Irani ikishambulia ndani ya nchi ya Israel itakua mwisho wa serikali ya kiislam ya Iran

Irani ikishambulia ndani ya nchi ya Israel itakua mwisho wa serikali ya kiislam ya Iran

Ndio maana nasema huna ulijualo na unazidi kuropoka.
Khordak ilifanya kazi kwa kuitungua stealth drone ya USA 2018 tena kwa pigo moja la haraka.
Dunia ni utandawazi nani asiyeona kuwa iron dome ilifeli kuzuia nusu ya roketi hafifu za Hamas??
Ripoti ilitolewa hamas walirusha roketi 5000 oktoba 7 3000 yalipita.
Je kama zile roketi zingekua ni makombora yenye ujazo wa masafa marefu??
Iran inarutubisha nuclear zaidi na ishapita kiwango cha kuunda silaha.
Usiifananishe Iran na Israel.
Ujiulize kwanini USA hufanya msako wa anga mataifa takriban yote middle east na sio Iran??
Iran ana mfumo wa anga madhubuti.
Stealth drone iliyoaminika ngumu kui detect khordak ili detect ikaifumua kwa kombora moja tu.
Ndo maana huwa sipendi kubishana Sana humu jf comment zangu no neno moja au mawili ya mzaha tu

Unajua kwa Nini? Humu vilaza mpo wengi mtu unashinda kwenye internet unaokoteza tuhabari halafu unasema wenzako hawajui lolote

Sasa sikia hiyo defense system imezinduliwa 2019 iliipigaje drone 2018? Na drone iliyopigwa siyo stealth ilikuwa 2019 soma hii hapa RQ-4A Global Hawk BAMS-D ni suvaillance drone

Na aliyesema katumia hiyo khordak ni Iran lakini wadadisi wanadai ilitumika defense system ya Russian origin
 
Ndo maana huwa sipendi kubishana Sana humu jf comment zangu no neno moja au mawili ya mzaha tu

Unajua kwa Nini? Humu vilaza mpo wengi mtu unashinda kwenye internet unaokoteza tuhabari halafu unasema wenzako hawajui lolote

Sasa sikia hiyo defense system imezinduliwa 2019 iliipigaje drone 2018? Na drone iliyopigwa siyo stealth ilikuwa 2019 some hii hapa RQ-4A Global Hawk BAMS-D ni suvaillance drone
Unabishana nini we jamaa!?
Hivyo CNN wanaongopa??
Basi labda nikuulize,unajua kuna aina ngapi za Khordak air defence system??
Tuanzie hapo.
Maana doh.
 
Unabishana nini we jamaa!?
Hivyo CNN wanaongopa??
Basi labda nikuulize,unajua kuna aina ngapi za Khordak air defence system??
Tuanzie hapo.
Maana doh.
Rudia kusoma vizuri uelewe Ile haikuwa na technology ya steallth maana
No survaillance drone tu Wala haifanyi mashambulizi
Unabishana nini we jamaa!?
Hivyo CNN wanaongopa??
Basi labda nikuulize,unajua kuna aina ngapi za Khordak air defence system??
Tuanzie hapo.
Maana doh.
Uwe na data kamili siyo unatujaza tu nenda hata Google kaangalie mwaka wa kutunguliwa hiyo drone na ulioandika wewe
 
Ndo maana huwa sipendi kubishana Sana humu jf comment zangu no neno moja au mawili ya mzaha tu

Unajua kwa Nini? Humu vilaza mpo wengi mtu unashinda kwenye internet unaokoteza tuhabari halafu unasema wenzako hawajui lolote

Sasa sikia hiyo defense system imezinduliwa 2019 iliipigaje drone 2018? Na drone iliyopigwa siyo stealth ilikuwa 2019 soma hii hapa RQ-4A Global Hawk BAMS-D ni suvaillance drone

Na aliyesema katumia hiyo khordak ni Iran lakini wadadisi wanadai ilitumika defense system ya Russian origin
Wadadisi nini wewe acha ubishi wa kipumbavu!
Vyombo vyote vinatambua Khordak-3
ndio ilotungua hiyo drone.
Na khordak-3 imezinduliwa toka 2014.
Khordak-15 ndio iliozinduliwa 2019.
 
Rudia kusoma vizuri uelewe Ile haikuwa na technology ya steallth maana
No survaillance drone tu Wala haifanyi mashambulizi

Uwe na data kamili siyo unatujaza tu nenda hata Google kaangalie mwaka wa kutunguliwa hiyo drone na ulioandika wewe
Sawa tuseme mwaka nimekosea maana mimi binadamu.
Drone ilitunguliwa 2019 ni sahihi.
Mie nauliza kuhusu mfumo wa khordak?
Unajua khordak ilotumika ya aina gani??
 
Rudia kusoma vizuri uelewe Ile haikuwa na technology ya steallth maana
No survaillance drone tu Wala haifanyi mashambulizi

Uwe na data kamili siyo unatujaza tu nenda hata Google kaangalie mwaka wa kutunguliwa hiyo drone na ulioandika wewe
Kwahiyo surveillance drone haiwezi kuwa stealth??
Unajua hata maana ya stealth we jamaa??
Yani drone iwe ya kufanya upelelezi halafu isiwe stealth??
Stealth ni technology ya chombo kutokugundulika na radar.
Stealth=secrecy/sneaky.
Aiseeeee
 
kama wayahudi watakufa 1000 Waajem watakufa milion3. Anguko la serikali ya iran

Wana hii principal myahudi 1= watu 100

Tujikumbushe cha gaza
wayahudi 1000=== vifo palestina 30,000

Naona tunaelewa….
Ikitokea fursa,mkuu una will ukaipiganie Israel?
 
Sawa tuseme mwaka nimekosea maana mimi binadamu.
Drone ilitunguliwa 2019 ni sahihi.
Mie nauliza kuhusu mfumo wa khordak?
Unajua khordak ilotumika ya aina gani??
Ndo maana nimekwambia usidhani wote ni mbumbumbu haya sema Ile drone ilikuwa na stealth techology au la?
 
Kwahiyo surveillance drone haiwezi kuwa stealth??
Unajua hata maana ya stealth we jamaa??
Yani drone iwe ya kufanya upelelezi halafu isiwe stealth??
Stealth ni technology ya chombo kutokugundulika na radar.
Stealth=secrecy/sneaky.
Aiseeeee
Nimekuandikia jina la hiyo drone in full isearch halafu utuletee jibu

RQ-4A Global Hawk BAMS-D
 

Attachments

  • Screenshot_20240404-173132.png
    Screenshot_20240404-173132.png
    226.3 KB · Views: 2
unachukulia vitu kiwe
Kumekua kunazagaa taarifa kwamba Iran inajiandaa kuishambulia Israel kama kujibu mashambulizi…..
Basi huo ndio utakua mwisho wa Iran.

Ikumbukwe kwamba Israel imekua ikimtamani Iran siku nyingi sana na ilishajipanga hata kupigana vita na iran bila hata ya US.

Kwasababu israel haikuweza kuishawishi NATO au US kuingia vita moja kwa moja na iran basi imekua ikichochea kuongezeka kwa sanction kwene serikali hiyo ya iran kila kukicha.

Iran inafahamu hili ndio maana haijawai kuishambulia Israel moja kwa moja pamoja na kua Irael imekua ikihusika na milipuko mbalimbali ndani ya Iran,kuuliwa kwa wanasayansi na kupandikiza wapelelezi kuihujumu.

Kushawai kuwa na utabiri kutoka kwa Senetor wa marekan Lindsey Olin Graham kua Israel Itaishambulia Iran na marekani itafanya.

Bye bye Iran

View attachment 2953272View attachment 2953273
unaizungumzia iran kama vile msumbiji au lesotho sijui!!!
unachukulia vitu kiwepesi sana,mgambo wa HAMAS tu hapo israel kamasi tele...hii vita ipo na hata kama iran itapigwa ila israel na mashoga wenzie watachakaa sana
 
unachukulia vitu kiwe

unaizungumzia iran kama vile msumbiji au lesotho sijui!!!
unachukulia vitu kiwepesi sana,mgambo wa HAMAS tu hapo israel kamasi tele...hii vita ipo na hata kama iran itapigwa ila israel na mashoga wenzie watachakaa sana
Sasa mwishoni anaangaliwa mshindi
Kuchakaa ndo price ya ushindi
 
Kwahiyo surveillance drone haiwezi kuwa stealth??
Unajua hata maana ya stealth we jamaa??
Yani drone iwe ya kufanya upelelezi halafu isiwe stealth??
Stealth ni technology ya chombo kutokugundulika na radar.
Stealth=secrecy/sneaky.
Aiseeeee
Tatizo unashangazwa na Hilo neno stealth unahisi ni la ajabu wakati ni simple principles tu zinazotumika

Hapo wanachofanya ni kuzuia reflection ya EM waves kutoka kwenye radar zisiwe reflected back to the source simply by altering the shape of a craft au hata colours tu ku absorb the incoming waves

Ila wewe Sasa unahisi Kuna maajabu flani hivi
 
unachukulia vitu kiwe

unaizungumzia iran kama vile msumbiji au lesotho sijui!!!
unachukulia vitu kiwepesi sana,mgambo wa HAMAS tu hapo israel kamasi tele...hii vita ipo na hata kama iran itapigwa ila israel na mashoga wenzie watachakaa sana
mkuu ndio maana ya majadiliano

wewe unaeichukulia kiuzito unaweza onyesha uwezo wake hapa….
 
Ikumbukwe kwamba Israel imekua ikimtamani Iran siku nyingi sana na ilishajipanga hata kupigana vita na iran bila hata ya US.
Sidhani .....

Kama hapo Gaza tu msaada wa US umehusika sembuse kwa Iran?...huenda akaomba msaada wa NATO?
 
Sidhani .....

Kama hapo Gaza tu msaada wa US umehusika sembuse kwa Iran?...huenda akaomba msaada wa NATO?
Hamna vita yanapigana mataifa mawili duniani

siyo miaka hii
Hata iran drone anatengeneza kwa kusaidiwa chip na wafanyabiashara wasio waaminifu wa nchi za magharibi

Afu kupata support ndo power yenyewe
Nadhan unaona marekani vita zake haitak gharama inarubuni nchi nyingine kuunga mkono lakini si kwamba pekee yake inashindwa
 
Hamna vita yanapigana mataifa mawili duniani

siyo miaka hii
Hata iran drone anatengeneza kwa kusaidiwa chip na wafanyabiashara wasio waaminifu wa nchi za magharibi

Afu kupata support ndo power yenyewe
Nadhan unaona marekani vita zake haitak gharama inarubuni nchi nyingine kuunga mkono lakini si kwamba pekee yake inashindwa
Sidhani kama bado ni rahisi wao kupigana moja kwa moja, nadhani wataendelea kupigana nyuma ya pazia (intelligence war, sabotage, assassinations n.k) na kuviziana tu.
 
Tatizo unashangazwa na Hilo neno stealth unahisi ni la ajabu wakati ni simple principles tu zinazotumika

Hapo wanachofanya ni kuzuia reflection ya EM waves kutoka kwenye radar zisiwe reflected back to the source simply by altering the shape of a craft au hata colours tu ku absorb the incoming waves

Ila wewe Sasa unahisi Kuna maajabu flani hivi
Hamna sijahisi kama kuna maajabu.
Ila kwa mtazamo wangu nilidhani kila surveillance drone inayo fly higher altitude lazima iwe ni stealth.
 
Back
Top Bottom