Iran warusha satelite 3 kwa mpigo na kwa mafanikio.Saudi Arabia wafungua bar ya mwanzo ya ulevi na viwanja vya kujirusha.

Iran warusha satelite 3 kwa mpigo na kwa mafanikio.Saudi Arabia wafungua bar ya mwanzo ya ulevi na viwanja vya kujirusha.

Huo ninuwongo, Padri au Mchungaji jana uwezo wa kumsamehe mtu dhambi. Yeye mwenyewe anasubiria hukimu mbele ya Mwenyezimubu. Tusijidanganye.
Kwahio wale wanakwenda KUUNGAMA MADHAMBI huwa wanafuata maandazi au?
 
Kwani wamekulazimisha uwe kwenye uongo wao
We umia kasirika ila wakristo wanaabudu Mungu
Andiko linasema.

Mithali 10:8 “Aliye na akili moyoni mwake atapokea agizo; Bali mpumbavu mwenye maneno mengi ataanguka

Na pia linandelea kusema.

Mithali 12:15 “Njia ya mpumbavu imenyoka machoni pake mwenyewe; Bali yeye aliye na hekima husikiliza shauri”.

Km hutaki kusikiliza Andiko limeshatoa jibu.

Jioni njema
 
Andiko linasema.

Mithali 10:8 “Aliye na akili moyoni mwake atapokea agizo; Bali mpumbavu mwenye maneno mengi ataanguka

Na pia linandelea kusema.

Mithali 12:15 “Njia ya mpumbavu imenyoka machoni pake mwenyewe; Bali yeye aliye na hekima husikiliza shauri”.

Km hutaki kusikiliza Andiko limeshatoa jibu.

Jioni njema
Huo ndo mstari unaosema wakristo wanatakiwa kutubu kwa mtu
 
Hakuna dhehebu lolote la ukristo mtu anatoa sadaka Ili asamehewe
Njoo hapa magomeni Weekend uone SAKRAMEMTI ZILIVYOJAA wana Kondoo wanao UNGAMA MADHAMBI.
Kisha tazama kikapu.
Kabla ya kuingia kuongea na PADRE lzm uache HELA kwenye Kapu.
 
Sasa unawapangia wakristo jinsi ya kuabudu waislamu mnashida sana
wakiabudi mtu wewe unapungukiwa nini kwenye maisha yako
Mind your business this is free world
Sasa museme kama munaabudu mtu msiseme kama muna abudu Mungu
Hakuna alowapangia ila mnaambiwa ukweli mkibisha shauri yenu
 
Pole sana ila Hunijui
Kwani unahati miliki ya hiyo dini
Sikujui ila hoja yako mfu tu inaonesha kama hujawahi kua muislamu
Huna hata dalili moja ya kua ulishawahi kua muislamu ewe mshirikina
 
Iran haiwatetei chochote Waislam bali inachochea vurugu zaidi katika ukanda ule kama maandalizi ya kuja kwa "mahdi" wao. So hawajali kumwagika damu za Ahlus Sunnah. Wao wataleta vurugu ukanda usikalike, lakini wakati huo huo wakisambaza itikadi zao za kishetani kwa upande mwengine. Na watu kama wewe mnatumika katika hili kwa kujua au bila kujua.

Pili, Saudi Arabia kiuhalisia imefanya mengi kwa ajili ya ndugu zao Wapalestina. Kwa kujua kuwa ndugu zetu hawawezi kupigana na maadui wa Allah mazayuni, wamekuwa wakitumia diplomasia na kutafuta njia za kufanya amani na makafiri ili angalau ndugu zetu wapate nafuu. Achilia mbali misaada ya kibinadamu wanayowasaidia ndugu zao. Ila nyinyi mnataka wafanye vurugu na kufanya damu zao zimwagike zaidi ndio ionekane wamewasaidia? Unajua Waislam wangapi huko Palestina wameuawa tokea Hamas wafanye shambulizi lao dhidi ya Dola la kizayuni bila kujali? Unajua damu ya Muislam ina thamani kuliko Al-Ka'aba?

Wanaopambana damu za Waislam zisimwagike bila sababu za msingi ndio wana huruma zaidi na Waislam. Sio mashia wa Iran.

Naam Saudia ndio w wasimamizi wa Miji miwili mitukufu. Allah aidumishe miji ile katika mikono ya watu wa Tawheed na kamwe mikono ya washirikina isiifikie Miji ile Mitukufu.

Bali hili limefanywa na mashia kushirikiana na kafiri Putin kuua ndugu zetu huko Syria.

Hii propaganda mbona imejibiwa tayari.

View attachment 2886951View attachment 2886952

Halafu shirki ni dhambi ovu zaidi kuliko zote na ndio kubwa zaidi. Bali ndio ambayo haisamehewi akifa nayo mtu bila ya kutubia dhambi hiyo. Angalia Iran mashia walivyojaza mikaburi ambayo watu wanajazana kwenda kuiabudia. Shirki inatangazwa Iran kwa kiwango cha kutisha, kuwaomba na kuwaabudia wasiokuwa Allah. Uko wapi wewe na hili? Ushawahi kusema lolote kupinga hili? Saudia hukuti mambo hayo yakifanyika waziwazi. Bali dola ile iliposimama makaburi yaliyojengewa yalivunjiliwa mbali kutekeleza amri ya Mtume (Swala na Salamu ziwe juu yake). Saudia hukuti kanisa, hekalu au sinagogi limejengwa na watu wanakusanyika kuabudu. Makafiri wanaoishi kule wanaabudu kwenye makazi yao huko.

Ila Iran kuna mpaka masinagogi mayahudi wanaabudu kwa raha huku Ahlus Sunnah wakikandamizwa.

Saudia wana mapungufu yao, ila kwa kuipigania kwao Tawheed na Sunnah na kupiga vita Shirki na Bida'a wamejitahidi mno na Allah awaongezee baraka , neema, nguvu na kheri kwa hilo na awaepushe na shari za maadui zao na mahasidi wao. Ameen. Allah aliangushe dola la kishia la Iran na airudishe katika mikono ya Waislam na awaunganishe Waislam katika Tawheed na Sunnah, Ameen.
Acheni kudanganywa mungu hawezi umba Dunia yote hii harafu akachagua baadhi miji kuwa mitukufu
 
Allah ailinde Dola ya Saudia na aiangushe Dola ya kishia ya Iran na airudishe Iran katika mikono ya Waislam. Iran ya kishia imeua Waislam wengi zaidi kuliko hata mazayuni. Bali ni waovu zaidi. Allah awadhalilishe watu hao washirikina wanaowatukana na kuwakufurisha maswahaba wa Mtume na wake za Mtume. Allah awaangushe hao na vibaraka wao akina Houthi, Hezbo na wengineo wanaozichezea damu za Waislam na kuchochea makafiri kuzimwaga zaidi kwa maslahi yao binafsi na agenda zao ovu pamoja na baba zao mazayuni.

Watu wanaomkufurisha 'Umar (Radhi za Allah ziwe juu yake) na kumtukana matusi mazito mazito hawawezi kuikomboa al-Quds ambayo ilikombolewa na Amir wa Waumini 'Umar Ibn al-Khattab (Radhi za Allah ziwe juu yake) kwa idhini ya Allah.

Saudia na mapungufu yake bado ni bora mno kuliko hao punda wa mayahudi.
Inabidi FaizaFoxy Bwana Utam Ritz na Malaria 2 waseme amin
 
Back
Top Bottom