Subiri how Israel will retaliate alafu ndio uje uongee, na USA yuko hapo, Iran hadi atapike na kukosa pumzi afe utaona


View: https://youtu.be/fILEjXQHOps?si=Vh2-8qKkPm1Cmdma
Punguza mahaba na jitahidi kufikiria ni kwanin marekani ameweka kambi nyingi za kijeshi kuizunguka Iran lakini anaogopa kuivamia, vita sio nyepesi maana haichagui myahudi feki wa kizungu Wala marekani pote inaleta madhara makubwa sana.

Huyo marekani mwenyewe Kambi zake za kijeshi zilipigwa na Iran je, alifanya niny! Kwa Iran mbona hakupiga ndani ya Irani.
 
Waajemi ni shida sana tatizo mnasoma vitabu vyenu ila hamjui kuwa hao watu nao wana matatizo sana sio wa kuchukuliwa poa...
 
Acha propaganda huo uwanja umepigwa na Israel yenyewe imekili na wametangaza kuufunga.
Wenzenu wakipiga target zao wanalenga watu muhimu ktk nchi na wanaondoka na uhai wao!

Wao (wairan) wanalenga material things ( viwanja vya ndege ) ambavyo Mimi naona havina impact yoyote. Thamani ya majenerali walio uawa huwezi kulinganisha na kiwanja Cha ndege, Hapo tu ndo wenzenu wanapokupigeni bao
 
Unajifariji tu wewe Iran kamkamata kona mbaya muisraeli na bwanake mmarekani
 
Iran haiwezi kushambuliwa na nchi za West isipokuwa kama itafanya makosa ya kimahesabu katika kushambulia targets.
Mahesabu yalikuwa kushambulia wakati Israel/allies na mifumo yao ya ulinzi ikiwa on high alert kuliko siku zote. Ndio maana Iran ilikuwa ikitoa taarifa siku kadhaa kabla. Hayo ni mashambulizi ya kuonesha tu deterrence ama kwa lugha nyepesi, saving face.
 
Km zaidi ya 2000 kutoka Iran. Wameanza kuzuia kuanzia Iraq mpaka Jordan lakini mwanaume kashusha mzigo ndani ya israeli wayahudi wa mchongo mko wapi
Kiongozi Gani alie uliwa hapo uyahudini?? Nitonye pengine Mimi Sina taarifa. Wenzenu wakipiga wanapiga kweli sasa nyie mnapiga kiwanja Cha ndege kitupu?? Mimi mpaka hapo Bado sijaona kisasi Cha iran kwa muyahudi banah!!!.....
 
Kiongozi Gani alie uliwa hapo uyahudini?? Nitonye pengine Mimi Sina taarifa. Wenzenu wakipiga wanapiga kweli sasa nyie mnapiga kiwanja Cha ndege kitupu?? Mimi mpaka hapo Bado sijaona kisasi Cha iran kwa muyahudi banah!!!.....
IDF wamepoteza zaidi ya askari 2000 na wameondoa majeshi yao Gaza. Iran jana kapiga intelligence center na Airbase na haziwezi kufanya kazi tena. Iran anatumia akili amuue kiongozi wa kazi gani?
 
Uzuri miaka hii ni kwamba Israel ana watu wake wenye nguvu (America & NATO) na Iran ana rafiki zake ambao mahasimu wakubwa sana wa America na NATO

Yaani hapo hakuna kuogopana,na kama ingekua kuna kuogopana Iran asingethubutu kufanya shambulio lolote Kwa adui yake

Lakini kuna upande ambao kama vile hawana cha kupoteza,then kuna upande ambao wanaanza kuingiwa na hofu ya nguvu/uwezo wa upande wa adui/hashimu wao kwamba wanahisi pengine ana kitu fulani hivi ambacho kama wakiingia kwenye battle field basi upo uwezekano wa kutoshana nguvu au damage ikawa kubwa

Ila muda ni mwalimu mzuri,tusubiri tuone nini kinakwenda kutokea
 
IDF wamepoteza zaidi ya askari 2000 na wameondoa majeshi yao Gaza. Iran jana kapiga intelligence center na Airbase na haziwezi kufanya kazi tena. Iran anatumia akili amuue kiongozi wa kazi gani?
Mbona majibu uliyonipa sio ya swali langu? Mie nimekuuliza ktk mashambulizi ya Jana maafisa wangapi wa ngazi za juu wa Izrael waliouliwa? Hivi unajua maana ya kulipa kisasi Cha mtu alieuliwa??
 
Umeandika kikristo Sana 😀😀
 
Russia na Iran wote hawana lolote ni joka la kabisa tu hao.

Marekani chini ya utawala wa huyu mzee ndio wanaharibu kabisa mambo kuogopa vita mashariki ya kati, waache Iran apigwe vinginevyo watapata kichwa kwa kufikiria kwamba wana uwezo wa kupigana na Israel kitu ambacho sio kweli kabisa.
 
Huenda ni wewe mleta uzi ndiye ambaye uko gizani na ulidhani Iran inatania.

Kama Israel ingedhani Iran inatania basi isingetangaza hadharani kuweka mifumo yake ya ulinzi katika utayari dhidi ya hali ya tahadhari. Matokeo yake, Israel isingeweza kukabiliana na mashambulizi kama ambavyo imefanya mpaka sasa na kwa ufanisi mkubwa.
 
Hata Iran amepeleka rasharasha tu amesema Isreal ikijibu tu basi atapeleka full dose wainywe vizuri.

Isreal hana ubavu wa kupigana uso kwa uso na Iran huwa anategemea support ya mabwawa zake USA na UK.
Hivi ujui Isreal ana nuclear mbona mnaleta ushambiki kwenye vita wanasema na Iran pia ana nuclear Tuombe Mungu hawa jamaa wakae mezani yaishe Nuclear haina mbabe
 
Kifupi,nchi ya Israel ni military base ya marekani, uingereza na ufaransa kwa ajili ya kuidhibiti mashariki ya kati
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…