Iran wamewaambia UN iwapo Israel itaivamia Lebanon, mashirika yote ya Kiislamu ya Mashariki ya Kati yatakwenda Lebanon na kujiunga na Hezbollah"

Iran wamewaambia UN iwapo Israel itaivamia Lebanon, mashirika yote ya Kiislamu ya Mashariki ya Kati yatakwenda Lebanon na kujiunga na Hezbollah"

Ritz

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2011
Posts
51,303
Reaction score
40,190
Wanakumbi.

MPYA:

🇮🇷🇮🇱 Iran katika Umoja wa Mataifa:

"Iwapo Israel itaivamia Lebanon, mashirika yote ya Kiislamu ya Mashariki ya Kati yatakwenda Lebanon na kujiunga na Hezbollah"

Iran imesema katika Umoja wa Mataifa kwamba iwapo Israel itaanzisha vita vikali dhidi ya Hizbullah nchini Lebanon, basi chaguzi zote zitakuwa mezani ikiwa ni pamoja na kuhusika kwa pande zote katika mhimili wa muqawama.


View: https://x.com/megatron_ron/status/1807016405834912086?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Hao hizbollah kutwa kuanzisha uchokozi wasubiri dawwa iwaingie na hao mahujaji wanao taka kushiriki iyo karamu wata enda kutanishwa na mtangulizi wao bwana Raisi
 

Attachments

  • IMG_20240614_081040.jpg
    IMG_20240614_081040.jpg
    89.3 KB · Views: 10
Wanakumbi.

MPYA:

🇮🇷🇮🇱 Iran katika Umoja wa Mataifa:

"Iwapo Israel itaivamia Lebanon, mashirika yote ya Kiislamu ya Mashariki ya Kati yatakwenda Lebanon na kujiunga na Hezbollah"

Iran imesema katika Umoja wa Mataifa kwamba iwapo Israel itaanzisha vita vikali dhidi ya Hizbullah nchini Lebanon, basi chaguzi zote zitakuwa mezani ikiwa ni pamoja na kuhusika kwa pande zote katika mhimili wa muqawama.


View: https://x.com/megatron_ron/status/1807016405834912086?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Safari hii am a unafik tena
 
Ukisoma historia ya mwisho wa dunia hii vita naona sio poa kabisa. Kuna kilala dalili ya yule kiumbe anakuja kutaka kufanya yake.
 
Wanakumbi.

MPYA:

🇮🇷🇮🇱 Iran katika Umoja wa Mataifa:

"Iwapo Israel itaivamia Lebanon, mashirika yote ya Kiislamu ya Mashariki ya Kati yatakwenda Lebanon na kujiunga na Hezbollah"

Iran imesema katika Umoja wa Mataifa kwamba iwapo Israel itaanzisha vita vikali dhidi ya Hizbullah nchini Lebanon, basi chaguzi zote zitakuwa mezani ikiwa ni pamoja na kuhusika kwa pande zote katika mhimili wa muqawama.


View: https://x.com/megatron_ron/status/1807016405834912086?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

walisema hivyo hivyo kwa wapelestina, leo wamewaacha wanateseka peke yako. Laana iwashukie waajemi
 
Iran wameamua kuwa wakristo hadi waseme ukweli? This is kawaida yao... tujuavyo yupo vitani tokea October 7 sasa vitisho vya nini wakati tayari wapo vitani... wanawachuuza waarabu wanajua ni wajinga sakizio sakiza tu
 
Tokea enzi Iran wakiaminiwa lazima wakutoroke wakifuatiwa na munafiki Turkiye
 
Mwarabu sio wa kumdhamini utajikuta peke yako. MWARABU anashika nafasi ya pili kwa Unafiki. Namba moja inakamatwa na Mzee Baba MTU MWEUSI.
 
Back
Top Bottom