Iran yarusha Makombora takriban 200 kuelekea Israel, Rais Biden aagiza Jeshi la Marekani kuyazuia

nachek aljazeera naona kuna mabomu yamepiga target tena ni zaidi ya matano
Sio kuhit target (maana hakuna anayeweza kuthibitisha moja kwa moja kwa sasa) sema kutua ardhini na kulipuka.
Mimi nimeona zaidi ya mabomu kumi kutua ardhini na kulipuka.
 
Mbwembwr tu hizo za Iran inarusha kombora haliui hata mende
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…