Iran yasema Israel ikijibu, itaitwanga mara 1,000 zaidi

Iran yasema Israel ikijibu, itaitwanga mara 1,000 zaidi

Wamekufa waisraeli wangapi baada ya mashambulizi ya jana?
Hili ni swali la msingi kujua Casualties ila tutambue kuwa Israel alivifukuza vyombo vya habari vya kimataifa especially Al Jazeera wasifanye kazi ndani ya mipaka ya Israel yaani kureport tukio lolote. Sasa napata wasiwasi kama taarifa wanazotoa IDF yenyewe kama zitakuwa zinaukweli.
 
Mara 1000 zaidi ni kidogo, akitaka afungulie maghala yake yote ya silaha alizonazo, aishambulie Israel na akiona haitoshi awakusanye wana Iran wote pamoja na viongozi wao wakajibamize wazima wazima na miili yao kwa Israel, lakini Israel itabaki kuwa Israel.
 
K
BREAKING:
Iran yasema Israel ikithubutu kurusha hata jiwe itapata kipigo zankile cha Jana..Netanyahoo alizoea kupigana na Wanamgambo amekutana na Jeshi kamili.

🇮🇷 Statement by the IRGC:

"if Israel responds, we will hit them a thousand times harder"

'In the name of God almighty; as a response to the killing of Ismael Haniyeh, Sayyed Hassan Nasrallah, and Abbas Nilforoushan, we targeted the heart of the Zionist occupying entity – if Israel responds, we will hit them a thousand times harder'
Kwani Iran,ametoa kipigo gan hapo zaid yakurusha vikombora visivyo na madhara, Israeli akijibu utasikia vichwa vya makanda kadhaa wa Iran vimeliwa chini ya mahandaki
 
BREAKING:
Iran yasema Israel ikithubutu kurusha hata jiwe itapata kipigo zankile cha Jana..Netanyahoo alizoea kupigana na Wanamgambo amekutana na Jeshi kamili.

🇮🇷 Statement by the IRGC:

"if Israel responds, we will hit them a thousand times harder"

'In the name of God almighty; as a response to the killing of Ismael Haniyeh, Sayyed Hassan Nasrallah, and Abbas Nilforoushan, we targeted the heart of the Zionist occupying entity – if Israel responds, we will hit them a thousand times harder'
Watampiga pabaya sana. sasaivi nimeona wamepoint maeneo muhimu kama kile kisiwa chao kinachozalisha mafuta 99% ya Iran, Kituo cha kuzalisha umeme, Nuclear cites wanakojaribu kutengeneza bomb, na radar zao, na kuua viongozi wa Iran, ayatola sasaivi hatoki nje ya handaki kabisa.

Nijuacho, kwenye suala la mafuta, Marekani atafanya juu chini kuishawishi Israel wasipige kisiwa cha mafuta kwa sababu wanaona itavuruga uchumi wa dunia sana, ila cite ya nuke enrichment watapiga, na vituo vya umeme unaotegemewa. kuna uwezekano vita ikawa kubwa sana.

Iran anaogopa sana hii vita kwasababu anajua Marekani tayari alishajiandaa na yupo karibu na alimwahidi kwamba sifanye alichofanya jana. Iran ambao ni shia, wanajua hawana mtetezi, wapo peke yao. Russia atawaambia yupo nao ila huwa anaongea maneno tu hatoagi msaada (angalia syria aliwaahidi ila sasaivi ni failed state), china huwa anaongea tu ila hawezi kumsaidia kivita iran, North Korea hana uwezo kumsaidia. nchi zingine zote za kiislam haziwezi kumsaidia Iran kwa sababu ni adui yao kidini na Iran huwa anawatishia. wasuni wengi wanapenda iran apigwe.

why nasema anaogopa? utasikia jana, baada ya kupiga, amesema "nimeshapiga na sina mpango kuendelea kupiga" manake anaonyesha ulimwengu kwamba ameshajirudishia ila hana mpango wa kuendelea na vita, anataka kusema kwa sababu amejirudishia Israel nayo itulie isilipize. Ukweli ni kwamba Marekani, Israel, UK, france na magharibi wana uwezo mkubwa sana kumpiga Iran wapendavyo, na sasaivi inaweza kutokea.
 
Isreal wanaficha sana vifo vyao kisa wataonyesha udhaifu wao na watadhalilika kwasbb ya kujisifu na propaganda kila wakati.
October 7, 2024 walificha vifo !! Kama Israel dhaifu tuone waarabu waingie Israel na kuikalia walau siku moja, kama Waisrael wanavyoingia Lebanon na kutoka
 
Utaona wapi ikiwa Israel amezuia vyombo vya habari chombo pekee kilichojitolea kwa hali yoyote Al-Jazeera wamekuwa wakikisakama sikuzote wamewaua wandishi wao wengi na juzi tu wamewavamia kweny jengo lao lilmbali kidogo na kwao ndugu hujui tu hili!!
Huko Iran na waarabu wengine wanaruhusu uhuru wa vyombo vya habari! Al.jazeera kazi yao kukosoa wayahudi na wakristo na waafroka waarabu kwao wasafi, walifaa wafukuzwe kabisaa.
 
Wamekufa waisraeli wangapi baada ya mashambulizi ya jana?
Na haitasemwa hii. Na hata Marekani huwa hapende dunia ijue pale askari wake wanapozamishwa .
Kwahiyo na wewe endelea kufurahi na kujipongeza kuwa hakuna aliyekufafa
 
Mara 1000 zaidi ni kidogo, akitaka afungulie maghala yake yote ya silaha alizonazo, aishambulie Israel na akiona haitoshi awakusanye wana Iran wote pamoja na viongozi wao wakajibamize wazima wazima na miili yao kwa Israel, lakini Israel itabaki kuwa Israel.
Kwa hiyo umeona umeandika kitu cha maana sana
 
Nasemaje waache hao Iran wajichanganye Hamas walipoanza watu walipika mpaka pilau humu wengine wakabadiri na avatar kabisa wakishangilia kilichofuata huruma pray for Palestine kisha akaja yule mkuda wa kuitwa Hezbolah kelele kibao kavimba balaa kachezea mkono sasa hivi anachechemea pray for Lebanon kelele ni nyingi mno ceasefire sasa kaingia kaka yao mkubwa na yeye subiri tuone kwani shida ipo wapi muda ni mwalimu mzuri wa soon utasikia pray for Iran pray for Iran ceasefire na akishindwa yule mbuzi akibinya kitufe analipuka yeye kabla hio nyuklia haijafika Israel
Sawa Black Zionist
 
Wazayuni na Waajemi weusi kutoka Kazuramimba, Kateshi, Ngudu, Kiraracha, Katerero na kwingineko ninawashauri kabla ya kuendelea na huu mtifuano mkali wa nani ni mkali kuliko mwenzake, mhakikishe asubuhi mmekunywa chai, familia pia imekunywa chai nzito, watoto hawajabaki home kwasababu ya kutolipa ada, mpaka sasa mmeshaingiza fedha za kutosha kutoka katika biashara zenu, kiufupi mko vizuri kiuchumi na familia zenu pamoja na ndugu na jamaa zenu. Msiwe mnashupaza shingo kwa mambo ambayo hayatawasaidia katika maisha yenu mkasahau kufanya yale yanayowahusu.
 
Wamekufa waisraeli wangapi baada ya mashambulizi ya jana?
Vita ni propaganda,huwezi pewa taarifa kamili kuhusu kuumizwa kwao,lazima wajifariji huku wanagigumia kwa maumivu makali tumboni,subiri revange yao ndio utajua ni kiasi gani hayo mabomu yamewaletea madhara
 
Back
Top Bottom