Iran yaishiwa, yasitisha kufadhili magaidi wa kiislamu

Iran yaishiwa, yasitisha kufadhili magaidi wa kiislamu

Pole sana HIMARS hazina kazi kwasasa, Ukraine ameomba silaha ambazo hata EU wenyewe hawana kwa wingi wake, sasa sijui watazitoa wapi?UK watu wanataka mishahara iongezeke wanaambiwa wakulaumiwa ni Putin , serikali haina pesa zinakwenda Ukraine, huyu sasa ndio Urusi ametikisa Ulaya na US kwa ujumla wao

Hehehe muulize Mrusi ndiye hana hamu na HIMARS, zimemaliza wanajeshi wake wote hadi ameanza usaili upya, kulazimisha raia wajiunge jeshini wakafe kwa HIMARS, hata waarabu wakuu wa dini yenu wameziogopa sana kiasi cha kutaka kuzinunua.
 
Hehehe muulize Mrusi ndiye hana hamu na HIMARS, zimemaliza wanajeshi wake wote hadi ameanza usaili upya, kulazimisha raia wajiunge jeshini wakafe kwa HIMARS, hata waarabu wakuu wa dini yenu wameziogopa sana kiasi cha kutaka kuzinunua.
Kule Ukraine kuna mpaka wa Taiwan wanapigana kwa ajili ya Ukraine, sasa ajabu iko wapi kwa Urusi, huko US njia ya Biden kushawishi watu waruhusu pesa na silaha, imebidi Zelensky aende leo , hii ni kazi ya Urusi
 
Kule Ukraine kuna mpaka wa Taiwan wanapigana kwa ajili ya Ukraine, sasa ajabu iko wapi kwa Urusi, huko US njia ya Biden kushawishi watu waruhusu pesa na silaha, imebidi Zelensky aende leo , hii ni kazi ya Urusi

Putin kwa mara ya kwanza juzi amelialia hali ngumu kwenye uwanja wa mapambano, wanajeshi wamefyekwa wote, uchumi umeporomoka.
 
Putin kwa mara ya kwanza juzi amelialia hali ngumu kwenye uwanja wa mapambano, wanajeshi wamefyekwa wote, uchumi umeporomoka.
Labda Putin wa buza,, anae lia lia saa hivi yuko US kwa baba zake
 
Hali imekua tete kwa makundi ya kigaidi ya waislamu, Iran iliyokua ikiwafadhili imeishia na haitumi hela tena....
Na maandamano Iran bado yako pale pale ili kupinga dhuluma zinazofanywa na mapolisi ya kidini.

Iran has stopped channeling funds to a number of Palestinian factions, the Palestinian newspaper Al-Quds revealed on Sunday.

The paper quoted unnamed informed sources in Lebanon as saying that the factions are currently suffering from a financial crisis because of the Iranian move, which was taken three months ago.

The sources did not name the factions that have been affected by the move.

However, it’s believed that Hamas, Palestinian Islamic Jihad (PIJ) and Popular Front for the Liberation of Palestine (PFLP) are among the factions that depend on funding from Iran.

The sources claimed that the factions used the Iranian money to pay salaries to their leaders and members and cover the costs of their “various activities.”

Mkuu ukisema magaidi inatosha ifike mahala tutoe dhana kuwa magaidi ni waislam bana
 
Kwanza imemuuma sana huyo Putin, uwezo wa Zelensky kutamba mataifa makubwa.
Zelensky anatamba au jamaa wanamfanya uwanja wa vita? hivi unafikiri Urusi ingekuwa Kenya wale US wangeivamia mda mrefu na kuweka kibaraka wao, ila kwasababu Urusi ni nchi kubwa na makini, US na wenzake wasio pungua 30 kila siku vikao na kusafirisha mabomu
 
Zelensky anatamba au jamaa wanamfanya uwanja wa vita? hivi unafikiri Urusi ingekuwa Kenya wale US wangeivamia mda mrefu na kuweka kibaraka wao, ila kwasababu Urusi ni nchi kubwa na makini, US na wenzake wasio pungua 30 kila siku vikao na kusafirisha mabomu

Alipewa masaa 24 aihame Ukraine, leo ndio bado amiri jeshi mkuu na anatamba dunia kwenye mataifa makubwa, imemuuma sana Putin ambaye nchi yake inaendelea kuporomoka.
 
Back
Top Bottom