King faisal
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,077
- 2,705
Subiri how Israel will retaliate alafu ndio uje uongee, na USA yuko hapo, Iran hadi atapike na kukosa pumzi afe utaona
View: https://youtu.be/fILEjXQHOps?si=Vh2-8qKkPm1Cmdma
Punguza mahaba na jitahidi kufikiria ni kwanin marekani ameweka kambi nyingi za kijeshi kuizunguka Iran lakini anaogopa kuivamia, vita sio nyepesi maana haichagui myahudi feki wa kizungu Wala marekani pote inaleta madhara makubwa sana.
Huyo marekani mwenyewe Kambi zake za kijeshi zilipigwa na Iran je, alifanya niny! Kwa Iran mbona hakupiga ndani ya Irani.