Iran yakiri kuitungua "kimakosa" ndege ya Ukraine

Iran yakiri kuitungua "kimakosa" ndege ya Ukraine

Hivi mbona mnakuwa wapumbavu mmeshaambiwa ni makosa ya kibinadamu, vipi na marekani ilipo idungua ndege ya abilia na kuuwa raia miambili na uchafu ilikuwa ni mihemuko?
Walitakiwa wasitishe ndege za Abiria zisitembee kwenye anga lao kama walikuwa wanajua watafyatua makombora 12 kwenda Iraq na kwamba ni uwanja wa mapambano.

usa alipotungua ndege ya iran alikubali wa Iran walikatalia data hawampi Boeing mwenyewe wakaenda kujichimbia wanazichungulia wenyewe, pamoja na lugha za kejeli. Leo wao wana kubali yale yale.

Na wewe acha muhemko ukweli ndio huo.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndege za abiria kuna wakati mwingine hulazimika kutunguliwa na hulazimika kutunguliwa neno makosa sio makosa wakati mwingine hutumika kutuma tarifa Na picha!!
Wewe ndiye umeelewa hili picha. Na ndio maana wenyewe walijua mapema kama "ndege yao" imetunguliwa; likely walikuwa wakiifuatilia. Na kitendo cha kuwahi kukiri pia ni strategy nzuri kwa Iran kwasababu inapunguza "scope" ya uchunguzi ambao ungefanyika ambapo US na washirika wake wangetumia "uchunguzi" huo kuchunguza na vingine visivyohusika.
 
Iran ina wenge,,walijua hiyo ndege ni US anakuja kuwazika wazima wazima[emoji2]

Alafu huyu sio wa kumuamini,alidanganya kaua askari 80 wa US ,alidanganya pia hakutungua hiyo ndege huku akishikilia black box.. alivyo ona watu washaanza mstukia na kuunda jopo la wachunguzi akaona aibu hiyo apo , ameona akili leo[emoji2][emoji2]

Pro iran wakaja na wakasema US mbaya anamzushia Iran..[emoji2]

Mimi nahisi Iran kwenye Radar zao waliona B1B bomber kumbe ni Boeng maskini [emoji2]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanalipaje ikiwa wamekanusha

Sent using Jamii Forums mobile app
Hatimae ngedere Iran katema bungo
Screenshot_20200111-085618.jpeg
Screenshot_20200111-085707.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
MKWEPA KODI Iran haijakiri kutokana na mashinikizo lakini imekiri baada taratibu za kiniplomasia baina ya mataifa mawili kati yake na Ukraine! Iran ilishatoa tamko kuwa wenyewe Ukraine watakuwepo wakati wa uchunguzi wa tukio ila haitakuwa tayari hyo black box kuipeleka USA au kuwakabidhi Boeing.
 
Hapa somo ni Iran kujipiga wenyewe na wa Iran kuweka box la data kwapani na kukanusha vikali na kutukana USA.

Na leo wamekubali wao ndio wamesababisha ajali na kuua.

Kumbuka ni walitakiwa wasitishe ndege za abiria za kawaida zisiruke lakini wao wakarusha makombora nchi nyingine huku wakijua ndege za abiria zinaruka kama kawaida wala hawakuzisitisha.

Sasa anzia hapo ujinga wa USA mada tofauti kabisa mkuu, punguza. hasira

Sent using Jamii Forums mobile app

Wairan wa kwa Mtogole leo wanahaha mno kutetea hili,aibu kubwa sana hii, unaua raia wako 82,na wale 63 wa Canada wenye asili ya Iran,maana yake kaua karibu raia wake wote
 
Kuna Uzi mmoja kwa Macho yangu yanashuhudia Member mmoja akiapa kwa Mizimu ya kwao huko Mpwapwike kuwa Iran haiwezi kuitungua Ndege iliyokua na Abiria wengi toka Irani...

Leo yako wapi?
 
Kiukweli, ushahidi ulikuwa mwingi mno usio na kificho na wala hakukuwa na haja ya kuutafuta sana kwa kufanya uchunguzi wa muda mrefu.
Akikujibu niambie unajua humu watu wanajuaga iran ndio mwenye makosa watu watu wake hawana thamani.ila wazungu ndio wako sawa kuua kutesa kuharibu nk.shuba miti us na washirika wake wanalipwa walchopanda
Mnavyopenda kutetea ujinga, mtakuja kutuambia alibonyeza button ni kibaraka wa USA, hata kama ilishatokea huko nyuma haina maana kwamba Iran hajafanya kosa,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa mbona hiyo Ndege ilikuwa imetokea Tehran

Sent using Jamii Forums mobile app
Yap ilitokea Tehran kwenda Ukrain na ndege ilipewa direction ya kupita ila inasemekana rubani alibadiri uelekeo na alikuwa anarudi alikotoka mfano ndege inatoka Dsm inaeleke mbeya ghafla inageuzia morogoro kurudi Dsm ,na haikutunguliwa na makombora yaliyoelekwezwa Iraq ni makombora ya ulinzi wa anga.
 
Kuna theories nyingi; mojawapo ni kuwa wale raia wa Iran walikuwa commandos.. Ndege ikawa hacked, Iran radar zikaidetect kama ndege ya kivita ya adui.. wakaitia kitu.
Teh teh eti walikuwa Makomando,so walikuwa wanaenda Iraq kuvamia kambi za U.S?wala sikushangai kuna mwenzako Elungata baada ya missile za Iran kurushwa kwenda Iraq alikuja hapa na kudai eti Iran katungua ndege Moja ya Kivita ya Marekani F-35 iliyokuwa inaenda Iran kushambulia kumbe Iran kajitia kidole yeye mwenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MKWEPA KODI Iran haijakiri kutokana na mashinikizo lakini imekiri baada taratibu za kiniplomasia baina ya mataifa mawili kati yake na Ukraine! Iran ilishatoa tamko kuwa wenyewe Ukraine watakuwepo wakati wa uchunguzi wa tukio ila haitakuwa tayari hyo black box kuipeleka USA au kuwakabidhi Boeing.
Sasa uchunguzi wa Kazi gani wakati anajua ndege katungua yeye mwenyewe?

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Iran admits it 'unintentionally' shot down Ukrainian passenger plane
 
Ile ndege ilibadili route bila taarifa,wakati huo Iran anapiga base ya USA,kwa hiyo kwanza Iran alikuwa na tension ya anga lake kuingiliwa na USA.Ifahamike kwenye rada unaona object tu kujua civil plane mpaka mawasiliano inawezekana Iran hawakutaka kupoteza muda kuuliza kwanza...
Watu kwa kutetea, ni uzembe kuruhusu ndege kuruka wakati upi katika tahadhari ya kushambuliwa, USA walizui a ndege zao zote zisipite katika anga hiyo baada ya kupata taharifa za kushambuliwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna Uzi mmoja kwa Macho yangu yanashuhudia Member mmoja akiapa kwa Mizimu ya kwao huko Mpwapwike kuwa Iran haiwezi kuitungua Ndege iliyokua na Abiria wengi toka Irani...

Leo yako wapi?
Sio huyo tuu,kuna mmoja Elungata alidai kuwa Iran imetungua F-35 ya Marekani ilipokuwa inaenda kujibu mapigo ya missile na operation nzima ikahairishwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom