Iran yapandisha Bendera Nyekundu katika msikiti wa Jamkarān kuashiria vita inakuja

Eti kauawa shahidi
Ujinga hautawaisha
Sent using Jamii Forums mobile app
 

Ni Hiroshima na Nagasaki kama sikosei mkuu, I stand to be corrected


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Wadau:
Hivi ktk historia ya Marekani (USA), ni vita gani aliyo pigana nje ya nchi yake na akashinda?
Vita sio Boxing kusema unatafuta mshindi ktk ulingo. Kitendo cha Jazav zharif kutumia Twitter account ni dalili ya kwanza ya kushindwa vita. Wewe unachukulia vita sawa na masumbwi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kafa mmoja wanataka waongezeke watu watakaokufa kwanini kutangaza vita na watakaoathirika ni wasio na hatia IRAN ijitafakari kama imepandisha bendera nyekundu ni kuzidisha hofu kwa wananchi wake na si ajabu saizi wakimbizi wameshaanza huko
 
Na ulaaniwe Yani unaamin marekan inauwezo wa kuiteketeza dunia! innalillah wa innaillah rajn
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watoto wadogo hawaelewi..wanachekelea tu kama wajinga.
Watu tulikuwa tunasoma Libya..tukashindwa kumaliza Masomo kisa ile issue ya Gadafi..

Zaidi ya mtu kwenda kujitoa Mhanga Marekani..impact yake ni ndogo sana ukilinganisha na uharibifu na vifo vya watu wengi kwenye Nchi inayopigana na Marekani.

Upo sahihi kabisa Mkuu..kuna watu humu wanashabikia ila wamefumba macho saana.

Nitakapoona Kombora limetoka Tehran mpaka Washington DC ndio nitasema yametima la sivyo.

Wanachoaanda wana siasa wa Iran ni njaa na majanga makuu kwa Wananchi wao..Hakuna cha Russia wala China hao wote wanataka Resources kwa ajili ya wananchi wao.
 
Iran anaweza akapotezea Trump akatoka madarakani, inaweza ikawa mwaka huu au miaka 4 ijayo, akaingia Rais mwingine ambaye atakuwa sio hawkish kama Trump, maisha yakaendelea
Kuliko ku risk kuharibiwa na maelfu ya wananchi wake kuuawa kisa jenerali mmoja
 
Marekani wamevunja sheria za kimataifa na vile vile sheria ya marekani iliyoandikwa kama Executive Order 11905 iliyotolewa February 18, 1976, na Rais Gerald R. Ford ikipiga marufuku staasisi za serikali ya Marekani kufanya mauajiya viongozi wa kiserikali wa nchi nyingine kwa sababu za kisiasa. Amri hiyo ilifanyiwa marekebisho na Rais Jimmy Carter mwaka 1978 kama Executive Order 12036.

Kwa vile Kassim Seleman alikuwa ni kiongozi wa kiserikali wa Iran siyo stateless terrrorist kama Osama bin laden alivyokuwa, mauaji hayo yamevunja executive order hizo. Ni afadhali wangemwua kimya kimya halafu wasitanganze (covert operation). Hili la sasa linatoa mwanya kwa nchi nyingine pia kufanya assasination za viongozi wa nchi wasizopenda kiholelela.
 
Kwan IRAN Anashida Na Mtu Sema Kuna Wapuuzi Wanamuingilia Ingilia Tuu Hili Halitapita Bila Yamajibu Ila Majibu Yake Tu Yanaweza Yakachelewa.............

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…