Irani ikishambulia ndani ya nchi ya Israel itakua mwisho wa serikali ya kiislam ya Iran

Irani ikishambulia ndani ya nchi ya Israel itakua mwisho wa serikali ya kiislam ya Iran

Technophilic Pool

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2024
Posts
2,597
Reaction score
3,965
Kumekua kunazagaa taarifa kwamba Iran inajiandaa kuishambulia Israel kama kujibu mashambulizi…..
Basi huo ndio utakua mwisho wa Iran.

Ikumbukwe kwamba Israel imekua ikimtamani Iran siku nyingi sana na ilishajipanga hata kupigana vita na iran bila hata ya US.

Kwasababu israel haikuweza kuishawishi NATO au US kuingia vita moja kwa moja na iran basi imekua ikichochea kuongezeka kwa sanction kwene serikali hiyo ya iran kila kukicha.

Iran inafahamu hili ndio maana haijawai kuishambulia Israel moja kwa moja pamoja na kua Irael imekua ikihusika na milipuko mbalimbali ndani ya Iran,kuuliwa kwa wanasayansi na kupandikiza wapelelezi kuihujumu.

Kushawai kuwa na utabiri kutoka kwa Senetor wa marekan Lindsey Olin Graham kua Israel Itaishambulia Iran na marekani itafanya.

Bye bye Iran

B9DB9B7F-E4B0-4910-90A5-D5825ECD9B2E.jpeg
B9ED49B3-7FD3-4BA5-A583-FA64F2B28556.jpeg
 
Kumekua kunazagaa taarifa kwamba Iran inajiandaa kuishambulia Israel kama kujibu mashambulizi…..
Basi huo ndio utakua mwisho wa Iran.

Ikumbukwe kwamba Israel imekua ikimtamani Iran siku nyingi sana na ilishajipanga hata kupigana vita na iran bila hata ya US.

Kwasababu israel haikuweza kuishawishi NATO au US kuingia vita moja kwa moja na iran basi imekua ikichochea kuongezeka kwa sanction kwene serikali hiyo ya iran kila kukicha.

Iran inafahamu hili ndio maana haijawai kuishambulia Israel moja kwa moja pamoja na kua Irael imekua ikihusika na milipuko mbalimbali ndani ya Iran,kuuliwa kwa wanasayansi na kupandikiza wapelelezi kuihujumu.

Kushawai kuwa na utabiri kutoka kwa Senetor wa marekan Lindsey Olin Graham kua Israel Itaishambulia Iran na marekani itafanya.

Bye bye Iran

View attachment 2953272View attachment 2953273
Iran ashambulie ndani ya Israel mara ngapi??
Au hujui kama hizbollah ndio Iran na ishafanya mashambulizi sana Israel??
HAKUNA TAIFA LILILOTHUBUTU KUIINGIA IRAN KINGUVU IKASHINDA.
Rejelea vita ya Iraq-Iran war 1980-1988 ambapo Iran ilisaidiwa na USA mlezi wa Israel na Iran ikajitetea na kusimama kidedea.
IRAN SIO PALESTINA AU IRAQ KIJANA.
We endelea kuota.
 
Miaka yote hiyo kwanini hawakuwepo

waarabu wote wako upande wa USA!
iiran labda isaidiwe na Russia na china
Nani kakudanganya kuwa Waarabu wote wapo kwa USA?
Kama wapo kwa USA kwanini Oman,Bahrain na UAE zilikataa airbase zake na bandari zake kutumika dhidi ya Houthi Yemen???
Kama ulikua hujui mataifa ya kiarabu yameanza kujisogeza kwa Iran alianza Saudi Arabia akafuata Qatar.
Waarabu kwa kinachotokea Palestina washajiona hawako salama kushirikiana na USA.
Uliona maonesho ya silaha ya kimataifa Qatar??
 
Back
Top Bottom