Iran Yatangaza Ongezeko la Vifo Kutokana na Mashambulizi ya Israel

Iran Yatangaza Ongezeko la Vifo Kutokana na Mashambulizi ya Israel

Wao wenyewe wayahudi wanajiita Taifa teule na sisi wakristo tunawaita hivyo

Sisi wakristo ni wafuasi wa Myahudi Yesu Kristo myahudi mwenzao

Dini ya kiyahudi tofauti na waislamu huwa hawatafuti waumini kuwasilimisha .Kuwa dini ya kiyahudi lazima uwe umezaliwa myahudi.Hivyo wakristo na wayahudi tunaheshimiana mno pamoja na tofauti zetu za kidini.Tofauti na wapumbavu wa kiislamu ambao ukiwa tofauti na dini yake kwake ni kesi

Wayahudi sio wajinga kama waislamu kupigania dini.Myahudi hata siku moja hapiganii dini wala wakristo hatupiganii dini huo ujinga wa kupigania dini wanao waislamu tu.Ndio maana hata Palestina hakutulii mijitu kutwa kupigania dini
Na ile mnayoiita Vita ya msalaba ilikua ni ya kupigania P Diddy na wake zake wawe wengi?
 
Watu wanataka ndugu zao Netanyahu anatakiwa kupanda ndege kwenda Doha , watu wamechoka 😂😂😂

View attachment 3136093
Kinachowaunganisha waislamu wote hapo Middle East ni chuki kwa Israel na Israel ndiye ana balance Amani ya Middle East.
Bila Israel kuna vita kubwa sana ya Sunni na Shia yaani wavaa kobazi watauana balaa.
Israel ana faida kwa Sunni kuliko Iran kwa Sunni
 
Hapa Iran imeficha taarifa nyingi!
Hata Israel ilipopigwa na Iran op iliyopita ilificha taarifa nyingi juu ya uharibifu uliofanyika!
Nadhani hapa Iran haitarudia tena!
Maana viwanda muhimu vya kutengeneza Silaha vimeharibiwa!
Na ukitaka kujua kachapika angalia walivyo kimya.Hawaongelei kulipiza kabisa.
Tofauti na hapo mwanzo.walisema watalipiza.lakini.saa hizi wako kimya sana.
 
Waliojeruhiwa wamekugfa. Tatizo nini?

Iran hawana cha kuficha, wanasema ukweli. Wafiche au wadanganye ili iweje?

Iran wametagaza kuwa hawatalipa kisasi. Wanasamehe.

Hilo umesikia au vyombo vyako vya kikondoo havijatangaza?
Kwa nini Iran hatalipa kisasi?Anapingana na maandiko ya kitabu kitakatifu cha dini ya haki?
Ukweli ni kwamba strategically Iran kapigwa PRECISELY hana tena ujanja wa kurusha makombola hadi ajifanyie matengenezo ya muda mrefu.
Uzuri Mzayuni akishapiga anakaa kimya.
Lipizeni kisasi kiwakute kitu!
 
Kinachowaunganisha waislamu wote hapo Middle East ni chuki kwa Israel na Israel ndiye ana balance Amani ya Middle East.
Bila Israel kuna vita kubwa sana ya Sunni na Shia yaani wavaa kobazi watauana balaa.
Israel ana faida kwa Sunni kuliko Iran kwa Sunni
Hii ni ramli chonganishi, amani ya wasuni na washia ni juu lao wenyewe hakuna balance yeyote kutoka kwa Muisrael
 
Labda ndiyo madhara ambayo Iran imeyaita ni madogo!!

Kuna watu humu wanahemka na kusema uwongo kuwa etimakombora yote yalidunguliwa, wakatiIran imekiri kuwa baadhi ya bases zake zimepigwa licha ya mifumo yake ya anga kufanya kazi vizuri.

Israel inaonekana ilichokuwa imekusudia ni kuitahadharisha Iran, na kuipunguzia uwezo Iran wa kusaidia makundi ya kigaidi. Baada ya kushambulia, Israel imetoa onyo kwa Iran kuwa isithubutu kujibu shambulio!! Ikijibu, sijui itaifanya nini!!
Na Marekani katoa onyo kwa Iran huyu akishupaza shingo watamfutilia mbali.
 
Kwahio Iran anatumia s300 na s400 pekee kwenye ulinzi? Irani nzima inalindwa na s300 na 400 idadi 4.?
Ndugu yangu ili ujue kuwa Iran imefanywa vibaya sikiliza hotuba ya kiongozi wao mkuu, ndie aliekuwa anatoa amri Israel ipigwe lakini leo kasema swala hilo analiachia jeshi liamue na akatumia usemi kuwa uvamizi wa Israel usifanywe mzaha na wala usikuzwe (downplayed or exagerated), walichotaka Israel ni kuondoa uwezo wa Iran kufanya chochote next au kuwa tishio kwao na limefanikiwa. S300 ni mfumo unaoweza kuziona F35 ukikosa huo F35 inakuja hadi jikoni bila kuiona.
 
Watu wanakaribia kumaliza ndevu mdogo mdogo tunakula kibichwa
1000257196.jpg
 
Ndugu yangu ili ujue kuwa Iran imefanywa vibaya sikiliza hotuba ya kiongozi wao mkuu, ndie aliekuwa anatoa amri Israel ipigwe lakini leo kasema swala hilo analiachia jeshi liamue na akatumia usemi kuwa uvamizi wa Israel usifanywe mzaha na wala usikuzwe (downplayed or exagerated), walichotaka Israel ni kuondoa uwezo wa Iran kufanya chochote next au kuwa tishio kwao na limefanikiwa. S300 ni mfumo unaoweza kuziona F35 ukikosa huo F35 inakuja hadi jikoni bila kuiona.
Kumbuka Israel anazo F35 na F22 za kutosha, ni s300 na s400 ambazo kidogo zinaweza kuipa tabu f22 na f35, sasa israel kaharibu mifumo hiyo zile sehemu nyeti, sikiliza vizuri hotuba ya Khamenei utajua nini kimewasibu Iran, mbaya ni kuwa Mosadi wako kila sehemu hata ndani ya serikali ya Irani yenyewe na jeshi la Israel halivamii sehemu bila taarifa ya Mosadi.
 
Kumbuka Israel anazo F35 na F22 za kutosha, ni s300 na s400 ambazo kidogo zinaweza kuipa tabu f22 na f35, sasa israel kaharibu mifumo hiyo zile sehemu nyeti, sikiliza vizuri hotuba ya Khamenei utajua nini kimewasibu Iran, mbaya ni kuwa Mosadi wako kila sehemu hata ndani ya serikali ya Irani yenyewe na jeshi la Israel halivamii sehemu bila taarifa ya Mosadi.
Na Iran aliweka wanaomlinda ili Israel asitoke kuja kwake nao ni Hamas, Houth na Hezebolah ambao tayari Israel kaanza nao hivyo Iran yuko pagumu kwa sasa.
 
Kwa nini Iran hatalipa kisasi?Anapingana na maandiko ya kitabu kitakatifu cha dini ya haki?
Ukweli ni kwamba strategically Iran kapigwa PRECISELY hana tena ujanja wa kurusha makombola hadi ajifanyie matengenezo ya muda mrefu.
Uzuri Mzayuni akishapiga anakaa kimya.
Lipizeni kisasi kiwakute kitu!
Vita ni akili, siyo kujimwambafai.
 
Ndugu yangu ili ujue kuwa Iran imefanywa vibaya sikiliza hotuba ya kiongozi wao mkuu, ndie aliekuwa anatoa amri Israel ipigwe lakini leo kasema swala hilo analiachia jeshi liamue na akatumia usemi kuwa uvamizi wa Israel usifanywe mzaha na wala usikuzwe (downplayed or exagerated), walichotaka Israel ni kuondoa uwezo wa Iran kufanya chochote next au kuwa tishio kwao na limefanikiwa. S300 ni mfumo unaoweza kuziona F35 ukikosa huo F35 inakuja hadi jikoni bila kuiona.
Ndivyo mnavyodanganyana!?
Iran ana Bavaar-373 zingine ziko store zinasubiriwa kufungwa tu.
Kusema hivyo haimaanishi Iran haina uwezo wa kulipiza.
Hata Israel alipolipa kisasi cha May kwa kushambulia Isfahan Iran ilipuuzia lile shambulio na kuliita dhaifu na kutokulitilia maanani kama hili.
Ila utofauti hili kuna waliokufa,tarajia kisasi lazima.
 
Na Iran aliweka wanaomlinda ili Israel asitoke kuja kwake nao ni Hamas, Houth na Hezebolah ambao tayari Israel kaanza nao hivyo Iran yuko pagumu kwa sasa.
Israel hadi sasa huko Lebanon Hizbollah inaua askari wake hadi reservists wanagoma kwenda kuungana na askari wengine huko Lebanon.
Houthi wapo pale mpakani na Gollan heights.
Israel ni kama farasi anayekufa akirusha teke la mwisho.
Mtu pekee anayempa nguvu ni USA na UK na France.
Apart from that Israel ingekua ina collapse.
 
Kutokana na mashambulizi ya Israel nchini Iran ambayo yalilenga maeneo ya kijeshi pekee, asubuhi ya leo Iran ilitangaza kuwa askari wake 2 waliuawa.

Iran ilisema kuwa mifumo yake ya ulinzi wa anga ilifanya kazi vizuri, lakini ikakiri kuwa kuna baadhi ya makombora yalifanikiwa kuzipiga bases kadhaa na kuleta madhara madogo, na kwamba assessment ya uharibifu ilikuwa inafanyika.

Usiku huu Iran imetangaza kuwepo ongezeko la askari waliouawa kutoka askari 2 mpaka askari 4.
Tofauti na asubuhi Iran iliposema kuwa shambulio hilo lilikuwa na madhara madogo, baada ya assessment, sasa shambulio hilo la Israel wanaliita "deadly attack"

Mpaka sasa:

Iran imethibisha:
1) askari wake 4 wameuawa
2) Radar zake zimefeketezwa
3) Kiwanda cha makombora kimetekezwa
4) Kiwanda cha drones kimeteketezwa

Vita siku zote haikosi madhara. Kwa familia za hawa askari 4, ni maafa makubwa ambayo kamwe hawatakuja kuyasahau. Tuwaombee hekima watawala wa Iran, Iran iyafute makundi yake ya kigaidi ili waarabu na waisrael siku moja waishi kwa amani. Maafa yote ya mashariki ya kati, chanzo kikuu ni Iran.

Habari kamili hii hapa:

Al Jazeera
LIVE UPDATESLIVE UPDATES,

Live: Iran says ‘no limits’ in defending itself after deadly Israel strikes​


"The US says this should be the end

Iran says four soldiers killed, radar systems hit in Israeli strikes​


14m ago
(17:20 GMT)

Iran raises death toll from Israel’s attack to 4​


Iran has raised the death toll from Israel’s attack to four and said all served in the country’s military air defence.
The state-run IRNA news agency announced the deaths Saturday night. It offered no details on where the four men were stationed in the country.
Sheikh Kitinku aliwadanganya hawa jamaa zangu wa Tandale kwa Tumbo wakasema shambulio halikuwa na madhara kabisa.

Ritz Webabu Adiosamigo Malaria 2

Na wengine wengi tulianzisha nyuzi nyingi sana.
 
Back
Top Bottom