Irani ikishambulia ndani ya nchi ya Israel itakua mwisho wa serikali ya kiislam ya Iran

Irani ikishambulia ndani ya nchi ya Israel itakua mwisho wa serikali ya kiislam ya Iran

Nani kakudanganya kuwa Waarabu wote wapo kwa USA?
Kama wapo kwa USA kwanini Oman,Bahrain na UAE zilikataa airbase zake na bandari zake kutumika dhidi ya Houthi Yemen???
Kama ulikua hujui mataifa ya kiarabu yameanza kujisogeza kwa Iran alianza Saudi Arabia akafuata Qatar.
Waarabu kwa kinachotokea Palestina washajiona hawako salama kushirikiana na USA.
Uliona maonesho ya silaha ya kimataifa Qatar??
kukataa kuweka base siyo ndo kuwa anti USA kuna mataifa kibao ya USA lakin hayajakubali kuwa na base!!!

Je tanzania ni Ant US??
 
Kumekua kunazagaa taarifa kwamba Iran inajiandaa kuishambulia Israel kama kujibu mashambulizi…..
Basi huo ndio utakua mwisho wa Iran.

Ikumbukwe kwamba Israel imekua ikimtamani Iran siku nyingi sana na ilishajipanga hata kupigana vita na iran bila hata ya US.

Kwasababu israel haikuweza kuishawishi NATO au US kuingia vita moja kwa moja na iran basi imekua ikichochea kuongezeka kwa sanction kwene serikali hiyo ya iran kila kukicha.

Iran inafahamu hili ndio maana haijawai kuishambulia Israel moja kwa moja pamoja na kua Irael imekua ikihusika na milipuko mbalimbali ndani ya Iran,kuuliwa kwa wanasayansi na kupandikiza wapelelezi kuihujumu.

Kushawai kuwa na utabiri kutoka kwa Senetor wa marekan Lindsey Olin Graham kua Israel Itaishambulia Iran na marekani itafanya.

Bye bye Iran

View attachment 2953272View attachment 2953273
Hizbulah inashambulia ndani ya Israel kila siku na mwisho wao hatujawahi kuuona sembuse Iran?
Hivi unadhani vita ni kitu rahisi kama kukata mauno?
Yaani Israel ambayo imeshindwa kuufikisha mwisho utawala wa hamas ndani ya Gaza ndo waje wamalize utawala wa Iran ,ebu acha uzuzu.
 
Hizbulah inashambulia ndani ya Israel kila siku na mwisho wao hatujawahi kuuona sembuse Iran?
Hivi unadhani vita ni kitu rahisi kama kukata mauno?
Yaani Israel ambayo imeshindwa kuufikisha mwisho utawala wa hamas ndani ya Gaza ndo waje wamalize utawala wa Iran ,ebu acha uzuzu.
We unaweza kupigana vita ya wanajeshi wanaojificha kwene watu na dunia inakulalamikia

Tofautisha vita na ugaidi…. kwene vita hawaangalii kama kuna raia au nn ni bomu tu

chukulia mabomu ya hiroshima hiyo ndio vita ilivo. kwa mantik hiyo ikifika hatua ya kusurvive au kuperish israel ingeangusha bomu moja la nyuklia gaza na mchezo ungeisha.
Usichambue vita kwa mihemuko kaka
 
Nani kakudanganya kuwa Waarabu wote wapo kwa USA?
Kama wapo kwa USA kwanini Oman,Bahrain na UAE zilikataa airbase zake na bandari zake kutumika dhidi ya Houthi Yemen???
Kama ulikua hujui mataifa ya kiarabu yameanza kujisogeza kwa Iran alianza Saudi Arabia akafuata Qatar.
Waarabu kwa kinachotokea Palestina washajiona hawako salama kushirikiana na USA.
Uliona maonesho ya silaha ya kimataifa Qatar??
Yaani watu wanatembeza mkong'oto waziwazi we unaleta habari za maonesho ya Nane Nane?
 
We unaweza kupigana vita ya wanajeshi wanaojificha kwene watu na dunia inakulalamikia

Tofautisha vita na ugaidi…. kwene vita hawaangalii kama kuna raia au nn ni bomu tu

chukulia mabomu ya hiroshima hiyo ndio vita ilivo. kwa mantik hiyo ikifika hatua ya kusurvive au kuperish israel ingeangusha bomu moja la nyuklia gaza na mchezo ungeisha.
Usichambue vita kwa mihemuko kaka
Ww ndo unachambua kimihemko
We unaweza kupigana vita ya wanajeshi wanaojificha kwene watu na dunia inakulalamikia

Tofautisha vita na ugaidi…. kwene vita hawaangalii kama kuna raia au nn ni bomu tu

chukulia mabomu ya hiroshima hiyo ndio vita ilivo. kwa mantik hiyo ikifika hatua ya kusurvive au kuperish israel ingeangusha bomu moja la nyuklia gaza na mchezo ungeisha.
Usichambue vita kwa mihemuko kaka
Ww ndo unachambua kimihemko na ndio maana unasema kiurahisi eti utakuwa mwisho wa serikali ya Iran kana kwamba vita ni sawa na kucheza mziki unaweza kucheza kwa sitaili unayo itaka, kwa jeshi lipi hilo ililo nalo Israel lenye uwezo wa kufanya uvamizi wa ardhini dhidi ya Iran na kwenda kuipindua serikali yake?
 
Ww ndo unachambua kimihemko

Ww ndo unachambua kimihemko na ndio maana unasema kiurahisi eti utakuwa mwisho wa serikali ya Iran kana kwamba vita ni sawa na kucheza mziki unaweza kucheza kwa sitaili unayo itaka, kwa jeshi lipi hilo ililo nalo Israel lenye uwezo wa kufanya uvamizi wa ardhini dhidi ya Iran na kwenda kuipindua serikali yake?
kwa uwezo wako mdogo

niambie irani inaweza pigana na nchi ngap kwa pamoja na kuzishinda??
 
Kumekua kunazagaa taarifa kwamba Iran inajiandaa kuishambulia Israel kama kujibu mashambulizi…..
Basi huo ndio utakua mwisho wa Iran.

Ikumbukwe kwamba Israel imekua ikimtamani Iran siku nyingi sana na ilishajipanga hata kupigana vita na iran bila hata ya US.

Kwasababu israel haikuweza kuishawishi NATO au US kuingia vita moja kwa moja na iran basi imekua ikichochea kuongezeka kwa sanction kwene serikali hiyo ya iran kila kukicha.

Iran inafahamu hili ndio maana haijawai kuishambulia Israel moja kwa moja pamoja na kua Irael imekua ikihusika na milipuko mbalimbali ndani ya Iran,kuuliwa kwa wanasayansi na kupandikiza wapelelezi kuihujumu.

Kushawai kuwa na utabiri kutoka kwa Senetor wa marekan Lindsey Olin Graham kua Israel Itaishambulia Iran na marekani itafanya.

Bye bye Iran

View attachment 2953272View attachment 2953273
Vita si singeli , we unaijua Iran ?
Au unadhani Iran ni wilaya ya Nanyumbu ?
 
Israel peke yake Hana uwezo wa kupigana na Iran,angekua nao angeshafanya siku nyingi,siku zote huwa wanajitahidi kuiingiza USA vitani na Iran
Kwamba yule kafiri putin kashirikiana na Iran kwa sababu yeye peke ake hawezi mpiga ukraine?
 
Yaani watu wanatembeza mkong'oto waziwazi we unaleta habari za maonesho ya Nane Nane?
Mkong'oto wa kuvizia kwa ku press button??
Mkong'oto waziwazi wanaweza hizbollah,wanakwambia tunapiga na wanapiga.
Kafuatilie kambi ya Israel ya Galilee ilivyochakazwa.
Na wameua makamanda wao tena,tegemea majibu makali.
 
Back
Top Bottom