa wanataka nini au sasa ndio wapo pazuri hilo ni kundi dogo lisilojitambua
 
Mkuu mimi ni mwamini wa dini!!
Lakini kwene uchanbuzi hatulinganishi vitu hivo!! Aidha unachanganya mambo sana Shekhe!! na nina uhakika u wa mlengo huo!!
“Israeli ni taifa teule” kidini na kihistoria No doubt
-hata kwen Quran ipo hyo na waarabu au wanaokijua kitabu wanaelewa

Kiuhalisia sasa!
-Usichanganye kati ya akili na Power (Nchi za Africa wenye akili ndyo masikini na wenye power hawana akili so ivi vitu n touti)

-Utajiri na Akili ( Ingawa vinashabihiana lakini si mara zote vinaenda sambamba) -utajiri n matokeo ya mazingira,fulsa na maamuzi sahihi na wala haitegemei uwe genius!…. ndyo maana darasa la saba au mtu ambae hata hajasoma anaweza mzidi mtu aliokua anaongoza darasana

-Kutawaliwa na akili (vitu tofauti pia kutawaliwa ni matokeo ya kuzidiwa kiuchumi,kijeshi,kimabavu nk kama mtu yyte ana power atakutawala itachukua akili nyingi na muda mwingi kujinasua

-Waisrael wengi wana IQ kubwa lakini hyo haifanyi kua wao wawe matajiri kwasababu utajiri una formula yake ingawa akili ina mchango wake ! Mfano mdogo Africa Taifa lenye watu wenye akili zaidi ni Siera Lione, eritrea lakini izi nchi ndyo nchi masikini Africa haziko hata top 20 !! Nadhani unapa picha

-Israel imezaliwa 1948 (isael ya sasa) lakini walipofika leo huwezi kuringanisha na mataifa mengine yaliozaliwa mwaka huo!! nchi iliyozaliwa Jagwani!
Alafu uilinganishe na nchi za ulaya kama britain yenye karne kadhaa
Kifupi kwene kuringanisha kuna kanuni zake
“HUWEZI KUPIMA AKILI YA SAMAKI NA NYANI KWA KUWASHINDANISHA KUPANDA MITI”….
Mkuu kwanza napenda kutanguliza shukran kwa uchambuzi wako ulioufanya kupitia comment yako. Pili sikubaliana na ww kwamb mimi kwa vile ninapingana na wale wanaoitetea Israel sasa ndio unione nina mlengo ule unaofikiria wewe.

Mada yangu haikuwa ya mlengo huo unaofikiria, ndio maana ukisoma reply mbali mbali nilizoandika, plus na thread yenyew utakuta nimeitaja Saudia, Oman, falme za kiarab na nchi nyingine pia zenye mlengo unaofikiria kuwa ni wangu zikiwa tayari zimeshashushiwa kipigo au kujenga uadui mkubwa na Iran. So kama ningeandika hii thread kwa mtazamo huo unaofikiria wewe wala nisingekuwa na haja ya kuziingiza saudia arabia na nchi zingine ambazo unahisi ni za mlengo wang.

Alieanzisha mambo ya mlengo huo na kuanza kuingiza habari za biblia na mambo sijui ya taifa teule ni ndugu yako mwenyew. Ebu rudi juu kidogo kwenye post namb #48 umsome vizuri afu ndo urudi.

Ukweli ni kwamb mimi nimekataa unafiki, siandiki kitu kwa kuangalia imani wala kutanguliza habari za biblia na qur ani, bali naandika kwa kuangalia uhalisia tu wa jambo lenyewe.

Nchi za magharibi zikiongozwa na Marekani pamoja na Israel yenyewe wameng'ang'ania kuiwekea vikwazo Iran kwa sababu wanajua wale watu ni akili kubwa, wasomi na ni watu wenye historia ya muda mrefu kwenye nyanja mbali mbali toka karne na karne. Sasa kwa mantiki hiyo wanajua fika kwamba wakiwaachia na wao wawe huru kutengeneza silaha zao na kuimarisha uchumi wao kama walivyoiachia Israel, India, Saudia Arabia nk. Basi watatengeneza tatizo ambalo watashindwa kulitatua baadae.

Ebu tuweke ushabiki wa kidini pembeni, tuchukue uhalisia kama Iran isingewekewa vikwazo vya kijeshi na kiuchumi kwa hiyo miaka zaidi ya 50 kama ilivyo kwa Israel leo ni nchi gani ambayo ingeiletea fyoko fyoko hapo mashariki ya kati?

Nina imani kama Israeli ingewekewa vikwazo vya kutengeneza silaha na kiuchumi (kwa maana ya kunyimwa misaada na Marekani) na kuzuiwa kutengeneza silaha kama ilivyowekewa Iran japo kwa miaka 10 tu. Basi leo hii Israel ingekuwa imeshamegwa mara mbili ya jinsi ilivyo leo na kundi la kawaida tu la hamas, achilia mbali kupambana na Iran.
Muda mungine tuwe wakweli sio tutangulize hisia za dini kwa kujificha kwenye mgongo wa maandiko ya taifa teule nk.
 
Walibya walikuwa wanapigana na udikteta wa Gaddafi, ni kawaida kabisa madikteta kuacha ombwe wanapong'olewa. Hasa kwa sababu huwa wanaaribu taasisi, hata huko Iran siku utawala wa Ayatollah uking'olewa kunaweza kutokea machafuko makabwa sana.

Tizama Uingereza wamebadilisha mawaziri wakuu watatu ndani ya mwezi mmoja na nchi wala haijayumba
Walibya walivyokuwa walipigana na gadafi je walikuwa wanataka nini au sasa ndio wapo pazuri hilo ni kundi dogo lisilojitambua
 
Ni hawa hawa Iran wenye uwezo wa kuifuta Isreal kwenye uso wa dunia kwa maneno ya mdomoni, usifanye mchezo na taifa la kiyahudi, level yao ni juu mara mia zaidi ya binadamu mwingine yoyote anayeishi duniani....Israel is blessed.
ankoo embu tua mzigo wa ujinga basi kidogo...
 
Ukiacha hizo silaha ulizozingumiza katika posti nzima na makapeti ya kukalia vitu gani vingine Iran wanatengeneza na kufanya biashara kubwa duniani??
Ww jamaa huwa unajifanyaga mjuaji lakini ni bonge la kilaza.

Kabla ya kuiponda Iran kuwa haiwezi kitu zaidi ya silaha je nchi yako ina uwezo wa kutengeneza hizo silaha ili tunone kama ni rahisi?

Ngoja nikuelimishe kidogo maana ww ni kilaza uliye jivika ujuaji wa kipuuzi.

(1)Iran ni nchi ya pili kwanguvu za kiuchumi katika eneo la mashariki ya kati ikitanguliwa na Saudia arabia huku kidunia ikiwa nafasi ya 21.

(2)Iran ndio taifa lenye nguvu za kiviwanda kuliko mataifa yote mashariki ya kati ikifuatiwa na Israel huku kidunia likishika nafasi ya 22.

(3) Iran ndio taifa lenye nguvu za kijeshi kuliko yote hapo mashariki ya kati ikifuatiwa na Israel uku kidunia likishika nafasi ya 13.

(4) Asilimia 80 ya magari na pikipiki zinazo tumika ndani ya Iran kwenyewe , Syria ,Iraq na Yemen yanatengenezwa nchini Iran, hata oman ni muagizaji mkubwa wa pikipiki kutoka Iran ila sio kwa kiwango kikubwa kama nchi hizo zingine nilizo zitaja.

(5)Asilimia 90 ya madawa yanayo tumika nchini Iran wanajitengenezea wenyewe.

(5)Iran ni mtengenezaji na msambazaji mkubwa wa mazuria ya kuvutia ulimwenguni.

(6)Iran ukubwa wake kieneo ni kubwa kuliko Tz na Uganda ukiziunganisha kwa pamoja lakini imejenga mtandao wa mkubwa wa reli wa trein za umeme nchi nzima, ww nchi yako imeshindwa hata kumaliza kipande cha Dar to moro.

(7) Iran inazalisha umeme wa megawatt zaidi ya (80,000) wakati nchi yako ndio kwanza ina 1400.

(8)Iran amefanya uwekezaji mkubwa kwenye kilimo na ndio maana hujawahi kusikia kuna njaa pamoja na kwamba nchi yao ni jangwa.

Hiyo ni kwa uchache tu.

Punguza ujuaji wa kipuuzi kwa mambo usio kuwa na ufahamu nao maana utaonekana kituko.
 
Uzi mrefu ila ni porojo tupu na matangopori.

Iran pamoja na utajiri wake mkubwa wa mafuta na eneo kubwa

GDP ya Iran ni billioni 191USD, wakati ya Israel ni billioni 402USD.

Kipato cha mtu kwa mwaka Iran ni USD 2,200 wakati Israel ni USD 43,000.
Umeondoa vikwazo?
 
Nimesoma kidogo tu, nimeonaniku kosoa. Unapotosha jamii.
Israel sio tena taifa teule.
ISRAEL SIO TENA TAIFA TEULE. Ilikuwa hivo kipindi hicho na katika Quran iliwataja hivo. Baada ya ku adhibiwa uteule huo umeondoka.
Mkuu mimi ni mwamini wa dini!!
Lakini kwene uchanbuzi hatulinganishi vitu hivo!! Aidha unachanganya mambo sana Shekhe!! na nina uhakika u wa mlengo huo!!
“Israeli ni taifa teule” kidini na kihistoria No doubt
-hata kwen Quran ipo hyo na waarabu au wanaokijua kitabu wanaelewa

Kiuhalisia sasa!
-Usichanganye kati ya akili na Power (Nchi za Africa wenye akili ndyo masikini na wenye power hawana akili so ivi vitu n touti)

-Utajiri na Akili ( Ingawa vinashabihiana lakini si mara zote vinaenda sambamba) -utajiri n matokeo ya mazingira,fulsa na maamuzi sahihi na wala haitegemei uwe genius!…. ndyo maana darasa la saba au mtu ambae hata hajasoma anaweza mzidi mtu aliokua anaongoza darasana

-Kutawaliwa na akili (vitu tofauti pia kutawaliwa ni matokeo ya kuzidiwa kiuchumi,kijeshi,kimabavu nk kama mtu yyte ana power atakutawala itachukua akili nyingi na muda mwingi kujinasua

-Waisrael wengi wana IQ kubwa lakini hyo haifanyi kua wao wawe matajiri kwasababu utajiri una formula yake ingawa akili ina mchango wake ! Mfano mdogo Africa Taifa lenye watu wenye akili zaidi ni Siera Lione, eritrea lakini izi nchi ndyo nchi masikini Africa haziko hata top 20 !! Nadhani unapa picha

-Israel imezaliwa 1948 (isael ya sasa) lakini walipofika leo huwezi kuringanisha na mataifa mengine yaliozaliwa mwaka huo!! nchi iliyozaliwa Jagwani!
Alafu uilinganishe na nchi za ulaya kama britain yenye karne kadhaa
Kifupi kwene kuringanisha kuna kanuni zake
“HUWEZI KUPIMA AKILI YA SAMAKI NA NYANI KWA KUWASHINDANISHA KUPANDA MITI”….
 
Umesahsu kutajia utajiri alionao wa mafuta, gesi na bado anafua Nuclear
Ww jamaa huwa unajifanyaga mjuaji lakini ni bonge la kilaza.

Kabla ya kuiponda Iran kuwa haiwezi kitu zaidi ya silaha je nchi yako ina uwezo wa kutengeneza hizo silaha ili tunone kama ni rahisi?

Ngoja nikuelimishe kidogo maana ww ni kilaza uliye jivika ujuaji wa kipuuzi.

(1)Iran ni nchi ya pili kwanguvu za kiuchumi katika eneo la mashariki ya kati ikitanguliwa na Saudia arabia huku kidunia ikiwa nafasi ya 21.

(2)Iran ndio taifa lenye nguvu za kiviwanda kuliko mataifa yote mashariki ya kati ikifuatiwa na Israel huku kidunia likishika nafasi ya 22.

(3) Iran ndio taifa lenye nguvu za kijeshi kuliko yote hapo mashariki ya kati ikifuatiwa na Israel uku kidunia likishika nafasi ya 13.

(4) Asilimia 80 ya magari na pikipiki zinazo tumika ndani ya Iran kwenyewe , Syria ,Iraq na Yemen yanatengenezwa nchini Iran, hata oman ni muagizaji mkubwa wa pikipiki kutoka Iran ila sio kwa kiwango kikubwa kama nchi hizo zingine nilizo zitaja.

(5)Asilimia 90 ya madawa yanayo tumika nchini Iran wanajitengenezea wenyewe.

(5)Iran ni mtengenezaji na msambazaji mkubwa wa mazuria ya kuvutia ulimwenguni.

(6)Iran ukubwa wake kieneo ni kubwa kuliko Tz na Uganda ukiziunganisha kwa pamoja lakini imejenga mtandao wa mkubwa wa reli wa trein za umeme nchi nzima, ww nchi yako imeshindwa hata kumaliza kipande cha Dar to moro.

(7) Iran inazalisha umeme wa megawatt zaidi ya (80,000) wakati nchi yako ndio kwanza ina 1400.

(8)Iran amefanya uwekezaji mkubwa kwenye kilimo na ndio maana hujawahi kusikia kuna njaa pamoja na kwamba nchi yao ni jangwa.

Hiyo ni kwa uchache tu.

Punguza ujuaji wa kipuuzi kwa mambo usio kuwa na ufahamu nao maana utaonekana kituko.
 
Nimesoma kidogo tu, nimeonaniku kosoa. Unapotosha jamii.
Israel sio tena taifa teule.
ISRAEL SIO TENA TAIFA TEULE. Ilikuwa hivo kipindi hicho na katika Quran iliwataja hivo. Baada ya ku adhibiwa uteule huo umeondoka.
Kuna sehemu ilitolewa uteule wake?? unaweza kuthibitsha kwa nukuu
 
Back
Top Bottom