Gift mzalendo
JF-Expert Member
- Dec 13, 2019
- 1,856
- 2,417
Kuna jukwaa la habari mchanganyiko kule kaupdate taarifa za baba na mama wanvyolala njaaa kijijini Kama wewe unaona ni sifaa kutangaza njaa za nyumbani kwenuWabongo useless hopeless idiots... Mambo ya watu mnajitia ujuaji mna update yanayojiri... Wakat kijijin kwa baba na mama yako wanalala njaa na huna msaada na hujui kinachoendelea...
Litapigwa jitu hawa wakina Ritz hapo madaba wote watakimbiana humu sana sana wataanza kulialiaDah yaani toka jana mpka leo kuna nyuzi mia moja zikisifu iran hii inaonesha ni jinsi gani hawa ndugu zetu walikuwa wanaumia na wanakosa pa kukimbilia sasa wanaona kama iran ndio mkombozi wao. Ngoja tuone kama hizi nyuzi wataziendeleza
Hadi wanajuta kwanini walimzaa. Bora wangekubaliana bao la.mimba limwagiwe nje.Wabongo useless hopeless idiots... Mambo ya watu mnajitia ujuaji mna update yanayojiri... Wakat kijijin kwa baba na mama yako wanalala njaa na huna msaada na hujui kinachoendelea...
Wapi kimedai makombora yanarudisha taarifa!?Makombora hayarudishi taarifa kule yalikotoka kuwa tumeua watu kadhaa.
😂😂😂Utaona wapi ikiwa Israel amezuia vyombo vya habari chombo pekee kilichojitolea kwa hali yoyote Al-Jazeera wamekuwa wakikisakama sikuzote wamewaua wandishi wao wengi na juzi tu wamewavamia kweny jengo lao lilmbali kidogo na kwao ndugu hujui tu hili!!
Na wewe kaa kutulia ya kwetu tumesgayazoeaWabongo useless hopeless idiots... Mambo ya watu mnajitia ujuaji mna update yanayojiri... Wakat kijijin kwa baba na mama yako wanalala njaa na huna msaada na hujui kinachoendelea...
palestina ni nchi? Ina jeshi? Ina jet fighters ngapi?Meli vita ngapi? Vifaru vingapi? Icbm ngapi?Nasemaje waache hao Iran wajichanganye Hamas walipoanza watu walipika mpaka pilau humu wengine wakabadiri na avatar kabisa wakishangilia kilichofuata huruma pray for Palestine kisha akaja yule mkuda wa kuitwa Hezbolah kelele kibao kavimba balaa kachezea mkono sasa hivi anachechemea pray for Lebanon kelele ni nyingi mno ceasefire sasa kaingia kaka yao mkubwa na yeye subiri tuone kwani shida ipo wapi muda ni mwalimu mzuri wa soon utasikia pray for Iran pray for Iran ceasefire na akishindwa yule mbuzi akibinya kitufe analipuka yeye kabla hio nyuklia haijafika Israel
Utaniuliza Iran akishaanza kutoka damu puanipalestina ni nchi? Ina jeshi? Ina jet fighters ngapi?Meli vita ngapi? Vifaru vingapi? Icbm ngapi?
Wabongo useless hopeless idiots... Mambo ya watu mnajitia ujuaji mna update yanayojiri... Wakat kijijin kwa baba na mama yako wanalala njaa na huna msaada na hujui kinachoendelea...
Akili huna we unadhani muirani yale mabomu angeamua kuyaelekezea kwenye nyumba za watu angeua watu wangapi maana mabomu yote yalikuwa yanahit tge target.Wamekufa waisraeli wangapi baada ya mashambulizi ya jana?
Unavyokaza shingo kama ndo bwana mipango wa israel vileSiku gani mzeewetu siku gani km anazo si apige basi subiri majibu si umetuma maombi subiri jibu lako nataka kishushwe kitu chenye kilo za kutosha juu ya kichwa cha Ayatolah asibakie hata mfupa mmoja hayo ni maneno ya Bejamin Letanyau nina mafua
Iran anamuogopa USA/NATO.Israel inamuogopa iran na iran inamuogopa israel kifupi wanaogopana imepita miaka karibia 10 ni kupigana mikwara tu kama vipi wamalizane tu.
Unachekesha sana hivi unajua kuwa Hamas ni kikundi tu Cha wanamgambo na Wala sio jeshi na Wala hakiungwi mkono na utawala wa PalestineNasemaje waache hao Iran wajichanganye Hamas walipoanza watu walipika mpaka pilau humu wengine wakabadiri na avatar kabisa wakishangilia kilichofuata huruma pray for Palestine kisha akaja yule mkuda wa kuitwa Hezbolah kelele kibao kavimba balaa kachezea mkono sasa hivi anachechemea pray for Lebanon kelele ni nyingi mno ceasefire sasa kaingia kaka yao mkubwa na yeye subiri tuone kwani shida ipo wapi muda ni mwalimu mzuri wa soon utasikia pray for Iran pray for Iran ceasefire na akishindwa yule mbuzi akibinya kitufe analipuka yeye kabla hio nyuklia haijafika Israel
Liwalo na liwe mzee kuliko kuvumilia unyongeBraza Nyau kasema namalizana na Hibollah kwanza baadye anaifuata Iran, UK na USA wako nyuma ya Israel hiyo Iran itakuwa kama Iraq soon.
Soma location yangu hapo juu utanielewa vizuriUnavyokaza shingo kama ndo bwana mipango wa israel vile
Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app