Iran warusha satelite 3 kwa mpigo na kwa mafanikio.Saudi Arabia wafungua bar ya mwanzo ya ulevi na viwanja vya kujirusha.

Iran warusha satelite 3 kwa mpigo na kwa mafanikio.Saudi Arabia wafungua bar ya mwanzo ya ulevi na viwanja vya kujirusha.

Inakuwaje watu wanaowatukana maswahaba na bibi Aisha wana huruma na waislamu na wanakaa mbele kuwatetea wanaodhulumiwa kuliko wale wanaowasifu na kujifanya ndio walinzi wa haram 2.
Iran haiwatetei chochote Waislam bali inachochea vurugu zaidi katika ukanda ule kama maandalizi ya kuja kwa "mahdi" wao. So hawajali kumwagika damu za Ahlus Sunnah. Wao wataleta vurugu ukanda usikalike, lakini wakati huo huo wakisambaza itikadi zao za kishetani kwa upande mwengine. Na watu kama wewe mnatumika katika hili kwa kujua au bila kujua.

Pili, Saudi Arabia kiuhalisia imefanya mengi kwa ajili ya ndugu zao Wapalestina. Kwa kujua kuwa ndugu zetu hawawezi kupigana na maadui wa Allah mazayuni, wamekuwa wakitumia diplomasia na kutafuta njia za kufanya amani na makafiri ili angalau ndugu zetu wapate nafuu. Achilia mbali misaada ya kibinadamu wanayowasaidia ndugu zao. Ila nyinyi mnataka wafanye vurugu na kufanya damu zao zimwagike zaidi ndio ionekane wamewasaidia? Unajua Waislam wangapi huko Palestina wameuawa tokea Hamas wafanye shambulizi lao dhidi ya Dola la kizayuni bila kujali? Unajua damu ya Muislam ina thamani kuliko Al-Ka'aba?

Wanaopambana damu za Waislam zisimwagike bila sababu za msingi ndio wana huruma zaidi na Waislam. Sio mashia wa Iran.

Naam Saudia ndio w wasimamizi wa Miji miwili mitukufu. Allah aidumishe miji ile katika mikono ya watu wa Tawheed na kamwe mikono ya washirikina isiifikie Miji ile Mitukufu.
Mtu atamteteaje Mtume swalaLlaahu alayhi wa salam halafu anashirikiana na maadui wa Mwenyezi Mungu kuwaua watu wengine na ndugu zao hasa
Bali hili limefanywa na mashia kushirikiana na kafiri Putin kuua ndugu zetu huko Syria.
.Au mpenzi wa mtume anafungua maduka ya ulevi ambao mtume rehema na amani zimshukie aliamrisha umwagwe na watu wasinywe tena kuanzia siku hiyo.
Hii propaganda mbona imejibiwa tayari.

6398eaefa8ac40199b43f8084849eeac.jpg
de370b39a3b943f6ae15e7d28c580bd4.jpg


Halafu shirki ni dhambi ovu zaidi kuliko zote na ndio kubwa zaidi. Bali ndio ambayo haisamehewi akifa nayo mtu bila ya kutubia dhambi hiyo. Angalia Iran mashia walivyojaza mikaburi ambayo watu wanajazana kwenda kuiabudia. Shirki inatangazwa Iran kwa kiwango cha kutisha, kuwaomba na kuwaabudia wasiokuwa Allah. Uko wapi wewe na hili? Ushawahi kusema lolote kupinga hili? Saudia hukuti mambo hayo yakifanyika waziwazi. Bali dola ile iliposimama makaburi yaliyojengewa yalivunjiliwa mbali kutekeleza amri ya Mtume (Swala na Salamu ziwe juu yake). Saudia hukuti kanisa, hekalu au sinagogi limejengwa na watu wanakusanyika kuabudu. Makafiri wanaoishi kule wanaabudu kwenye makazi yao huko.

Ila Iran kuna mpaka masinagogi mayahudi wanaabudu kwa raha huku Ahlus Sunnah wakikandamizwa.

Saudia wana mapungufu yao, ila kwa kuipigania kwao Tawheed na Sunnah na kupiga vita Shirki na Bida'a wamejitahidi mno na Allah awaongezee baraka, neema, nguvu na kheri kwa hilo na awaepushe na shari za maadui zao na mahasidi wao. Ameen. Allah aliangushe dola la kishia la Iran na airudishe katika mikono ya Waislam na awaunganishe Waislam katika Tawheed na Sunnah, Ameen.
 
Hayupo mtu anaweza samehe,
Hata waislamu ni hivyo hivyo wanangu ninashinda nao kila siku wanatomba mademu ijumaa wanavaa kanzu kuingia msikitini wakitoka wanakuja kwenye goli la chips tunakula kitimoto.
Tena mfungo ukikaribia wanafunga ndoa za kuegesha wakisha kula sikukuu wanawapiga talaka huku wakishangilia Taaaakbiiirrr na bila kusahau wanasubiriwa na ma'bikra 72 ndo maana wamekazana na alkasusu Ili kuwa na miguvu ya kwenda nayo peponi
 
Allah ailinde Dola ya Saudia na aiangushe Dola ya kishia ya Iran na airudishe Iran katika mikono ya Waislam. Iran ya kishia imeua Waislam wengi zaidi kuliko hata mazayuni. Bali ni waovu zaidi. Allah awadhalilishe watu hao washirikina wanaowatukana na kuwakufurisha maswahaba wa Mtume na wake za Mtume. Allah awaangushe hao na vibaraka wao akina Houthi, Hezbo na wengineo wanaozichezea damu za Waislam na kuchochea makafiri kuzimwaga zaidi kwa maslahi yao binafsi na agenda zao ovu pamoja na baba zao mazayuni.

Watu wanaomkufurisha 'Umar (Radhi za Allah ziwe juu yake) na kumtukana matusi mazito mazito hawawezi kuikomboa al-Quds ambayo ilikombolewa na Amir wa Waumini 'Umar Ibn al-Khattab (Radhi za Allah ziwe juu yake) kwa idhini ya Allah.

Saudia na mapungufu yake bado ni bora mno kuliko hao punda wa mayahudi.
Wafia dini elimu ni shida sana...

Hapo si ajabu kwenye elimu hata ya sekondari huna
 
Lakini wanatubu kwa Allah Mmoja asiye na Mshirika, Mwenye Kusamehe. Hawaendi kuungama/kudhihirisha madhambi yao walioyafanya sirini kwa wanadamu halafu hao wanadamu eti wakatangaza kuwa wamesamehewa. Toba yao wanaomba kwa Allah tu.
Uislamu hauna kutubu dhambi ukishanawa basi imeisha hio
 
Uislamu hauna kutubu dhambi ukishanawa basi imeisha hio
Sina haja ya kukujibu. Ayah na Hadiths kuhusu Toba, na fadhila za kutubu na ubora wake ni nyingi mno.

Huku hakuna utapeli eti padri au sijui mchungaji anasamehe dhambi. Dhambi tunatubu kwa Allah tu.
 
Sioni mantiki yao sababu wakitoka msikitini wanrudi kufanya yale yale.
Ni sawa na hao wanaoenda kanisani tu
ayat 53 from Surah Az-Zumar
﴿۞ قُلْ يَا عِبَادِيَ الَّذِينَ أَسْرَفُوا عَلَىٰ أَنفُسِهِمْ لَا تَقْنَطُوا مِن رَّحْمَةِ اللَّهِ ۚ إِنَّ اللَّهَ يَغْفِرُ الذُّنُوبَ جَمِيعًا ۚ إِنَّهُ هُوَ الْغَفُورُ الرَّحِيمُ﴾
[ الزمر: 53]

Sema: Enyi waja wangu walio jidhulumu nafsi zao! Msikate tamaa na rehema ya Mwenyezi Mungu. Hakika Mwenyezi Mungu husamehe dhambi zote. Hakika Yeye ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu.




Abu Darda reported: The Messenger of Allah, peace and blessings be upon him, said, “Allah Almighty said: O son of Adam, whenever you worship Me and place your hopes in Me, without associating any partners with Me, I will forgive whatever you have done. If you turn to Me with the likes of the heavens and the earth full of sins and shortcomings, I will turn to you with the same amount of forgiveness, and I do not mind.”

Source: Shu’ab al-Imān lil-Bayhaqī 1009

Grade: Sahih (authentic) according to Al-Albani
 
Pamoja na kwamba mimi sio mnywaji wa pombe lakini siamini kwamba unywaji tu eti ni dhambi inayoweza kumfanya mtu asitinge peponi, hakuna panaposemwa kwamba unywaji tu ni dhambi.

Na pia ukiwa hapa duniani huwezi kukwepa kufanya aina yoyote ya dhambi na unafanya ukifahamu fika kabisa kwamba hii ni dhambi.

Ndio maana inasemwa wanaohukumu nao watahukumiwa.

There is absolutely no utopia in this world.
Chanzo kikubwa cha madhambi huanza pale unapokuwa mlevi, ulevi ndio chanzo hasa cha maovu, ukitoa ulevi ustaarabu pia utakuwepo mahala
 
Pamoja na kwamba mimi sio mnywaji wa pombe lakini siamini kwamba unywaji tu eti ni dhambi inayoweza kumfanya mtu asitinge peponi, hakuna panaposemwa kwamba unywaji tu ni dhambi.

Na pia ukiwa hapa duniani huwezi kukwepa kufanya aina yoyote ya dhambi na unafanya ukifahamu fika kabisa kwamba hii ni dhambi.

Ndio maana inasemwa wanaohukumu nao watahukumiwa.

There is absolutely no utopia in this world.
Hao ndugu zetu ni wachaguq dhambi,ngono ni dhambi lakini wao ndio wameikumbatia balaa huku pombe wakiipiga vita mno
 
Tena mfungo ukikaribia wanafunga ndoa za kuegesha wakisha kula sikukuu wanawapiga talaka huku wakishangilia Taaaakbiiirrr na bila kusahau wanasubiriwa na ma'bikra 72 ndo maana wamekazana na alkasusu Ili kuwa na miguvu ya kwenda nayo peponi
Bi mkubwa naona suala la bikra kila Uzi unalitaja .
We km Bikra yako ilitafunwa na muuza Viroba usilaumu mtu.
Hela ya chips kavu ilikuzengua ukaachia mavitus.
Leo umekongoroka ka Bedford ya 1969!
Sasa hasira zako unazileta kwa waungwana.
Haifai namna hii bi mkubwa.
 
Iran haiwatetei chochote Waislam bali inachochea vurugu zaidi katika ukanda ule kama maandalizi ya kuja kwa "mahdi" wao. So hawajali kumwagika damu za Ahlus Sunnah. Wao wataleta vurugu ukanda usikalike, lakini wakati huo huo wakisambaza itikadi zao za kishetani kwa upande mwengine. Na watu kama wewe mnatumika katika hili kwa kujua au bila kujua.

Pili, Saudi Arabia kiuhalisia imefanya mengi kwa ajili ya ndugu zao Wapalestina. Kwa kujua kuwa ndugu zetu hawawezi kupigana na maadui wa Allah mazayuni, wamekuwa wakitumia diplomasia na kutafuta njia za kufanya amani na makafiri ili angalau ndugu zetu wapate nafuu. Achilia mbali misaada ya kibinadamu wanayowasaidia ndugu zao. Ila nyinyi mnataka wafanye vurugu na kufanya damu zao zimwagike zaidi ndio ionekane wamewasaidia? Unajua Waislam wangapi huko Palestina wameuawa tokea Hamas wafanye shambulizi lao dhidi ya Dola la kizayuni bila kujali? Unajua damu ya Muislam ina thamani kuliko Al-Ka'aba?

Wanaopambana damu za Waislam zisimwagike bila sababu za msingi ndio wana huruma zaidi na Waislam. Sio mashia wa Iran.

Naam Saudia ndio w wasimamizi wa Miji miwili mitukufu. Allah aidumishe miji ile katika mikono ya watu wa Tawheed na kamwe mikono ya washirikina isiifikie Miji ile Mitukufu.

Bali hili limefanywa na mashia kushirikiana na kafiri Putin kuua ndugu zetu huko Syria.

Hii propaganda mbona imejibiwa tayari.

View attachment 2886951View attachment 2886952

Halafu shirki ni dhambi ovu zaidi kuliko zote na ndio kubwa zaidi. Bali ndio ambayo haisamehewi akifa nayo mtu bila ya kutubia dhambi hiyo. Angalia Iran mashia walivyojaza mikaburi ambayo watu wanajazana kwenda kuiabudia. Shirki inatangazwa Iran kwa kiwango cha kutisha, kuwaomba na kuwaabudia wasiokuwa Allah. Uko wapi wewe na hili? Ushawahi kusema lolote kupinga hili? Saudia hukuti mambo hayo yakifanyika waziwazi. Bali dola ile iliposimama makaburi yaliyojengewa yalivunjiliwa mbali kutekeleza amri ya Mtume (Swala na Salamu ziwe juu yake). Saudia hukuti kanisa, hekalu au sinagogi limejengwa na watu wanakusanyika kuabudu. Makafiri wanaoishi kule wanaabudu kwenye makazi yao huko.

Ila Iran kuna mpaka masinagogi mayahudi wanaabudu kwa raha huku Ahlus Sunnah wakikandamizwa.

Saudia wana mapungufu yao, ila kwa kuipigania kwao Tawheed na Sunnah na kupiga vita Shirki na Bida'a wamejitahidi mno na Allah awaongezee baraka, neema, nguvu na kheri kwa hilo na awaepushe na shari za maadui zao na mahasidi wao. Ameen. Allah aliangushe dola la kishia la Iran na airudishe katika mikono ya Waislam na awaunganishe Waislam katika Tawheed na Sunnah, Ameen.
Mimi nachukia shirki na naungana na Saudia katika mengi na wala sipendi upotoshaji wa mashia katika uislamu,
Isipokuwa kwa sasa hata ukiwa umesoma Saudia na kupandikizwa mitaala iliyotayarishwa na mayahudi huwezi kuwa na hoja madhubuti za kuitetea Saudi Arabia kwa inavyokaa kimya kwa Palestina.Na pia huwezi kusema wasaudia wamefanya kitu Palestina kuwatetea wapalestina kuwashinda Iran.Matendo ndiyo yanayosema kuliko maneno.
Kama damu ya waislamu ina thamani sana.Hiyo damu yenye thamani ni ipi.Ni iliyomwagwa zamani au ya sasa au kuzuia ijayo.Watu waliouliwa Gaza pekee mpaka sasa wanakaribia 27000.Saudia imetoa msaada gani kuwatetea au kuzuia isiendelee kumwagika.Kama kuna vitu wanafanya nyuma ya pazia kwa kuogopa Marekani au Israel basi hiyo ni shirki kuliko kuabudu kaburi au sawa nayo.
Unaposema waislamu hawawezi kupigana na makafiri mbona unapingana na aya za Qur'an zinazosema wachache mara nyingi wamewashinda wengi wanapopigana wakiwa na imani ya dhati kwa Mwenyezi Mungu.

Kinachofanyika Gaza sasa hivi ni tafsiri ya imani hiyo.Mbona Israel inaonekana kushindwa.Wale waliokufa kupigana na Israel mpaka sasa jee huoni kuwa wamekufa mashahidi.Na hawakufanya hivyo isipokuwa ni kutokana na kuwa na uzoefu kuwa mayahudi hawafahamu lugha yoyote na wala si watekelezaji wa mikataba.
Ukiacha ulevi ambao unasema imekanushwa na yawezekana habari ni hiyo hjiyo.Tuje kwa upande wa kujenga makasino na maeneo ya michezo ya kishetani.Mbona wewe na wenzako mliopitia Saudia hamsimami kwenye mimbari za misikiti yenu kuwalaani kwa matendo yao hayo.
Kwa ujumla habari za kufungua duka la ulevi haiwezi kukanushwa kwa kipande hicho ulichoweka hapo juu wakati ni moja ya vivutio vya kuendelea na miradi ya makasino,kwa sababu wazungu karibu wote ni walevi na mashoga na ndio wanaovutiwa waingie Saudia.
Nyinyi mliopitia Saudia mumelala sana.Mtabaki nyuma kila siku kiteknolojia na mtaendelea kuamini kuwa muislamu hawezi kupigana na kafiri mpaka makafiri watawakalia juu ya vichwa vyenu.Ndio maana Iran iliwashinda kwenye vita kule Yemen na mkalazimika kuufyata.Pesa zenu zinaishia kujenga mambo ya kipuuzi yasiyokuwa na maslahi yoyote kwa uislamu na hayana faida katika dunia wala akhera.
 
Kitu ambacho watu hawfahamu wale wanafunzi wa mtume walikuwa walevi
 
Sioni mantiki yao sababu wakitoka msikitini wanrudi kufanya yale yale.
Ni sawa na hao wanaoenda kanisani tu
Tofauti ya waislamu na wafuasi wa Paulo ni kubwa sana.
Waislamu hawaendi kuomba msamaha wa madhambi kwa Mtu yyt bali wanamuomba MUNGU MMOJA peke yake.

Wakristo bila kupitia kwa Padri au Mchungaji hakuna toba. Tena waseme madhambi yao yote mbele yake.
Jamaa wanawasikiliza weee siri zako zote unamwagika.
Kisha unaambiwa "Toa sadaka usamehewe ..."
Ukitoa buku anakulaani hapo hapo. Lkn ukitoa laki 1 anakusamehe na wiki ijayo in advance.
Sijui na wale Wachungaji wenye kubaka na kupiga mimba masista nani anawasamehe dhambi zao.
 
Tofauti ya waislamu na wafuasi wa Paulo ni kubwa sana.
Waislamu hawaendi kuomba msamaha wa madhambi kwa Mtu yyt bali wanamuomba MUNGU MMOJA peke yake.

Wakristo bila kupitia kwa Padri au Mchungaji hakuna toba. Tena waseme madhambi yao yote mbele yake.
Jamaa wanawasikiliza weee siri zako zote unamwagika.
Kisha unaambiwa "Toa sadaka usamehewe ..."
Ukitoa buku anakulaani hapo hapo. Lkn ukitoa laki 1 anakusamehe na wiki ijayo in advance.
Sijui na wale Wachungaji wenye kubaka na kupiga mimba masista nani anawasamehe dhambi zao.
ni vile tu umeandika kwa mahaba ya dini.
Ukweli mapadri na masheikh wapo wenye vitendo vichafu kotekote.

Shida ni hujanielewa nina wsshkaji wakristo na waislamu wanlewa wikiendi halafu wanaenda kulala na wanawake chumba kimoja kila mtu na wake halafu akitoka hapo ijumaa msikitini, jlpili kanisani wakitoka huko wanarudia yale yale.

Ndio nakuuliza sheria za uislamu zinasema kwamba ukitubu unarudi kufanya halafu unarudi tena kutubu kwa makusudi kabsa ukijua unalifanya ni dhambi kwa mwenye mungu?
 
Uislamu hauna kutubu dhambi ukishanawa basi imeisha hio
Kama hujui uliza.
UISLAMU sio Dini ya kukaliwa vikao Dodoma au Vatican.
Ni Dini yenye sheria zake ambazo HAZIJABADILIKA toka Umeanza na mwisho wa Dunia.
Kwa upande wa Wakristo Vikao vya kuregebisha Sheria mpk leo vinaendelea Ndio maana JUZI TU PAPA KARUHUSU MASHOGA WABARIKIWE MMOJA MMOJA.
Yaani anasema "USIBARIKI MASHOGA WAWILI KWA MPIGO" ila mmoja mmoja ni sawa.

Mwakani Utaskia HATA KM MASHOGA Watakuwa Lorry Zima basi WABARIKIWE WOTE.
NA haitoishia hapo.
Baadae Utaskia "ANAE WALAANI MASHOGA HATOINGIA MBINGUNI "
KIsha Itafikia " MASHOGA WATAINGIA MBINGUNI KWANZA kabla ya Wengine"

Usipojichunga utaskia
"YEYOTE ASIE SHOGA ALAANIWE".

Mara Ghafla utaanza kuona vijana wa kiume wanavaa Skirt na Kupaka Lipstick 💄.

hizi imani za kukalia vikao ni Hatari sana
 
Back
Top Bottom