Iran warusha satelite 3 kwa mpigo na kwa mafanikio.Saudi Arabia wafungua bar ya mwanzo ya ulevi na viwanja vya kujirusha.

Iran warusha satelite 3 kwa mpigo na kwa mafanikio.Saudi Arabia wafungua bar ya mwanzo ya ulevi na viwanja vya kujirusha.

Nimepotosha kusema Wakristo wanaungama madhambi kwenye vile viosk ndani ya makanisa?

Nimesoma shule ya kanisa miaka kadhaa.
Najua kila kitu kinachofanyika mule.


Mkristo hata akibaka lzm akaseme dhambi yake ili apate msamaha.
We ni muongo nitajie mstari wa biblia unaosema mtu aungame kwa mtu

Nikusaidie hayo ni mapokeo ya roman catholic na sio kwenye madhehebu mengine na hayapo kwenye biblia
 
We mbona ulisoma shule ya makafiri wakristo
Nilikuwa nina maswali mengi sana.
Nikuwa najiuliza inakuwaje mtu anaabudu picha na Sanamu ya mzungu na anajua kabisa huyu ni mtu km mimi?
Inakuwaje mtu anaamini Dhambi zake ABEBE YESU ambae hana kosa?
Inqkuwaje Mtu na akili yake timamu Aamini kuwa MUNGU ALIUAWA NA VIUMBE ALIOWAUMBA ILI ASAMEHE DHAMBI ZA VIUMBE HAO HAO?
Na Inakuwaje mtu aamini kabisa bila wsws kuwa Mungu alizaliwa na mwanamke ambae alimuumba yeye.
Sasa huyo mwanamke (Maria) wakati Mungu yuko tumboni kwake alikuwa ANAABUDU MUNGU GANI?


NIkaona Bora Nikasome kabisa kwa WAKRISTO huenda Nikaelewa.

Baada ya miaka MINNE maswali yamekuwa mengi kuliko mwanzo.
Nimetambua kuwa Asilimia 70% ya wakristo wana maswali km haya yangu lkn WANAOGOPA KUULIZA.
Waliobaki WANAIGA TU IMANI YA WAZAZI. Lkn hawana IMANI NA UKRISTO HATA KIDOGO.

ndio maana Wengi wamekuwa WAISLAMU km Mimi.
 
We ni muongo nitajie mstari wa biblia unaosema mtu aungame kwa mtu

Nikusaidie hayo ni mapokeo ya roman catholic na sio kwenye madhehebu mengine na hayapo kwenye biblia
Kwahio ROMAN wametoa kichwani au?
UKRISTO UNAFUNDISHA HIVI

Je, umesahau namna ya Kuungama?
Ukifika katika kiti cha kitubio unasema
"Padre unibariki kwa kuwa nimetenda dhambi"
Padre atakubariki kisha utaendelea ukisema
"Namuungamia Mungu Mwenyezi, nawe Padre wangu, sijaungama tanngu (.....taja mara yako ya mwisho kuungama...)
Kisha eleza dhambi zako waziwazi, bila kuficha na eleza umezitenda mara ngapi, ikiwezekana na namna ulivyozitenda. Kuzitaja dhambi zako inakusaidia kujuta kwa mara ya pili juu ya makosa uliyomtendea Mungu.

Baada ya hapo, msikilize Padre, atakuambia usali sala ya kutubu, kisha atakuondolea dhambi zako, akimaliza atakupatia malipizi. Hakikisha unatimiza malipizi.

LEO UNATAKA KUPINGA?
we mgalatia wa Rwanda au?
 
Nilikuwa nina maswali mengi sana.
Nikuwa najiuliza inakuwaje mtu anaabudu picha na Sanamu ya mzungu na anajua kabisa huyu ni mtu km mimi?
Inakuwaje mtu anaamini Dhambi zake ABEBE YESU ambae hana kosa?
Inqkuwaje Mtu na akili yake timamu Aamini kuwa MUNGU ALIUAWA NA VIUMBE ALIOWAUMBA ILI ASAMEHE DHAMBI ZA VIUMBE HAO HAO?
Na Inakuwaje mtu aamini kabisa bila wsws kuwa Mungu alizaliwa na mwanamke ambae alimuumba yeye.
Sasa huyo mwanamke (Maria) wakati Mungu yuko tumboni kwake alikuwa ANAABUDU MUNGU GANI?


NIkaona Bora Nikasome kabisa kwa WAKRISTO huenda Nikaelewa.

Baada ya miaka MINNE maswali yamekuwa mengi kuliko mwanzo.
Nimetambua kuwa Asilimia 70% ya wakristo wana maswali km haya yangu lkn WANAOGOPA KUULIZA.
Waliobaki WANAIGA TU IMANI YA WAZAZI. Lkn hawana IMANI NA UKRISTO HATA KIDOGO.

ndio maana Wengi wamekuwa WAISLAMU km Mimi.
Tatizo lako una-compare uislamu na ukristo
Kila dini ina-mapekeo yake mimi ukiniambia Mungu wa kristo anamtoto nawakubalia kwa sababu ni mapokeo yao

Mungu wa waislamu, wakristo, hindu na budha wako tofauti kwa asilimia 100
 
Kwahio ROMAN wametoa kichwani au?
UKRISTO UNAFUNDISHA HIVI

Je, umesahau namna ya Kuungama?
Ukifika katika kiti cha kitubio unasema
"Padre unibariki kwa kuwa nimetenda dhambi"
Padre atakubariki kisha utaendelea ukisema
"Namuungamia Mungu Mwenyezi, nawe Padre wangu, sijaungama tanngu (.....taja mara yako ya mwisho kuungama...)
Kisha eleza dhambi zako waziwazi, bila kuficha na eleza umezitenda mara ngapi, ikiwezekana na namna ulivyozitenda. Kuzitaja dhambi zako inakusaidia kujuta kwa mara ya pili juu ya makosa uliyomtendea Mungu.

Baada ya hapo, msikilize Padre, atakuambia usali sala ya kutubu, kisha atakuondolea dhambi zako, akimaliza atakupatia malipizi. Hakikisha unatimiza malipizi.

LEO UNATAKA KUPINGA?
we mgalatia wa Rwanda au?
Onyesha mstari wa biblia unaosema mtu akatubu kwa mtu
Msingi wa wakristo ni biblia
 
Onyesha mstari wa biblia unaosema mtu akatubu kwa mtu
Msingi wa wakristo ni biblia
Tatizo lenu wakristo mkisha onyeshwa maovu yenu mnadai Maandiko

Na wewe onyesha andiko YESU KASEMA "MIMI NI MUNGU NIABUDUNI" au Andiko lolote Yesu ALIJIITA MUNGU.

ANDIKO HILO HAKUNA lkn Nyie wote mnamuita YESU MUNGU.
Umeona mlivyo wapinga Mungu ! Yaani nyie mkiendeleq na IBADA hizo za kumkufuru MUNGU HAKI YA MUNGU MOTONI HAMTOKE MILELE.
Endeleeni tu kuleta Ubishi.
Kifo hakiko mbali
 
Tatizo lenu wakristo mkisha onyeshwa maovu yenu mnadai Maandiko

Na wewe onyesha andiko YESU KASEMA "MIMI NI MUNGU NIABUDUNI" au Andiko lolote Yesu ALIJIITA MUNGU.

ANDIKO HILO HAKUNA lkn Nyie wote mnamuita YESU MUNGU.
Umeona mlivyo wapinga Mungu ! Yaani nyie mkiendeleq na IBADA hizo za kumkufuru MUNGU HAKI YA MUNGU MOTONI HAMTOKE MILELE.
Endeleeni tu kuleta Ubishi.
Kifo hakiko mbali
Wakristo wanaongozwa na biblia na sio kitu kingine kama hakipo kwenye biblia hayo ni maoni ya mtu ukristo haufuati mawazo ya mtu

Nimekuuliza swali nionyeshe mstari kwenye biblia kwani kuna ubaya gani
 
Tatizo lako una-compare uislamu na ukristo
Kila dini ina-mapekeo yake mimi ukiniambia Mungu wa kristo anamtoto nawakubalia kwa sababu ni mapokeo yao

Mungu wa waislamu, wakristo, hindu na budha wako tofauti kwa asilimia 100
Hilo umesema wewe.
Wakristo wanaabudu MTU sio MUNGU.

BUDHA wanaabudu SANAMU Sio MUNGU.
HINDU wanaabudu NYANI, Ng'ombe, miti, na miongoni mwao wanaabudu mpk sehemu za siri

Wenye KUABUDU MUNGU MMOJA ASIE NA MSHIRIKA NI WAISLAMU PEKE YAO.

Hilo Kubali kataa.

Wala usijidanganye WAKRISTO WANAABUDU MUNGU.
Hakuna MUNGU mzungu bro.
Hakuna MUNGU aliepigwa mpk akalia na kuomba msaada mpk akafa .
huyo SIO MUNGU HATA SIKU MOJA.

We endelea kubisha.
Very soon utakutana na MUNGU aliyekuumba Ndio utaona Faida ya Ubishi wako.

MUNGU NI MMOJA TU.
HANA ANAEFANANA NAE
WALA HANA MSHIRIKA.


UTATU MTAKATIFU NI KUFURU YA HALI YA JUU KABISA. na Ni UONGO ULIO WAZI.
Na hata maana yake wewe na yyt hawezi kuieleza ikaeleweka kwa binaadamu yyt.
 
Hilo umesema wewe.
Wakristo wanaabudu MTU sio MUNGU.

BUDHA wanaabudu SANAMU Sio MUNGU.
HINDU wanaabudu NYANI, Ng'ombe, miti, na miongoni mwao wanaabudu mpk sehemu za siri

Wenye KUABUDU MUNGU MMOJA ASIE NA MSHIRIKA NI WAISLAMU PEKE YAO.

Hilo Kubali kataa.

Wala usijidanganye WAKRISTO WANAABUDU MUNGU.
Hakuna MUNGU mzungu bro.
Hakuna MUNGU aliepigwa mpk akalia na kuomba msaada mpk akafa .
huyo SIO MUNGU HATA SIKU MOJA.

We endelea kubisha.
Very soon utakutana na MUNGU aliyekuumba Ndio utaona Faida ya Ubishi wako.

MUNGU NI MMOJA TU.
HANA ANAEFANANA NAE
WALA HANA MSHIRIKA.


UTATU MTAKATIFU NI KUFURU YA HALI YA JUU KABISA. na Ni UONGO ULIO WAZI.
Na hata maana yake wewe na yyt hawezi kuieleza ikaeleweka kwa binaadamu yyt.
Sasa unawapangia wakristo jinsi ya kuabudu waislamu mnashida sana
wakiabudi mtu wewe unapungukiwa nini kwenye maisha yako
Mind your business this is free world
 
Wakristo wanaongozwa na biblia na sio kitu kingine kama hakipo kwenye biblia hayo ni maoni ya mtu ukristo haufuati mawazo ya mtu

Nimekuuliza swali nionyeshe mstari kwenye biblia kwani kuna ubaya gani
Hakuna sehemu biblia inasema binaadamu anasamehe lkn MNAFANYA MAKANISA KUUNGAMA KILA LEO.

Hilo Kataa kubali lkn Ukikataa wakristo wenzako wanakuona wewe ni MUONGO usie na AIBU.

Hata Nyerere alisema wazi kuwa anaungama
 
Hakuna sehemu biblia inasema binaadamu anasamehe lkn MNAFANYA MAKANISA KUUNGAMA KILA LEO.

Hilo Kataa kubali lkn Ukikataa wakristo wenzako wanakuona wewe ni MUONGO usie na AIBU.

Hata Nyerere alisema wazi kuwa anaungama
Nitajie mstari wa biblia
Masuala ya nyerere yametoka wapi tena
 
Sasa unawapangia wakristo wakiabudi mtu wewe unapungukiwa nini
Mind your business
I do mind my business BUT TRUTH MUST BE TOLD.

Msidai mnaabudu MUNGU wakati MNAABUDU MTU.

HUO NI UONGO na sisi Tuliosoma BIBLE SCHOOL tunajua kila kitu.

Na siri ingine nakupa.
HAKUNA PADRI YYT ATAPEWA UPADRE BILA KUFUNDISHWA KUSEMA UONGO KUTETEA IMANI YAKE.
 
I do mind my business BUT TRUTH MUST BE TOLD.

Msidai mnaabudu MUNGU wakati MNAABUDU MTU.

HUO NI UONGO na sisi Tuliosoma BIBLE SCHOOL tunajua kila kitu.

Na siri ingine nakupa.
HAKUNA PADRI YYT ATAPEWA UPADRE BILA KUFUNDISHWA KUSEMA UONGO KUTETEA IMANI YAKE.
unaumia kwa mtu kuishi maisha aliyoyachagua

Unaumia kwa mtu kuchagua maisha aliyoyataka uislamu una shida sana kama unaamini uko sahii unaumia nini wengine wakiabudu watakavyo
 
Ukweli upi yaani unaumia kwa mtu kuishi maisha aliyoyachagua

Unaumia kwa mtu kuchagua maisha aliyoyataka uislamu una shida sana kama unaamini uko sahii unaumia nini wengine wakiabudu watakavyo
Sio kuumia.
Nakukatalia huo UONGO WAKO.
We unadai unaabudu MUNGU.
WAKRISTO mna tabia ya kujipa vyeo vya UONGO kila mara.
JUZI KATOKEA MSUKUMA MMOJA ANAJIITA YESU. Ati amekuja Kuwakomboa .
TB Joshua anadai ANAFUFUA WAFU.
GWAJIMA anaonekana LIVE kwenye TV eti kafufua mtu hali ya kuwa MAMA YAKE MZAZI KAFA NA KAMXIKA.
YAANI upumbavu wa hali ya Juu kabisa na bado WAKRISTO WANAJAA MAKANISANI MWAO.

Sasa nyie vueni hata Nguo brbrni lkn UKWELI TUTAWAAMBIA kuwa Hio sio IBADA bali ni UKAFIRI MKUU.
Mna hiari kuendelea nao au kuamka kabla ya kifo.

Hii ni NCHI HURU kila mtu Ana haki ya kuabudu chochote LkN MSITULETEE UONGO HADHARANI kuwa mnaabudu MUNGU..
Tutawaambia tu ili JAMII IFAHAMU kuwa HUO NI UONGO.

Hakuna cha GWAJIMA WALA BABAKE GWAJIMA. mwenye uwezo wa KUFUFUA HATA NZI.
wacha kufufua mtu
 
Kwa wakristo ukifanya dhambi yyt wiki nzima ikifika weekend unaenda kwa Padri au Mchungaji unatoa sadaka anakusamehe madhambi yote.
Hata ukibaka ukiiba ukazini ba mke wa mtu.
We andaa sadaka tu. Mambo yote anayamaliza Baba Mchungaji.

Tena km una laki 1 we tuma Mpesa tu . Anakusamehe kupitia WhatsApp fasta

Huo ninuwongo, Padri au Mchungaji jana uwezo wa kumsamehe mtu dhambi. Yeye mwenyewe anasubiria hukimu mbele ya Mwenyezimubu. Tusijidanganye.
 
Sio kuumia.
Nakukatalia huo UONGO WAKO.
We unadai unaabudu MUNGU.
WAKRISTO mna tabia ya kujipa vyeo vya UONGO kila mara.
JUZI KATOKEA MSUKUMA MMOJA ANAJIITA YESU. Ati amekuja Kuwakomboa .
TB Joshua anadai ANAFUFUA WAFU.
GWAJIMA anaonekana LIVE kwenye TV eti kafufua mtu hali ya kuwa MAMA YAKE MZAZI KAFA NA KAMXIKA.
YAANI upumbavu wa hali ya Juu kabisa na bado WAKRISTO WANAJAA MAKANISANI MWAO.

Sasa nyie vueni hata Nguo brbrni lkn UKWELI TUTAWAAMBIA kuwa Hio sio IBADA bali ni UKAFIRI MKUU.
Mna hiari kuendelea nao au kuamka kabla ya kifo.

Hii ni NCHI HURU kila mtu Ana haki ya kuabudu chochote LkN MSITULETEE UONGO HADHARANI kuwa mnaabudu MUNGU..
Tutawaambia tu ili JAMII IFAHAMU kuwa HUO NI UONGO.

Hakuna cha GWAJIMA WALA BABAKE GWAJIMA. mwenye uwezo wa KUFUFUA HATA NZI.
wacha kufufua mtu
Kwani wamekulazimisha uwe kwenye uongo wao
We umia kasirika ila wakristo wanaabudu Mungu
 
Back
Top Bottom