Iran warusha satelite 3 kwa mpigo na kwa mafanikio.Saudi Arabia wafungua bar ya mwanzo ya ulevi na viwanja vya kujirusha.

Iran warusha satelite 3 kwa mpigo na kwa mafanikio.Saudi Arabia wafungua bar ya mwanzo ya ulevi na viwanja vya kujirusha.

ni vile tu umeandika kwa mahaba ya dini.
Ukweli mapadri na masheikh wapo wenye vitendo vichafu kotekote.

Shida ni hujanielewa nina wsshkaji wakristo na waislamu wanlewa wikiendi halafu wanaenda kulala na wanawake chumba kimoja kila mtu na wake halafu akitoka hapo ijumaa msikitini, jlpili kanisani wakitoka huko wanarudia yale yale.

Ndio nakuuliza sheria za uislamu zinasema kwamba ukitubu unarudi kufanya halafu unarudi tena kutubu kwa makusudi kabsa ukijua unalifanya ni dhambi kwa mwenye mungu?
Hakuna binaadamu amekamilika.
Na Kurudia madhambi ni asili ya binaadamu yyt.

Uislamu hautegemei wewe uwe msafi asilimia 100% bali unahimiza USIKATE TAMAA NA MSAMAHA WA MUNGU.
Kila ukijisahau ukafanya Dhambi ni wajibu wako KUOMBA TOBA na Kujitahidi Kuacha hio Dhambi.
Lkn ikitokea UKAFANYA tena Dhambi Muhimu ni kurudi kwa Mungu na Kufanya Toba.

Mzunguko huo utaendelea mpk siku utakapo kutana Na Mungu wako siku ya malipo.
Ndipo utahukumiwa .

Usije kusema sababu ulirudia dhambi kwahio HUNA MSAHAMA TENA.
Hapana.
Mungu anaweza kukusamehe hata km umerudia dhambi mara kwa mara.
 
Hakuna binaadamu amekamilika.
Na Kurudia madhambi ni asili ya binaadamu yyt.

Uislamu hautegemei wewe uwe msafi asilimia 100% bali unahimiza USIKATE TAMAA NA MSAMAHA WA MUNGU.
Kila ukijisahau ukafanya Dhambi ni wajibu wako KUOMBA TOBA na Kujitahidi Kuacha hio Dhambi.
Lkn ikitokea UKAFANYA tena Dhambi Muhimu ni kurudi kwa Mungu na Kufanya Toba.

Mzunguko huo utaendelea mpk siku utakapo kutana Na Mungu wako siku ya malipo.
Ndipo utahukumiwa .

Usije kusema sababu ulirudia dhambi kwahio HUNA MSAHAMA TENA.
Hapana.
Mungu anaweza kukusamehe hata km umerudia dhambi mara kwa mara.
hili ndo jambo wanalofanya sababu wanaamini msamaha upo ijumaa anaingia msikitini akitoka baadae club kutafuta malaya, akirudi msikitini akitoka tena malaya na pombe.
Dini hazina shida si ukristo wala uislamu shida ipo kwa watu hakuna dini bora zaidi
 
hili ndo jambo wanalofanya sababu wanaamini msamaha upo ijumaa anaingia msikitini akitoka baadae club kutafuta malaya, akirudi msikitini akitoka tena malaya na pombe.
Dini hazina shida si ukristo wala uislamu shida ipo kwa watu hakuna dini bora zaidi
Uislam HAUNA SIKU YA IJUMAA WALA JUMATATU.
Hao hawana elimu ya Dini yao.
Na huwezi kuendelea kufanya madhambi KUSUDI ukitegemea Kusamehewa kila siku.
Huo ni upumbavu wa hali ya juu.
MUNGU HACHEZEWI.
We unajua kabisa kesho unaenda Kuzini leo unaomba Toba kwa nani?
Hio ni KUJIDANGANYA NAFSI YAKO.
Dhambi ni zile za kupitiwa.
Lkn sio za kila siku.
Huko sio kupitiwa bali WEWE UTAKUWA UNA LAANA YA DHAMBI ZA KUSUDI.

Waambie wakasome Dini yao vizuri.

UKRISTO ndio unaruhusu hayo. Muhimu mwisho wa wiki tu ukamuachie Padri Fungu la 10.
Ndio maana WAKRISTO WANAAMINI DHAMBI ZAO ZOTE KABEBA YESU.
Wao ni wasafi kabisa.
Muhimu ni kutoa maokoto weekend.
 
Uislam HAUNA SIKU YA IJUMAA WALA JUMATATU.
Hao hawana elimu ya Dini yao.
Na huwezi kuendelea kufanya madhambi KUSUDI ukitegemea Kusamehewa kila siku.
Huo ni upumbavu wa hali ya juu.
MUNGU HACHEZEWI.
We unajua kabisa kesho unaenda Kuzini leo unaomba Toba kwa nani?
Hio ni KUJIDANGANYA NAFSI YAKO.
Dhambi ni zile za kupitiwa.
Lkn sio za kila siku.
Huko sio kupitiwa bali WEWE UTAKUWA UNA LAANA YA DHAMBI ZA KUSUDI.

Waambie wakasome Dini yao vizuri.

UKRISTO ndio unaruhusu hayo. Muhimu mwisho wa wiki tu ukamuachie Padri Fungu la 10.
Ndio maana WAKRISTO WANAAMINI DHAMBI ZAO ZOTE KABEBA YESU.
Wao ni wasafi kabisa.
Muhimu ni kutoa maokoto weekend.
ukristo unaruhusu watu wafanye dhambi kusudi Halafu wakatub?

Basi ungeweke Aya inayosema haya maneno.

Si kweli hawaijui dini, wamekulia madrasa na wengine ni wapemba ila tu wanaamua kufanya hivyo kama ilivyo kwa masheikh wanaokawiti wakijua ni dhmbi na kama mapadri wanavyawiti wakijua ni dhambi
 
Mwenye Picha ya hio Bar ya Saudi Arabia atuwekee na Sisi tuione
 
Kwa wakristo ukifanya dhambi yyt wiki nzima ikifika weekend unaenda kwa Padri au Mchungaji unatoa sadaka anakusamehe madhambi yote.
Hata ukibaka ukiiba ukazini ba mke wa mtu.
We andaa sadaka tu. Mambo yote anayamaliza Baba Mchungaji.

Tena km una laki 1 we tuma Mpesa tu . Anakusamehe kupitia WhatsApp fasta
Ukiwa muislam dhambi zinapimwa kwenye mzani, mzani wa mema ukizidi pepo ni yako ukizidi wa mabaya moto wa kwako kwa hiyo ukiwa Muislam unatakiwa ubalance mema yazidi kuliko mabaya


Hii ndo raha ya uislam

Sent from my SM-A145F using JamiiForums mobile app
 
ni vile tu umeandika kwa mahaba ya dini.
Ukweli mapadri na masheikh wapo wenye vitendo vichafu kotekote.

Shida ni hujanielewa nina wsshkaji wakristo na waislamu wanlewa wikiendi halafu wanaenda kulala na wanawake chumba kimoja kila mtu na wake halafu akitoka hapo ijumaa msikitini, jlpili kanisani wakitoka huko wanarudia yale yale.

Ndio nakuuliza sheria za uislamu zinasema kwamba ukitubu unarudi kufanya halafu unarudi tena kutubu kwa makusudi kabsa ukijua unalifanya ni dhambi kwa mwenye mungu?
Kuna aina mbili za toba kijana toba ya kwanza kabisa ni ile ya mja kwa mola wake yaani kuomba toba kwa kumkosea muumba wake moja kwa moja mfano kuacha sala nk
Sasa sharti la toba ya kuacha sala kwakua unamuomba Allah ina masharti matatu
1-ujutie kwamba ulifanya dhambi kibinaadam ujute kuifanya
2-ung'oke kabisa kuachana na hio dhambi ulio tubia yaani
3- hapa wanaokumbuka wataniekea maana nimeisahau

Ila sharti la toba kwa mtu kumkosea mtu mwenzake
Ni hayo hayo mawili na la tatu nililolisahau na la nne nikumfata mtu ulomkosea ukamuomba msamaha sababu Allah hakusamehi kama hujamuomba msamaha ulomkosea

Sharti la toba unatakiwa ukitubia usirejelee kosa ila kama binaadam hatujakamilika kuna muda unajikuta unakosea kwakudhamiria ama bahati mbaya sababu ya ubinaadam
Hivyo milango ya toba ipo wazi kuanzia jioni mpaka jioni
Isipokua ukitokwa na roho ikiishafika mabegani pale tena Allah haikubali toba yako mfano kama farao(firauni) alitaka kushahadia wakati roho ishafika hapo ila akakataliwa na akafa kafiri
Pia siku ambayo jua litachomozea magharibi na kuzamia mashariki ndio siku ambayo milango yatoba rasmi inafungwa hapo

Allah ndio anajua zaidi
 
Kuna aina mbili za toba kijana toba ya kwanza kabisa ni ile ya mja kwa mola wake yaani kuomba toba kwa kumkosea muumba wake moja kwa moja mfano kuacha sala nk
Sasa sharti la toba ya kuacha sala kwakua unamuomba Allah ina masharti matatu
1-ujutie kwamba ulifanya dhambi kibinaadam ujute kuifanya
2-ung'oke kabisa kuachana na hio dhambi ulio tubia yaani
3- hapa wanaokumbuka wataniekea maana nimeisahau

Ila sharti la toba kwa mtu kumkosea mtu mwenzake
Ni hayo hayo mawili na la tatu nililolisahau na la nne nikumfata mtu ulomkosea ukamuomba msamaha sababu Allah hakusamehi kama hujamuomba msamaha ulomkosea

Sharti la toba unatakiwa ukitubia usirejelee kosa ila kama binaadam hatujakamilika kuna muda unajikuta unakosea kwakudhamiria ama bahati mbaya sababu ya ubinaadam
Hivyo milango ya toba ipo wazi kuanzia jioni mpaka jioni
Isipokua ukitokwa na roho ikiishafika mabegani pale tena Allah haikubali toba yako mfano kama farao(firauni) alitaka kushahadia wakati roho ishafika hapo ila akakataliwa na akafa kafiri
Pia siku ambayo jua litachomozea magharibi na kuzamia mashariki ndio siku ambayo milango yatoba rasmi inafungwa hapo

Allah ndio anajua zaidi
ndio maana nikasema ni watu wanaofahamu kila kitu sababu wamekulia madrasa ila tu wanajitoa ufahamu
Dini huwa Hazina shida na hakuna dini inayoruhusu dhambi ila watu tu ndio wanafanya hivyo .
 
ndio maana nikasema ni watu wanaofahamu kila kitu sababu wamekulia madrasa ila tu wanajitoa ufahamu
Dini huwa Hazina shida na hakuna dini inayoruhusu dhambi ila watu tu ndio wanafanya hivyo .
Sawa nakuelewa ingawaje kukaa karibu na mahakama sio kujua sheria pia
 
Kama hujui uliza.
UISLAMU sio Dini ya kukaliwa vikao Dodoma au Vatican.
Ni Dini yenye sheria zake ambazo HAZIJABADILIKA toka Umeanza na mwisho wa Dunia.
Kwa upande wa Wakristo Vikao vya kuregebisha Sheria mpk leo vinaendelea Ndio maana JUZI TU PAPA KARUHUSU MASHOGA WABARIKIWE MMOJA MMOJA.
Yaani anasema "USIBARIKI MASHOGA WAWILI KWA MPIGO" ila mmoja mmoja ni sawa.

Mwakani Utaskia HATA KM MASHOGA Watakuwa Lorry Zima basi WABARIKIWE WOTE.
NA haitoishia hapo.
Baadae Utaskia "ANAE WALAANI MASHOGA HATOINGIA MBINGUNI "
KIsha Itafikia " MASHOGA WATAINGIA MBINGUNI KWANZA kabla ya Wengine"

Usipojichunga utaskia
"YEYOTE ASIE SHOGA ALAANIWE".

Mara Ghafla utaanza kuona vijana wa kiume wanavaa Skirt na Kupaka Lipstick 💄.

hizi imani za kukalia vikao ni Hatari sana
Hujajibu swali uislamu hauna kutubu dhambi ukishanawa miguu na mikono ndo imeisha hio
 
Pamoja na kwamba mimi sio mnywaji wa pombe lakini siamini kwamba unywaji tu eti ni dhambi inayoweza kumfanya mtu asitinge peponi, hakuna panaposemwa kwamba unywaji tu ni dhambi.

Na pia ukiwa hapa duniani huwezi kukwepa kufanya aina yoyote ya dhambi na unafanya ukifahamu fika kabisa kwamba hii ni dhambi.

Ndio maana inasemwa wanaohukumu nao watahukumiwa.

There is absolutely no utopia in this world.
Quran inasema
 
Hujajibu swali uislamu hauna kutubu dhambi ukishanawa miguu na mikono ndo imeisha hio
Unauliza swali au unatoa jibu?
Au hujui tofauti ya kuuliza na kujibu.
We ulidhani waislamu wanasafisha madhambi kwa maji ya ubatizo kama wakolosai?
Uliza swali usaidiwe kijana.
Acha mihemko
 
Tofauti ya waislamu na wafuasi wa Paulo ni kubwa sana.
Waislamu hawaendi kuomba msamaha wa madhambi kwa Mtu yyt bali wanamuomba MUNGU MMOJA peke yake.

Wakristo bila kupitia kwa Padri au Mchungaji hakuna toba. Tena waseme madhambi yao yote mbele yake.
Jamaa wanawasikiliza weee siri zako zote unamwagika.
Kisha unaambiwa "Toa sadaka usamehewe ..."
Ukitoa buku anakulaani hapo hapo. Lkn ukitoa laki 1 anakusamehe na wiki ijayo in advance.
Sijui na wale Wachungaji wenye kubaka na kupiga mimba masista nani anawasamehe dhambi zao.
Hakuna dhehebu lolote la ukristo mtu anatoa sadaka Ili asamehewe
 
Unauliza swali au unatoa jibu?
Au hujui tofauti ya kuuliza na kujibu.
We ulidhani waislamu wanasafisha madhambi kwa maji ya ubatizo kama wakolosai?
Uliza swali usaidiwe kijana.
Acha mihemko
Tumeshakua waslaimu lia lia tunajua tunachoongea uislamu hauna kutubu ukishatawadha imeisha hio
 
Tofauti ya waislamu na wafuasi wa Paulo ni kubwa sana.
Waislamu hawaendi kuomba msamaha wa madhambi kwa Mtu yyt bali wanamuomba MUNGU MMOJA peke yake.

Wakristo bila kupitia kwa Padri au Mchungaji hakuna toba. Tena waseme madhambi yao yote mbele yake.
Jamaa wanawasikiliza weee siri zako zote unamwagika.
Kisha unaambiwa "Toa sadaka usamehewe ..."
Ukitoa buku anakulaani hapo hapo. Lkn ukitoa laki 1 anakusamehe na wiki ijayo in advance.
Sijui na wale Wachungaji wenye kubaka na kupiga mimba masista nani anawasamehe dhambi zao.
Acha upotoshaji kutubu ni siri kati yako na Mungu
 
Acha upotoshaji kutubu ni siri kati yako na Mungu
Nimepotosha kusema Wakristo wanaungama madhambi kwenye vile viosk ndani ya makanisa?

Nimesoma shule ya kanisa miaka kadhaa.
Najua kila kitu kinachofanyika mule.


Mkristo hata akibaka lzm akaseme dhambi yake ili apate msamaha.
 
Tumeshakua waslaimu lia lia tunajua tunachoongea uislamu hauna kutubu ukishatawadha imeisha hio
Teh teh teh
Dahh... mara mgalatia umegeuka kuwa msemaji wa waislamu. 🤣🤣

JF sitoki tena manake ni Ze komedi full fulu
 
Back
Top Bottom