Record Man
JF-Expert Member
- May 25, 2023
- 525
- 876
Chombo za habari Cha Iran.Ndege za Israel na marekani hazijaingia katika airspace ya Iran zimeshambulia km 100 kutoka border ya Iran na Iraq. Taarifa rasmi ya jeshi la Iran jioni hiiView attachment 3136112
Unasema uongo. Irani imesema Israel imeshambulia na Kuna "minimal damages" au kama lugha inakupiga chenga sema usaidiwe.Chombo za habari Cha Iran.
Iran walisema hakuna madhara yoyote ila wameaanza kusema askari wameuwawa
Unajiandaa kumrithi Mr. Bean.Israel wamesambaratisha air defence system za iran kabisa, sasaivi iran akirusha chochote ndege zitakuja na kupiga na hataziona kabisa kabisa. Myahudi kasababisha madhara makubwa sana Iran, syria na Iraq ndani ya masaa mawili, ukiona israel inasema imeshamaliza retaliation, jua anafahamu alichokifanya kimeleta maumivu. sasaivi hata bongo tukitaka tunaenda na kurudi iran hakuna atakayetuona, manake air defence system na rada zao wamefyekelea mbali.
Kwa akili zako na wewe unaamini ADS za Iran zimeharibiwa!?Unajiandaa kumrithi Mr. Bean.
Israel na NATO yake iharibu defense system za Iran halafu waisubiri inyanyuke wasichukue hiyo advantage kuisambaratisha?
Possibly hizo ndege zimetokea hapo Iraq kwenye base za US na ukizingatia air space ya IRAQ iko controlled na hao hao US.Israel haikuingia kwenye airspace ya Iran.
Ule umbali sio wa kutumia artillery kudungua.
Bro huongei na watoto hapa,artillery shells haziwezi zikafyatuka mfululizo na kwa kasi ya namna ile.
Na ndege zilishambulia nje ya airspace ya Iran sio ndani ya airspace ya Iran.
Ikigundulika itachapwa base zilikotokaPossibly hizo ndege zimetokea hapo Iraq kwenye base za US na ukizingatia air space ya IRAQ iko controlled na hao hao US.
Ukinisoma vizuri utajua kama naamini au siamini.Kwa akili zako na wewe unaamini ADS za Iran zimeharibiwa!?
Kwa mujibu wa Kwame Nkurumah, ^Hatuangalii Magharibi wala Mashariki. Tunaangalia mbele.^Na waafrika vichwa vinageuka hawajui waangalie wapi 😄
Watapiga watapigwa ni mchezo endelevuWanaukumbi.
Tel Aviv iwe tayari tena kwa makombora ya Iran.
Operesheni True Promise III inakuja hivi karibuni.
Iran, wamesema wazi lazima walipize kisasi wana haki ya kujilinda kama taifa kamwe hawezi kukubali na wako tayari kwa vita virefu.
View: https://x.com/timesof_lebanon/status/1850231493710262737?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Tushaona shambulizi dhaifu la Israel.Watapiga watapigwa ni mchezo endelevu
Dhaifu sio. Limeuwa wanajeshi wangapi. Na wanaume wameenda na ndege 100 mpaka Tehran. Cjui kama unaelewa huo mji ulipo na wakashindwa kutungua hata kutungua moja. Tena muda huu Israel imeonyesha wengi walikuwa wanajeshi wanawake.Tushaona shambulizi dhaifu la Israel.
Wacha tuone mwanaume Iran anavyofanya kazi.
Hazijafika tehran bnDhaifu sio. Limeuwa wanajeshi wangapi. Na wanaume wameenda na ndege 100 mpaka Tehran. Cjui kama unaelewa huo mji ulipo na wakashindwa kutungua hata kutungua moja. Tena muda huu Israel imeonyesha wengi walikuwa wanajeshi wanawake.
Ndege zimeshambulia zikiwa anga la Iraq wala hazijaingia Iran.Dhaifu sio. Limeuwa wanajeshi wangapi. Na wanaume wameenda na ndege 100 mpaka Tehran. Cjui kama unaelewa huo mji ulipo na wakashindwa kutungua hata kutungua moja. Tena muda huu Israel imeonyesha wengi walikuwa wanajeshi wanawake.
Wewe kenge kweli. Kwanza wanajeshi waliokufa ni wanne. Pili Israel imepiga awamu 3 halafu usisahau Iraq na Iran kwa wakat mmoja walifunga anga lao. Na so ndani ya awamu tatu ushindwe kwenda kurusha hata ndege moja kwenda kupambana na adui? Ndege zenyewe pilot. MademuNdege zimeshambulia zikiwa anga la Iraq wala hazijaingia Iran.
Askari wawili waliouawa wameuawa kwa mlipuko wa batteries za ADS.
Video zimeoneshwa humu Iran iki intercept yale mashambulizi.
Huwezi ukaingiza ndege Iran ikatoka salama,USA analifahamu hilo.
Bavaar-373 iko operational.
Kipigo ni kipigo tu haijalishi mpigaji amekaa angle ganiNdege za Israel na marekani hazijaingia katika airspace ya Iran zimeshambulia km 100 kutoka border ya Iran na Iraq. Taarifa rasmi ya jeshi la Iran jioni hiiView attachment 3136112
Waafrika wamebase kwenye udini 😃Na waafrika vichwa vinageuka hawajui waangalie wapi 😄
Hapana taifa teule Israel ni Amerika jimbo la mashariki ya kati.Ajifanye kiherehere wa kuongea maneno mbofu mbofu dhidi ya Taifa teule. Watamfuata yeye tuu na kumdungua na kumpeleka firidaus
Ayatollah amechimbaa! Ameona mziki mzito wa F35 lightning akaamua akimbize mbawa zake