Ni kawaida watu waliovamia maeneo ya watu hujidhatiti kwa kila hali ili waonekane wana haiki ..hii vita kama ya hamasi ni kama imetibua kila kitu kwa IsraeliUkisoma historia ya mwisho wa dunia hii vita naona sio poa kabisa. Kuna kilala dalili ya yule kiumbe anakuja kutaka kufanya yake.