HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Hataki kuonekana mchokozi.Tabia ya Israel kusubiri Iran ashambulie haraka madhara ni kidogo ipo siku Iran atapata silaha kali zaidi atampiga Israel na zilete madhara
Hata pale Gaza alisubiri apate sababu ya haya yaliyotokea leo