Irani ikishambulia ndani ya nchi ya Israel itakua mwisho wa serikali ya kiislam ya Iran

Irani ikishambulia ndani ya nchi ya Israel itakua mwisho wa serikali ya kiislam ya Iran

Dah...Wachambuzi wa kibongo kaz kweli? Eti ndo itakua mwisho wa Iran? Ivi unajua umbali wa kutoka Israel mpaka Iran ni Km? Apo kinachofanyika ni just Prox wars tu kushambuliana kwa km wanavofanya...Iran imekua ikiishambulia Israel miaka yote kwa kutumia makundi yake na Israel pia kwa kutumia makundi inayoyafadhili japo mengi hayafanikiwi sana... Kila muIsrael anaekufa kuna namna moja au nyingine Iran anahusika maana yeye ndo anawapa Silaha na kuyaongoza... Israel anachofanya Syria ni kujaribu kupunguza uwezo huo ona Lebanon kundi la Hezbollah lina nguvu kuliko Serikali ya Leban na lina silaha za kutosha na limeshashindwa kuondolewa ata na Israel yenyewe wamebaki kutishiana tu kua wasipigane full war...Njoo Yemen kundi la Ki Houth mziki wake umeuona wamepigana na Saud wakisaidiwa na mataifa makubwa km Bahrain,UAE, Misri nk mpaka nchi hizo zote zika choka wakakubaliana leo mziki wake tunauona wanashambulia Israel na kuweka naval blockage leo bandari za Israel zimeyumba hadi Baba zake mkubwa na mdogo US/UK wameingilia kati kumshambulia Houth....Njoo Irak kuna Makundi ya Iran ambayo yameshakua na Nguvu kuliko ata Serikal juzi wameshambulia Bandar ya Eliat ya Israel na wamekua wakishambulia kambi za US na kuua pia... Kwahiyo km US/Irael wasipofanya juhudi kwa cost yoyote ile ili Syria isiwe na kundi km Hezbollah na Houth basi Israel itakua imezungukwa kila pande... Imagine wanamgambo wa Hamas leo ni mwezi wa 5 hawana support yoyote ile ya silaha ambazo zinaingizwa lakin bado wapo njoo Israel nchi kibao wanapeleka Silaha kwa wingi...Sasa Ndo vita kati ya Israel na Iran ndo ataweza? Anachokifanya Israel ni kutaka Iran na US zipigane kwa niaba ndo maana wakati mwingine israel ikifanya tukio Iran au makundi yake yana dili na US...... US mwenyewe kashakili km kumvamia IRan ilikua nimiaka ya 2012 Iran ikiwa haina airdefence system za maana just HAWK na S-200 za kizamani sana na haikua na precision missile km leo....Leo Iran ana airdefence system anazotengeneza mwenyewe ,drone na makombora yakufika Israel... Mpango wa Iran ni kuizunguka kwanza middle east kwa kuhakikisha kila angle kundi lake linakua na nguvu.... Nenda ktk military news ka google uone nguvu ya Hezbollah wanasema ina silaha kuliko ata baadhi ya nchi za Eu... Bila US hakuna Israel
Rubbish 💩💩
 
Kwanza unautaalam gani kuhusu masuala ya kijeshi maana ni siwe naongea na kilaza hapa?

Kwa hiyo Tz kama iliweza kuishinda Uganda mwaka 1979 basi inamaanisha na sasa hivi ana uwezo wa kupigana naye na kuishinda?

Kwanza unajua sababu zili pelekea Israel kushinda vita hiyo unayo isema?

Hivi unajuwa ni rasilimali gani zina hitajika ili majeshi ya ardhi ya Israel yaweze kuingia kwenye mipaka ya Iran?
Hivi unajua Israel ina hitajika ivuke nchi ngapi ili iweze kuifikia ardhi ya Iran?
Iran na Israel ni ngumu kupigana vita ya ardhini kwa sababu ya umbali kati yao acha kuchukulia mambo kiurahisi.

Unaongelea Iran kupigana vita hebu nenda kaisome uajemi ndo utajua wairani ni watu wa aina gani.
Kati ya wewe na huyo jamaa Nani kilaza? Yaani uifananishe dola iliyoexist miaka elfu kadhaa iliyopita na kataifa ka leo? Ina maana hata ugiriki ya Leo inafanana na ugiriki ya enzi za kina Alexander? Kila Taifa Lina strategy zake vitani! Kama atashirikiana na USA itabaki kwamba Iran vs Israel na USA atakuwa Kama mpambe tu
 
Akishambulia direct na majibu yake yatarudi hivo hivo
Israel hana uwezo wa kushambulia directly Iran.
Labda kama atapata usaidizi wa USA na NATO.
Maana anga la Iran haliingiliki.
Pia Iran iko mbali na Israel kwa kiasi.
Kwa suala la infantry ndio kabisa hawezi thubutu anajua guerilla warfare haziwezi.
 
Israel hii inayo pambana na kikundi cha mgambo siku zote ndo ikampige Iran?
 
Ukiachana na kuitwa Islamic Republic of Iran jina lingine inaitwa The terrorists Republic of Iran 🇮🇷
 
We unaweza kupigana vita ya wanajeshi wanaojificha kwene watu na dunia inakulalamikia

Tofautisha vita na ugaidi…. kwene vita hawaangalii kama kuna raia au nn ni bomu tu

chukulia mabomu ya hiroshima hiyo ndio vita ilivo. kwa mantik hiyo ikifika hatua ya kusurvive au kuperish israel ingeangusha bomu moja la nyuklia gaza na mchezo ungeisha.
Usichambue vita kwa mihemuko kaka
Madai yako ya kujificha nyuma ya watu Israel walishindwa kuthibitisha.
Je Hizbollah nao wanajificha nyuma ya raia?
Mbona kaskazini mwa Israel wamewasha sana moto?
 
Nayeye anatambua sana hili ndio maana kwa miaka mingi amekuwa akijijengea ngao kumzungukq kama hamas, hezzbollah, houth na wanamgambo syria
Sasa hivi hao magaidi wamesokomezwa kuzimu
 
Kati ya wewe na huyo jamaa Nani kilaza? Yaani uifananishe dola iliyoexist miaka elfu kadhaa iliyopita na kataifa ka leo? Ina maana hata ugiriki ya Leo inafanana na ugiriki ya enzi za kina Alexander? Kila Taifa Lina strategy zake vitani! Kama atashirikiana na USA itabaki kwamba Iran vs Israel na USA atakuwa Kama mpambe tu
We ndio unaongea rubbish.
Huna unalolijua unaonekana.
pia mifano inaendana itizame kwa utuo.
Israel hana ubavu wa kuivamia Iran directly kwanza anga la Iran lina mifumo ya ulinzi wa anga bora kuliko ya Israel mfumo wa khordak.
Iran mpaka Israel ni mbali na hawachangii mpaka hivyo kwa infantry hawezi.
Ukisema kwa kutumia makombora USA ilikiri middle east taifa lenye nguvu ya makombora ni Iran.
Na makombora ya Iran yanaweza kukwepa interceptors.
Mfano makombora anayotumia hizbollah hakuna hata moja iron dome iliweza ku intercept.
Na yale ni medium range na yana ujazo mdogo.
 
Iran iishambulie Israel mara ngapi wakati proxies wake mf. Hezibollar,Hamas na vikundi vingine vinarusha makombora ndani ya Israel?
Kuna kikundi cha Houth Yemen kimeshambulia meli,Bahari ya Sham,kimeshambulia bandari ya Elath ya Israel!
Israel imeshambulia mara ngapi ndani ya ardhi ya Iran mara ngapi?
Hizi ziko Vitani muda wote!
Na hata hilo shambulio ambalo Iran imepanga kulifanya dhidi ya Israel,halitaifanya Iran ifutwe katika uso wa dunia!
Sema Vita vinaweza kupanuka Mashariki ya Kati!
 
Iran ashambulie ndani ya Israel mara ngapi??
Au hujui kama hizbollah ndio Iran na ishafanya mashambulizi sana Israel??
HAKUNA TAIFA LILILOTHUBUTU KUIINGIA IRAN KINGUVU IKASHINDA.
Rejelea vita ya Iraq-Iran war 1980-1988 ambapo Iran ilisaidiwa na USA mlezi wa Israel na Iran ikajitetea na kusimama kidedea.
IRAN SIO PALESTINA AU IRAQ KIJANA.
We endelea kuota.
Sasa Israel anamtaka Iran atokee mwenyewe siyo kituma hao watoto
 
We ndio unaongea rubbish.
Huna unalolijua unaonekana.
pia mifano inaendana itizame kwa utuo.
Israel hana ubavu wa kuivamia Iran directly kwanza anga la Iran lina mifumo ya ulinzi wa anga bora kuliko ya Israel mfumo wa khordak.
Iran mpaka Israel ni mbali na hawachangii mpaka hivyo kwa infantry hawezi.
Ukisema kwa kutumia makombora USA ilikiri middle east taifa lenye nguvu ya makombora ni Iran.
Na makombora ya Iran yanaweza kukwepa interceptors.
Mfano makombora anayotumia hizbollah hakuna hata moja iron dome iliweza ku intercept.
Na yale ni medium range na yana ujazo mdogo.
Kwa hiyo USA ni bwana ako kwamba akikiri Basi mi kweli! Hujui kwamba Israel Ana nukes? Je Iran anazo?

Unavyoichambua hiyo mifumo Kama umeitengeneza wewe na ukoo wako ndo wanaposses secrets zake!

Si Bora hata hiyo iron dome imeonesha kazi yake kwenye live war? Hizo sijui khordak zilitumika Vita ipi sheikh? Au ndo walewale wa niaminini Mimi.
 
We ndio unaongea rubbish.
Huna unalolijua unaonekana.
pia mifano inaendana itizame kwa utuo.
Israel hana ubavu wa kuivamia Iran directly kwanza anga la Iran lina mifumo ya ulinzi wa anga bora kuliko ya Israel mfumo wa khordak.
Iran mpaka Israel ni mbali na hawachangii mpaka hivyo kwa infantry hawezi.
Ukisema kwa kutumia makombora USA ilikiri middle east taifa lenye nguvu ya makombora ni Iran.
Na makombora ya Iran yanaweza kukwepa interceptors.
Mfano makombora anayotumia hizbollah hakuna hata moja iron dome iliweza ku intercept.
Na yale ni medium range na yana ujazo mdogo.
Tusaidie hapo kwene makombola ya hezbollah yalirushwa mangap na mangap yalitua ardhin
 
Sasa Israel anamtaka Iran atokee mwenyewe siyo kituma hao watoto
Israel hana huo ubavu mkuu.
Israel ana mtindo wa ku eliminate threat kabla hajafanya madhara.
Ndio maana unaona Syria wakirusha hata jiwe atafanya aerial bombing ya kufa mtu.
Ila mbona kuua threat ya Iran hajafanya?
Tusiende mbali hapo tu Hizbollah Lebanon wanawachachafya muda tu Israel ila Israel haijaingia full scale war,ushajiuliza kwanini??
Labda useme Israel anakazia Iran aingie vitani directly ili wakubwa(UK,USA,France) ndio washughulike nae.
Ila Israel ubavu hana.
 
Tusaidie hapo kwene makombola ya hezbollah yalirushwa mangap na mangap yalitua ardhin
Iliripotiwa operation za makombora zilizofanyika ni 600+.
Na zote zilifanikiwa ndio maana kaskazini mwa Israel raia walihamisha na millitary post ziliongezwa.
Athari moja wapo kambi mbili kubwa za Israel kaskazini ikiwemo Galilee ziliteketezwa.
 
Iran ashambulie ndani ya Israel mara ngapi??
Au hujui kama hizbollah ndio Iran na ishafanya mashambulizi sana Israel??
HAKUNA TAIFA LILILOTHUBUTU KUIINGIA IRAN KINGUVU IKASHINDA.
Rejelea vita ya Iraq-Iran war 1980-1988 ambapo Iran ilisaidiwa na USA mlezi wa Israel na Iran ikajitetea na kusimama kidedea.
IRAN SIO PALESTINA AU IRAQ KIJANA.
We endelea kuota.
Upo sahihi kabisa mkuu, lakini kitaalam hiyo ni Proxies Sporadic Act of violence, Sasa hapo inamaana kuwa Iran anaogopa kufanya Justification ya vita dhidi ya Israel ( Jus ad bellum)

Sasa kitendo cha Israel kushambulia balozi ya Iran kitatoa tafsiri kuwa Israel imeipiga nchi ya Iran na bila Shaka imevunja ibara ya 2(4) ya UN Charter na imeleta hiyo Justification ya vita yaan Jus ad bellum, hivyo hatutegemei tena proxies kuijibu Israel.
 
Upo sahihi kabisa mkuu, lakini kitaalam hiyo ni Proxies Sporadic Act of violence, Sasa hapo inamaana kuwa Iran anaogopa kufanya Justification ya vita dhidi ya Israel ( Jus ad bellum)

Sasa kitendo cha Israel kushambulia balozi ya Iran kitatoa tafsiri kuwa Israel imeipiga nchi ya Iran na bila Shaka imevunja ibara ya 2(4) ya UN Charter na imeleta hiyo Justification ya vita yaan Jus ad bellum, hivyo hatutegemei tena proxies kuijibu Israel.
Iran hayuko katika hali ya kuingia vitani moja kwa moja.
Maana Israel anategea USA na UK ndio wapigane na Iran.
Hata ukisikiliza malalamiko ya Israel juu ya Iran unakuta akiichonganisha USA ichukue hatua sio yeye ndio achukue hatua.
Ila mkuu Iran sio mjinga anajua kama wamagharibi wanamuwinda.
Ila majibu yatatokea tu mkuu.
 
Kwa hiyo USA ni bwana ako kwamba akikiri Basi mi kweli! Hujui kwamba Israel Ana nukes? Je Iran anazo?

Unavyoichambua hiyo mifumo Kama umeitengeneza wewe na ukoo wako ndo wanaposses secrets zake!

Si Bora hata hiyo iron dome imeonesha kazi yake kwenye live war? Hizo sijui khordak zilitumika Vita ipi sheikh? Au ndo walewale wa niaminini Mimi.
Ndio maana nasema huna ulijualo na unazidi kuropoka.
Khordak ilifanya kazi kwa kuitungua stealth drone ya USA 2018 tena kwa pigo moja la haraka.
Dunia ni utandawazi nani asiyeona kuwa iron dome ilifeli kuzuia nusu ya roketi hafifu za Hamas??
Ripoti ilitolewa hamas walirusha roketi 5000 oktoba 7 3000 yalipita.
Je kama zile roketi zingekua ni makombora yenye ujazo wa masafa marefu??
Iran inarutubisha nuclear zaidi na ishapita kiwango cha kuunda silaha.
Usiifananishe Iran na Israel.
Ujiulize kwanini USA hufanya msako wa anga mataifa takriban yote middle east na sio Iran??
Iran ana mfumo wa anga madhubuti.
Stealth drone iliyoaminika ngumu kui detect khordak ili detect ikaifumua kwa kombora moja tu.
 
Back
Top Bottom