Irani ikishambulia ndani ya nchi ya Israel itakua mwisho wa serikali ya kiislam ya Iran

Irani ikishambulia ndani ya nchi ya Israel itakua mwisho wa serikali ya kiislam ya Iran

kukataa kuweka base siyo ndo kuwa anti USA kuna mataifa kibao ya USA lakin hayajakubali kuwa na base!!!

Je tanzania ni Ant US??
Unasoma kwa uelewa au kwa kukurupuka??
Kipindi cha Saddam Hussein nchi za kiarabu zilikua zina approve airbase zao zitumike na USA.
Tofautisha kuweka kambi na kutumia kambi.
Ila msimu huu hayo mataifa yamekataa kambi zao kutumika dhidi ya Houthi.
Natumai utakua umenielewa,pia usisahau mataifa ya kiarabu yanamkaribisha sana Iran kwa nyanja tofauti hususan ya ulinzi.
 
Kumekua kunazagaa taarifa kwamba Iran inajiandaa kuishambulia Israel kama kujibu mashambulizi…..
Basi huo ndio utakua mwisho wa Iran.

Ikumbukwe kwamba Israel imekua ikimtamani Iran siku nyingi sana na ilishajipanga hata kupigana vita na iran bila hata ya US.

Kwasababu israel haikuweza kuishawishi NATO au US kuingia vita moja kwa moja na iran basi imekua ikichochea kuongezeka kwa sanction kwene serikali hiyo ya iran kila kukicha.

Iran inafahamu hili ndio maana haijawai kuishambulia Israel moja kwa moja pamoja na kua Irael imekua ikihusika na milipuko mbalimbali ndani ya Iran,kuuliwa kwa wanasayansi na kupandikiza wapelelezi kuihujumu.

Kushawai kuwa na utabiri kutoka kwa Senetor wa marekan Lindsey Olin Graham kua Israel Itaishambulia Iran na marekani itafanya.

Bye bye Iran

View attachment 2953272View attachment 2953273
Dah...Wachambuzi wa kibongo kaz kweli? Eti ndo itakua mwisho wa Iran? Ivi unajua umbali wa kutoka Israel mpaka Iran ni Km? Apo kinachofanyika ni just Prox wars tu kushambuliana kwa km wanavofanya...Iran imekua ikiishambulia Israel miaka yote kwa kutumia makundi yake na Israel pia kwa kutumia makundi inayoyafadhili japo mengi hayafanikiwi sana... Kila muIsrael anaekufa kuna namna moja au nyingine Iran anahusika maana yeye ndo anawapa Silaha na kuyaongoza... Israel anachofanya Syria ni kujaribu kupunguza uwezo huo ona Lebanon kundi la Hezbollah lina nguvu kuliko Serikali ya Leban na lina silaha za kutosha na limeshashindwa kuondolewa ata na Israel yenyewe wamebaki kutishiana tu kua wasipigane full war...Njoo Yemen kundi la Ki Houth mziki wake umeuona wamepigana na Saud wakisaidiwa na mataifa makubwa km Bahrain,UAE, Misri nk mpaka nchi hizo zote zika choka wakakubaliana leo mziki wake tunauona wanashambulia Israel na kuweka naval blockage leo bandari za Israel zimeyumba hadi Baba zake mkubwa na mdogo US/UK wameingilia kati kumshambulia Houth....Njoo Irak kuna Makundi ya Iran ambayo yameshakua na Nguvu kuliko ata Serikal juzi wameshambulia Bandar ya Eliat ya Israel na wamekua wakishambulia kambi za US na kuua pia... Kwahiyo km US/Irael wasipofanya juhudi kwa cost yoyote ile ili Syria isiwe na kundi km Hezbollah na Houth basi Israel itakua imezungukwa kila pande... Imagine wanamgambo wa Hamas leo ni mwezi wa 5 hawana support yoyote ile ya silaha ambazo zinaingizwa lakin bado wapo njoo Israel nchi kibao wanapeleka Silaha kwa wingi...Sasa Ndo vita kati ya Israel na Iran ndo ataweza? Anachokifanya Israel ni kutaka Iran na US zipigane kwa niaba ndo maana wakati mwingine israel ikifanya tukio Iran au makundi yake yana dili na US...... US mwenyewe kashakili km kumvamia IRan ilikua nimiaka ya 2012 Iran ikiwa haina airdefence system za maana just HAWK na S-200 za kizamani sana na haikua na precision missile km leo....Leo Iran ana airdefence system anazotengeneza mwenyewe ,drone na makombora yakufika Israel... Mpango wa Iran ni kuizunguka kwanza middle east kwa kuhakikisha kila angle kundi lake linakua na nguvu.... Nenda ktk military news ka google uone nguvu ya Hezbollah wanasema ina silaha kuliko ata baadhi ya nchi za Eu... Bila US hakuna Israel
 
Kumekua kunazagaa taarifa kwamba Iran inajiandaa kuishambulia Israel kama kujibu mashambulizi…..
Basi huo ndio utakua mwisho wa Iran.

Ikumbukwe kwamba Israel imekua ikimtamani Iran siku nyingi sana na ilishajipanga hata kupigana vita na iran bila hata ya US.

Kwasababu israel haikuweza kuishawishi NATO au US kuingia vita moja kwa moja na iran basi imekua ikichochea kuongezeka kwa sanction kwene serikali hiyo ya iran kila kukicha.

Iran inafahamu hili ndio maana haijawai kuishambulia Israel moja kwa moja pamoja na kua Irael imekua ikihusika na milipuko mbalimbali ndani ya Iran,kuuliwa kwa wanasayansi na kupandikiza wapelelezi kuihujumu.

Kushawai kuwa na utabiri kutoka kwa Senetor wa marekan Lindsey Olin Graham kua Israel Itaishambulia Iran na marekani itafanya.

Bye bye Iran

View attachment 2953272View attachment 2953273
Unaitenganisha vipi Israel na marekani??

Wayahudi ndio wanahodhi uchumi wamarekani

Wayahudi ndio Wana ushawishi mkubwa kwenye siasa za marekani

Hiyo itakua ni vita Iran Vs America pengine na washirika wa marekani

Israel only alone Vs Iran, mmmmmmmh!!
 
Unaitenganisha vipi Israel na marekani??

Wayahudi ndio wanahodhi uchumi wamarekani

Wayahudi ndio Wana ushawishi mkubwa kwenye siasa za marekani

Hiyo itakua ni vita Iran Vs America pengine na washirika wa marekani

Israel only alone Vs Iran, mmmmmmmh!!
Hujaona apo Israel will Attack Iran and america will follow
 
kwa uwezo wako mdogo

niambie irani inaweza pigana na nchi ngap kwa pamoja na kuzishinda??
Kwanza unautaalam gani kuhusu masuala ya kijeshi maana ni siwe naongea na kilaza hapa?

Kwa hiyo Tz kama iliweza kuishinda Uganda mwaka 1979 basi inamaanisha na sasa hivi ana uwezo wa kupigana naye na kuishinda?

Kwanza unajua sababu zili pelekea Israel kushinda vita hiyo unayo isema?

Hivi unajuwa ni rasilimali gani zina hitajika ili majeshi ya ardhi ya Israel yaweze kuingia kwenye mipaka ya Iran?
Hivi unajua Israel ina hitajika ivuke nchi ngapi ili iweze kuifikia ardhi ya Iran?
Iran na Israel ni ngumu kupigana vita ya ardhini kwa sababu ya umbali kati yao acha kuchukulia mambo kiurahisi.

Unaongelea Iran kupigana vita hebu nenda kaisome uajemi ndo utajua wairani ni watu wa aina gani.
 
Wayahudi tangu jana wanalala kwenye mahema maana hawajui siku wala saa mwana wa ajemi atafika.[emoji1787]
Screenshot_20240404_071745_X.jpg
 
Wayahudi tangu jana wanalala kwenye mahema maana hawajui siku wala saa mwana wa ajemi atafika.[emoji1787]
View attachment 2953406
kama wayahudi watakufa 1000 Waajem watakufa milion3. Anguko la serikali ya iran

Wana hii principal myahudi 1= watu 100

Tujikumbushe cha gaza
wayahudi 1000=== vifo palestina 30,000

Naona tunaelewa….
 
kama wayahudi watakufa 1000 Waajem watakufa milion3. Anguko la serikali ya iran

Wana hii principal myahudi 1= watu 100

Tujikumbushe cha gaza
wayahudi 1000=== vifo palestina 30,000

Naona tunaelewa….
Wairan wao watauwa wanajeshi tu maana dini ya kiislamu imekataza kuuwa watu wasio na hatia wala kuharibu sehemu takatifu za kuabudia
 
ushabiki kahawa hadi kwenye vita tusubiri tuone yaani wanapigana na hamasi tu wanaomba msaada hadi pampasi kazi yao kuua tu watoto na kina mama anatokea warrior nyuma ya keyboard eti utakua mwisho wa iran, israel binafsi nilikua nawaamini zamani sababu nilikua sijui maana ya propaganda vita itakua kali sio iran atapigwa acha mikwara ya kitoto.
 
Kumekua kunazagaa taarifa kwamba Iran inajiandaa kuishambulia Israel kama kujibu mashambulizi…..
Basi huo ndio utakua mwisho wa Iran.

Ikumbukwe kwamba Israel imekua ikimtamani Iran siku nyingi sana na ilishajipanga hata kupigana vita na iran bila hata ya US.

Kwasababu israel haikuweza kuishawishi NATO au US kuingia vita moja kwa moja na iran basi imekua ikichochea kuongezeka kwa sanction kwene serikali hiyo ya iran kila kukicha.

Iran inafahamu hili ndio maana haijawai kuishambulia Israel moja kwa moja pamoja na kua Irael imekua ikihusika na milipuko mbalimbali ndani ya Iran,kuuliwa kwa wanasayansi na kupandikiza wapelelezi kuihujumu.

Kushawai kuwa na utabiri kutoka kwa Senetor wa marekan Lindsey Olin Graham kua Israel Itaishambulia Iran na marekani itafanya.

Bye bye Iran

View attachment 2953272View attachment 2953273
Uislam utaenea dunia nzima hivi karibuni tu
 
Back
Top Bottom